Si aweke bajaj ndani ama atumie wheel chair? Hehehe
Hehehe jail ulio andika hapa ni machache, mengi yako moyoni!
Shemeji anarudi lini?
Maana nahisi akikaa wiki tu kitanuka hapo home.
duuu! Mkuu mkeo si amejifungua hv karibun unataka kumsarit tena.......mm mwenyew nilijiuliza kwajinsi navokufaham ndg yang huwez kumwacha bek3 wako tena alivyomzur vile
mmmmh!!!me mgeni kwanza hata csemi kitu
habari ba ndugu
wife hayupo nimebaki na house girl cha ajabu anatoa best customer service ukarimu wa hali ya juu mpaka magoti anaponinawisha da sio kawaida yake anapokuwepo mke wangu sasa najiuliza hii huduma nzuri ninayopata nirudipo home ni ya kweli toka moyoni au ni tego mbona akiwepo wife hafanyaji hayo wenye uzoefu tafadhali
Kubali tu mkuu,ushatamani kukashughulikia hako katoto.By the way labda ndo tabia yake ila mkeo huwa anamnyima nafasi
mgegede tuu mwanawane kabla wife hajarudi. ndio raha ya dunia kuonja onja mashimo tofauti.
Ukijitambua hautafanya usaliti
kalou watu wanahalalisha dhambi kwa vp?kuleta observation jukwaani ni zambi ?unakipimo gani kujua mtu ametenda dhambi?kama huna la kuchangia nyamaza tena lala coz usihukumu usije hukumiwa
observation my foot, we jidanganye mwenyewe
habari ba ndugu
wife hayupo nimebaki na house girl cha ajabu anatoa best customer service ukarimu wa hali ya juu mpaka magoti anaponinawisha da sio kawaida yake anapokuwepo mke wangu sasa najiuliza hii huduma nzuri ninayopata nirudipo home ni ya kweli toka moyoni au ni tego mbona akiwepo wife hafanyaji hayo wenye uzoefu tafadhali
kalou wewe ndo unajidanya jua jf ni mahali pa kuelimishana mtu anapoleta topic ni kwa manufaa ya wote