Dada yake MBOWE aikacha CHADEMA ajiunga na CCM!!

Dada yake MBOWE aikacha CHADEMA ajiunga na CCM!!

Hii habari imekuwa chungu kwa makamanda wa Chadema, kila mmoja anatokwa na povu, teh teh teh teh.

Ritz watu wanataka chanzo kiwe Tanzania Daima ndio waamini au kurugenzi ya habari hao ndio vijana wa bavicha.
 
Mtu ajifanyie maamuzi ya kibinafsi nyie magamba muone ni big deal! mbona hiyo kawaida sana.Itakuwaje sasa sheikh Ponda akiamua kuwa msabato?
 
Makamanda, Mungi, na Ben Saanane, mpaka kesho wanapinga kuwa Grace Mbowe siyo dada yake Mbowe, siasa hizi kisa kaenda Chadema wamemtoa kwenye watoto wa Mzee Mbowe.


Vyovyote itakavyokuwa, mbona Nape alioasisi CCJ, Makamba sr. Alisema nape cyo mtoto wa Mzee Nnauye!

Jitahidini kitu za kumbukumbu,

Lakini bado tunasubiri Kauli kuhusu MADAWA YA KULEVYA kutoka kwako mtoto wa mkulu.

usitunyime HAKI yetu ya kikatiba plse!
 
Hapa ndipo ninapoona ukubwa na uzito mkubwa saaaaaaaaaaana wa chadema.hii chadema hii itawaua mwaka huu.
 
Mbowe ni ukoo mkubwa sana.....Lete habari kamili ni Mbowe yupi...?


Mkuu hapo cha muhimu ni dada yake na mbowe regardless ni dada yake kivipi! Wassira tulimsakama na hoja hiyo kama yako kuwa yule Esther Wassira siye mwanae wa kumzaa lakini wote kwa pamoja tulimshambulia kuwa anataka kuikana damu yake kwasababu ya siasa.
 
Ukoo wa tundu lisu upo bungeni kwa kupeana, ukoo wa ndesamburo upo bungeni kwa kuzawadiana na hata ukoo wa mbowe umezawadiwa uenyekiti kutoka ukweni

Wajumbe wa kamati kuu ya ccm kutoka familia ya Kikwete unawajua... na viti maalumu unawafahamu, au unarusha mawe gizani bila kujali litakaye mpata..!?? angalia utawavua nguo viongozi wako wakuu...
 
Jamani nisaidieni hapa hivi huyu Ritz ndiye Rithiwani wa Kikwete au msukule mwingine uliotumwa kuvuruga jukwaa la great thinkers?
 
mi naöna ccm mnafanya mada inakuwa kubwa pasipo sababu hiv we ritz watoto wenu wote wanaipenda ccm? Jib ni hapana.. So ana haki ya msingi ya kuhama chama, ingawa anahitaji maombi sana kutoka hero hadi zero
 
Hivi mtu akiwa ukoo wa Mbowe automaticaly anakuwa CHADEMA? mtesemaje amehamia CCM kama hakuna ushahidi alikuwa chama gani mwanzo,...tukio "kubwa" kama hili limekosa hata vipicha ..mhhh
 
Dada yake Mbowe kajitambua, ameona haiwezekani akili ndogo iongoze akili kubwa.

Hongera sana Grace Mbowe.

Kama nyumbani wanamkataa Mbowe, kulikoni.

Jesus walimkataa,na wakamtesa .. Leo iko vp,?
Wangapi wanamlilia?
Wameondoka wengi CDM inazidi ku shine..
Asepe,
Ameifanyia nini CDM?tena tunashukuru Pumba zikijichuja..
Nibora ubaki na Wapiganaji wachache Wakakamavu,kuliko Mamia midebwedo..
 
Dada yake Mbowe kajitambua, ameona haiwezekani akili ndogo iongoze akili kubwa.

Hongera sana Grace Mbowe.

Kama nyumbani wanamkataa Mbowe, kulikoni.

CHADEMA sio family enterprize kama CCM ambayo babaako mwenyekiti taifa. babaako mdogo mwenyekiti wilaya Bagamoyo. mamaako MNEC Lindi mjini na wewe MNEC Bagamoyo. Je? hicho chama au kikundi cha familia? Haijawahi tokea tangu uhuru. So usikurupuke hovyo kukomenti upuuzi
 
Wakati Mwenyekiti wa taifa CHADEMA mh Freeman Mbowe na baadhi ya Wabunge wakihojiwa na jeshi la polisi mkoani Iringa kwa kile kinachodaiwa na jeshi hilo ni kupitiliza muda wa kuhutubia ktk mkutano uliofanyika siku ya jumamosi, Dada yake na Mbowe GRESI MBOWE,ameamua kuikacha CDM na hatimae kujiunga na CCM!!

SOURCE; Gazeti la Uhuru (Radio Free Afrika)

Huyo ni dada yake OCS Gervas Mbowe aliyedaiwa 'kuwalinda' wasomali waliomshambulia Mhe.J.Nassari. Ukoo wa Mbowe ni ukoo mkubwa kama zilivyo koo za Mallya,Massawe na koo nyingine kubwa. Kitendo cha huyo mwanamama kudanganya kuwa yeye ni dada yake Mhe.Freeman Mbowe ni cha hovyo na chenye kudhihirisha kuwa Mhe.Freeman Mbowe ndiye mtu maarufu na anayekubalika nchini kuliko kina-Mbowe wote.
 
Mungi,

Usipende kuropoka wewe ni Chadema lakini huifahamu familia ya kina Mbowe.

Grace ni dada yake Mbowe mama mmoja na baba mmoja.

Poleni sana makamanda
...ngoja ni-google kama kweli ni dada yake mwenyekiti wetu.
 
Siamini kama Grace amemaanisha kukihama CHADEMAkutokana na sababu alizozieleza. Ninahisi hapa kuna jambo. CCM muwe macho.
 
Dada yake Mbowe kajitambua, ameona haiwezekani akili ndogo iongoze akili kubwa.

Hongera sana Grace Mbowe.

Kama nyumbani wanamkataa Mbowe, kulikoni.
Kama JK anavyosumbuka kuongoza akili kubwa wakati za kwake ni ndogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom