Dada yake MBOWE aikacha CHADEMA ajiunga na CCM!!

Dada yake MBOWE aikacha CHADEMA ajiunga na CCM!!

Ritz,
Nimetulia kama maji ya mtungi. Hamna cha povu wala cha nini. Ndiyo, ninayo maslahi katika familia ya Mbowe kama nilivyo na maslahi katika familia ya Nyerere. Umefurahi?
Jasusi,

Mkubwa wangu uko tusiingie sana, katika wakubwa zangu ninaowapa heshima humu Jamvini wewe mmoja wao.

Pamoja tunapishana mitazamo lakini bado ni wamoja.

Nipo pamoja kaka.
 
Last edited by a moderator:
Mtu anayeenda chadema yampasa ajitafakari sasa kama mpaka dada yake mbowe kaichoka chadema ambaye alikuwa na ubia nayo iweje wewe ambaye hata hutoki ukanda wa kaskazini.
 
Angalau amepata nafasi ya jina lake kuandikwa kwenye gazeti na kujadiliwa JF... Amshukuru Mbowe kuwa mwenyekiti wa CDM maana vinginevyo tusingekuwa tunalijua jina Grace Mbowe...
Mkuu na wewe ni waajabu sasa kwani mtu kuandikwa gazetini ni sifa?
kumbe chadema kuandikwa gazetini ni ishu kubwa ndiyo maana mnahonga wanahabari ili muandikwe.
 
Grace Mbowe ninamfahamu na ni kweli ni dada yake Freeman..
Kuweka historia vizuri ni kwamba huyu Grace alikuwa bosi wa kitengo kimoja pale CSSC Upanga.. Kabla ya hapo alikuwa na ofisi yake ya consultancy pale Billicanas.. Na alikuwa registered Quantity Surveyor na alikuwa yuko safi.. Baadae akapata matatizo baada ya kupata mwanaume mmoja mwenye jina la kitanga.. Akaja kuachishwa kazi pale CSSC na baadae ikawa mbaya maana alikuwa anaongea na watu na kuwaazima pesa (alikuwa na credibility kubwa tu mbele za watu).. Tatizo akawa akipata anamkabidhi huyo jamaa na hela zinapelekwa pwani.. Maisha yakaendelea hivyo mpaka akawa amechokwa sio na watu baki tu.. bali hata ndugu zake maana waligundua huyo mwanaume ndo anaembugisha Grace na walishamuambia mara kibao aachane nae lakini ikashindikana.. Ikafikia wakati akawa anakimbiwa hata na wale waliokuwa juniors kwake.. Wale ambao mwanzoni walimheshimu na kumu-admire.. Last time jina lake lilitolewa na AQRB (bodi ya wasanifu majengo) kwamba atafutwa kwenye usajili wa bodi..
Kama kweli amekuja na uamuzi huu mie siwezi kushangaa..
Muwe mnashangilia huku mkijua mmelamba galasa..
Mapenzi hayaingiliwi na mtu yeyote na mpenzi huchaguliwi na mtu yeyote,
wewe ulitaka aachane na mumewe ungemtafutia mume,
acha majungu dogo au alikutosa nini mtaipata mwaka huu.
 
Mapenzi hayaingiliwi na mtu yeyote na mpenzi huchaguliwi na mtu yeyote,
wewe ulitaka aachane na mumewe ungemtafutia mume,
acha majungu dogo au alikutosa nini mtaipata mwaka huu.

Duuh.. kweli JF ni kokolo.. na ww utajiita GT..? Rudia kusoma nilichoandika halafu ulinganishe ni ulichojaribu kujibu wewe..
 
Wewe si unajipendekeza kwa mbowe ili upewe kazi ya kusimamia mapato pale bilicanas club? Mm nina mawazo huru ndio michango yangu haikufurahishi ht kidogo

Weye bana,acha kumdhalilisha Sheikh Mohamed Hussein.,Mbona kwenye Issue nyeti mnaingia mitini???Aalah!Kama kawaida yenu mwadhani "ni upepo tu utapita".,Shauri yenu kwani si yote yatapita na mliyodhani yamepita ndo yatakuwa kichocheo-'kuni'@ moto utakaowaka hapo hamtauzima.
 
Umeulizwa mbona kwenye ishu zinazohusu unga mbona huwa unalala mbele? Mbona kwa kamanda Esta wasira hukushangaa? Au akinya kuku.......,..!!

wenye akili wameshajua kwanini dada mtu kahamia ccm ila vilaza bado wanashangilia kwa kupata mgeni.
 
Huo ni uamzi wa mtu mmoja mmoja kwa nyie mlioko vyama vya siasa mnaanisha ukoo mzima uko chama kimoja, hakika na waambieni nyie mnao refusha midomo na magamba yenu hata leo ukoo wote wa mhe. Mbowe uache siasa ukombozi ni lazima uendelee, M4C iko palepale. PEOPLE'S POWER NI SILAHA PEKEE KWA MAGAMBA
 
Grace mbowe atatusaidia sana kwenye kitengo cha inteligensia cha chadema. Acha hawa buju 7 wachekelee tuu...we are not stupid.
 
Mapenzi hayaingiliwi na mtu yeyote na mpenzi huchaguliwi na mtu yeyote,
wewe ulitaka aachane na mumewe ungemtafutia mume,
acha majungu dogo au alikutosa nini mtaipata mwaka huu.
We umekula lakini?
 
Ritz,
Nimetulia kama maji ya mtungi. Hamna cha povu wala cha nini. Ndiyo, ninayo maslahi katika familia ya Mbowe kama nilivyo na maslahi katika familia ya Nyerere. Umefurahi?
mkuu umeuwa umemaliza
 
Kwa heri Grace Mbowe, wasalimie hao magamba tupo hai bado. Ukijisikia rudi tena. Hii ni haki yako kikatiba. Mbona jamani Wasira alitoka sii sii emm akaja CDM na akarudi ccm? Sasa anataka kugombea Urais kwa CCM? Alitikisa kiberiti kikatikisika, wakamkubali. Lakini Grace tunamwambia CDM hatutikisiki. CDM si mali ya ukoo. Kwenda zako ukayarambe hayo matapishi umeyataka mwenyewe. Kwanza, Who is She???
 
Amejitambua kuwa yeye hawezikuwa msukule.

Inawezekana Mbowe alitaka ampeleke kwenye vurugu akaona upuuzi.

soon vijana wengi watajitambua pia

Umepotea sana humu jamvini tangu Taarifa za Dawa za kulevya zipambe moto tutazianzisha tena ili ukimbie jumla kumbe hii ndio dawa yako
 
Umepotea sana humu jamvini tangu Taarifa za Dawa za kulevya zipambe moto tutazianzisha tena ili ukimbie jumla kumbe hii ndio dawa yako

hao ni mbwa wa ccm wamesahau kubweka sasa kila hoja wanaibwekea achana nao wengi wao wana mental problem
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom