Dada wa kazi

Dada wa kazi

ni kweli mume anauma kaka, na hata kwa wale wenye mapenzi kwa wake zao pia mke anauma....fikiria ebu mfano ungekuwa na house BOY halafu akafanya hayo anayofanya huyo housegirl kwa mkeo, UNGEPENDA? naamini usingependa (hii inaaply km ni kweli unampenda kwa dhati mkeo)...so ili kulinda uhusiano wako na mkeo (hao mahausgel huwa ni wa kupita tu na hamna mkataba naye) mimi nakuomba umuelezee kwa upendo tu, kiroho safi bila jazba, yeye atajua cha kufanya maana nikwambie ukweli kaka, baadhi ya mahausgirl wana kasumba ya kuiba waume za watu hasa walio DHAIFU..ila kwa wewe naona ume-mature enuf na unampenda mkeo, so ni bora umuweke wazi yeye ndio atadeal naye..hawa baadhi ya mahsgl wanakera sana, wanakuta nyumba za watu zimetawaliwa na upendo na uaminifu wenyewe wanataka kuharibu kutokana na hulka zao mbaya..WASHINDWE!!

nashukuru kwa ushauri
 
wewe umemiss kigegedwa chako...una anza kutamani kuka gegenda katoto ka watu.
mtoto anaonyesha heshima tu...Futa hayo mawazo yako

Tena heshima hiyo kaambiwa na mama mwenye mume kwamba "........ nasafiri hakikisha unafanya kazi zako kama kawaida na umuheshimu sana ......." baba yako, au sijui shemeji yako; inategemea wanavyoitana wenyewe wakati mama mwenye mume akiwepo. Sasa jamaa anaanza kuhofia kumwangalia kwa makengeza, acha kabisa hiyo utavaa viatu vya watoto wadogo uchekwe na wenyeweee....
 
Rudi nyumbani ukiwa umechelewa, ukute tu chakula mezani, ukishakula osha mwenyewe vyombo vyako, wala asikufungulie mlango maana atatoka na kanga moja. Hivyo ndio tunavyokwepa wengine maana hata ukijifanya mkali atakupata tu akiamua. Ukishindwa kabisa uanze gym uwe unarudi nyumbani umechoka. Pia ukishindwa, kunywa valuu ina tabia ya kupaki kifaa na hakitafurukuta mpaka kesho yake.
 
haya ni matatizo ya baadhi ya wanaume wasio jua thamani zao, wala za wake zao.

kwa hiyo wewe kinachokuzingua hasa ni hayo magoti unayopigiwa au ??

ficha ujinga wako
 
Rudi nyumbani ukiwa umechelewa, ukute tu chakula mezani, ukishakula osha mwenyewe vyombo vyako, wala asikufungulie mlango maana atatoka na kanga moja. Hivyo ndio tunavyokwepa wengine maana hata ukijifanya mkali atakupata tu akiamua. Ukishindwa kabisa uanze gym uwe unarudi nyumbani umechoka. Pia ukishindwa, kunywa valuu ina tabia ya kupaki kifaa na hakitafurukuta mpaka kesho yake.

Hahaaa,valuu ina tabia ya kupaki kifaa!!!You made my day,JF ni zaidi ya shule!
 
Rudi nyumbani ukiwa umechelewa, ukute tu chakula mezani, ukishakula osha mwenyewe vyombo vyako, wala asikufungulie mlango maana atatoka na kanga moja. Hivyo ndio tunavyokwepa wengine maana hata ukijifanya mkali atakupata tu akiamua. Ukishindwa kabisa uanze gym uwe unarudi nyumbani umechoka. Pia ukishindwa, kunywa valuu ina tabia ya kupaki kifaa na hakitafurukuta mpaka kesho yake.
narud saa nne usiku namkuta madogo anangalia kideo kama saa hz nipo posta narud mpaka kufika ni saa 4 nikila usingiz mpaka asubuh namwacha anacheki kideo sijui analala saa ngapi
 
haya ni matatizo ya baadhi ya wanaume wasio jua thamani zao, wala za wake zao.

kwa hiyo wewe kinachokuzingua hasa ni hayo magoti unayopigiwa au ??

ficha ujinga wako
we ndo ufiche ujinga wako coz unachangia mada bila kuelewa tunajadili nini soma vizur ndo uchangie ovyo!!!
 
Habari ba ndugu,

Wife hayupo nimebaki na house girl cha ajabu anatoa best customer service ukarimu wa hali ya juu mpaka magoti anaponinawisha da sio kawaida yake anapokuwepo mke wangu sasa najiuliza hii huduma nzuri ninayopata nirudipo home ni ya kweli toka moyoni au ni tego mbona akiwepo wife hafanyaji hayo wenye uzoefu tafadhali.

You will soon suck your marriage, I see you want to fulfill your wishful thinking, carry on to hell!
 
Kama unamaanisha hautaki kumsaliti mkeo mshushue huyo dada mwambie haya makitu umeanza lini?acha kufanya maigizo be seruous usicheke nae..
 
Kama unamaanisha hautaki kumsaliti mkeo mshushue huyo dada mwambie haya makitu umeanza lini?acha kufanya maigizo be seruous usicheke nae..

asante mtoto pole kwa ushauri ntaufanyia kazi
 
You will soon suck your marriage, I see you want to fulfill your wishful thinking, carry on to hell!

simplicity are you God?how come you judge me like that for your information am not for hell before i was born i was already chosen by heaven God.hell is for devo and his follower not children of God back to the topic it is just for sharing experience and educating each other am not here to seek advice from jf member to foolmyself no i tabled it delibarately coz i know most of us encounter such challenge
 
...cha ajabu anatoa best customer service.....nauliza.... ni ya kweli inatoka moyoni..!!!!!????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!??
 
Tena heshima hiyo kaambiwa na mama mwenye mume kwamba "........ nasafiri hakikisha unafanya kazi zako kama kawaida na umuheshimu sana ......." baba yako, au sijui shemeji yako; inategemea wanavyoitana wenyewe wakati mama mwenye mume akiwepo. Sasa jamaa anaanza kuhofia kumwangalia kwa makengeza, acha kabisa hiyo utavaa viatu vya watoto wadogo uchekwe na wenyeweee....

kama ulikuwepo vile...ujakosea kitu mkuu
 
teh teh...kweli hapa ndo jf kila aina mtazamo unapata good mkuu yani kumiss mgegedo ndo utamani wa dada kama ni hivyo ikitokea mke anaumwa ana ishu kiasi kwamba kugegeda hakuna c itakuwa balaa ni kweli tamaa zimo mwilini mwetu inatakiwa uweze kuzimudu self control

great words mkuu..nime kusoma venma.
 
sio vizuri mkuu hawa mabint ni kama watoto wetu tunatakiwa tunawelee nao waje kuwa na future alafu ukigegeda dada wa kazi jua umeleta aibu na fezea ktk ndoa yako yule dada atamdharau mkeo kwa kujiona naye mwanamke hatma yake ndoa itayumba sana kisa binti wa kazi lazima tuziheshimu ndoa zetu ili tuwe na furaha je wewe ungefurahi mkeo akigegedwa na house boy? so kama hupendi hayo usimfanyie dada


ah mie kwanza nina philosophy kuwa nitagegeda nje so najua pia watanigegedea wangu cha msingi tuu nisijue...nikijua basi nitamuita yule anayemgegeda mke ili tumgegede wife kwa pamoja maana ndio anachotaka alafu namuacha
 
ah mie kwanza nina philosophy kuwa nitagegeda nje so najua pia watanigegedea wangu cha msingi tuu nisijue...nikijua basi nitamuita yule anayemgegeda mke ili tumgegede wife kwa pamoja maana ndio anachotaka alafu namuacha

shukuru Mungu wewe unajitambua
 
Habari ba ndugu,

Wife hayupo nimebaki na house girl cha ajabu anatoa best customer service ukarimu wa hali ya juu mpaka magoti anaponinawisha da sio kawaida yake anapokuwepo mke wangu sasa najiuliza hii huduma nzuri ninayopata nirudipo home ni ya kweli toka moyoni au ni tego mbona akiwepo wife hafanyaji hayo wenye uzoefu tafadhali.

Kufanya ngono zembe na dada wa kazi ni kitendo cha kujidhalilisha utu wako kuliko kitu kingine chochote kile. You will hurt your wife's feelings so much. Mara mia ukaokote changudoa huko mbali kuliko kutembea na housegirl....God forbid!
 
Kufanya ngono zembe na dada wa kazi ni kitendo cha kujidhalilisha utu wako kuliko kitu kingine chochote kile. You will hurt your wife's feelings so much. Mara mia ukaokote changudoa huko mbali kuliko kutembea na housegirl....God forbid!
kweli but kama ni mwanandoa kwa nini uende kwa machangudoa kubeba ukimwi kwani ukikaa bila ngono hata mwaka utakufa kwa nini watushinde hata wanyama ambao hufanya tendo kwa msimu nimejionea mwenyewe namna watu walivyo wengi wamenishambulia kwamba natamani ku do wakati nimeleta obsrvation tu any way kama mwanandoa lazima uwe mvumilivu ueshimu ndoa sio uende kwa makahaba au housegirl kwa nini hatuwezi jizuia ktk haya mamba?
 
Back
Top Bottom