huyu grace ni uongo mbowe anayo dada mmoja na yuko amerca labda kama ni dada wa ukoohizi zote ni mbwembwe za kujaribu kuuadaa umma kisiasa, ni kitu gani hapo nyuma kilimtoa au kilifanya grace asijiunge na ccm na leo kaona kimerekebishwa akajiunga? Wote huo ni ubabaishaji tu, ni michezo ya kisiasa lakini kubwa zaidi vyama siyo mali za familia, dini wala watu wa aina fulani bali ni mali ya wanachama wote kwa pamoja. Hivyo hata akihama mwenyekiti wa chama bado chama (taasisi) kinabaki na wanachama waliobaki. Ninakutakia maisha mema grace katika chama chako kipya ila ninakuomba urudishe kadi yako ya chadema kwenye ofisi za chadema siyo mali ya ccm ulikojiunga.
Naona leo povu linamwagika ovyo leo.pambaf
Naona leo povu linamwagika ovyo leo.
Kimsingi Chadema ni chama cha kifamilia hilo lipo wazi wala haliitaji PhD kulitambua.
Mmiliki wa Chadema ni Mtei, na Mwenyikiti wa Chadema ni Mbowe, ambaye ni mkwe wa Mtei,
Kuna uwezekano mkubwa wa kimaslahi ndani ya familia ndiyo maana Grace Mbowe, kuamua kuondoka Chadema na kwenda CCM.
Tutasikia mengi pindi Grace Mbowe, atakapofunguka zaidi.
Dada kaona mbali sana big up na wengine bado muda upo wa kufanya maamuzi sahhi kurudi ccm
Kwani umeambiwa CHADEMA ni chama cha familia!?? let her go. Hata babaake Mbowe alikuwa ccm, na Mtei pia
Usitake kupoteza mada kubali ukweli, ni dada yake toka ni toke, baba na mama mmoja.
Link hii hapa kasome: http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/15665-dada-wa-mbowe-atimkia-ccm
Hapa kuna mawili, yawezekana kaka kakiuka makubaliano au dada kauona ukweli kuwa chama hakina mwelekeo wa kuchukua nchi 2015 so kaona aanze mapema.
Ukiisoma vizuri kule Hai (dada alikorudisha kadi) mwenyekiti wa CCM anasema Jan - Aug 2013 tayari wana-CDM 550 wamerudi CCM. Wamewastukia wapiga dili wa CDM!!
Mkuu,
Hao BAVICHA uwa hawapewi buku 8000 bali uwa wanapewa viroba.
Ata akiwa ndugu yake kweli kwani tatizo nini? Si ametumwa kuwa informa wa Cdm ndani Ccm Kama wao walivo kua wanamtumia Lodovick na baada ya kuumbuka wamemtosa ata ujira wake hawajamlipa na sasa anamatatizo ya Ndoa yake!Kutoka page ya chadema in blood facebook
USAHIHI WA UVUMI ULIOENEZWA NA MAGAZETI YA CCM KUWA DADA WA KAMANDA MBOWE AMEHAMIA CCM TOKA CHADEMA
Grace Mbowe ni dada wa afande Gervace Mbowe OCS wa Makuyuni aliyewasaidia wasomali kumpiga mbunge Nassari. Hawana uhusiano wowote na Freeman Mbowe