Dada wa kazi

Dada wa kazi

observation my foot, we jidanganye mwenyewe

kalou wewe ndo unajidanya jua jf ni mahali pa kuelimishana mtu anapoleta topic ni kwa manufaa ya wote
 
yani wewe huwezi kunawa mwenyewe mpaka akunawishe lol akuwekee mezani bakuli unawe mwenyewe acheni kuendekeza hivi vitu jamani

any way labda wewe umelelewa ulaya mila na desturi za makabila ya tz hujui mimi mke wangu pamoja na madigrii yake heshima na utii vipo pale pale ananiwekea chakula ananinawisha mikono na kuniambia karibu mme wangu so huyu dada naye kaiga ila akiwepo mke wangu hafanyagi hayo ni utamaduni mzuri kama umeolewa ila siyo lazima inategemea na jinsi mlivyozoeshana
 
Hiyo ni lazima kumnawisha mumeo na kumwandalia chakula tena na kumpakulia kwenye sahani ikiwezekana na kumpikia mwenyewe siku unazokuwa na nafasi au weekend lkn akisafiri unawekewa maji tu mezani au unanawa kwenye sinki inategemea na mazingira yenu yalivyo
 
Jail kama unampenda kweli mkeo na kumdhamini usimfanyie hivyo na huyo mdada ujaribu kumkataza kama anafanya kitu chochote cha tofauti maana watoto wa sikuizi wameharibikiwa kabisa wanajilengesha wenyewe na hili jambo limewavunja moyo wanawake wengi sana na kumapenzi katikati yao kwasababu hiyo ni sawasawa na kumdhalilisha mwenzio jitume mwenyewe akitaka kukunawisha mwambie weka maji nitanawa tu yani wewe mwenyewe mkataze

asante melisa kwa ushauri mzuri ntaufanyia kazi
 
ni lazima aonyeshe heshima zaidi wakati mkeo hayupo ii na ww umuheshim piga nyeto jombaaaa:A S 41:

molely mimi naweza stahili yani nina self control achana na huo uchafu ni kinyume na maadili ukiona unafanya... ujue una matatizo makubwa akilini usifanye hayo ni hatari kwa maisha yako kama unabisha endelea utakuja nikumbuka acha acha na usoshauri watu wajingize huko yani utumwa mbaya nakuambia hivyo coz nimeluwa nawafanyia conseling vijana wathorika wa hayo unakuwa kama teja why?
 
ni lazima aonyeshe heshima zaidi wakati mkeo hayupo ii na ww umuheshim piga nyeto jombaaaa:A S 41:

molely mimi naweza stahimili yani nina self control achana na huo uchafu ni kinyume na maadili ukiona unafanya... ujue una matatizo makubwa akilini usifanye hayo ni hatari kwa maisha yako kama unabisha endelea utakuja nikumbuka acha acha na usishauri watu wajingize huko yani utumwa mbaya nakuambia hivyo coz nimeluwa nawafanyia conseling vijana walioathirika na tabia hiyo unakuwa kama teja why?
 
habari ba ndugu
wife hayupo nimebaki na house girl cha ajabu anatoa best customer service ukarimu wa hali ya juu mpaka magoti anaponinawisha da sio kawaida yake anapokuwepo mke wangu sasa najiuliza hii huduma nzuri ninayopata nirudipo home ni ya kweli toka moyoni au ni tego mbona akiwepo wife hafanyaji hayo wenye uzoefu tafadhali

Inawezekana mkeo anamkataza kufanya hayo mazingaombwe!!! wanaume bwana mnafurahisha sana. kupigiwa goti tu imekuwa issue???
 
mi ninachokiona hapo ni wewe KUMTAARIFU mkeo hiyo issue ya BEST CUSTOMER SRVC anayotoa huyo dada, na mkeo ndiye atakayekushauri cha kufanya...mh! mume anauma jamani!!

jamiif bwana asante kwa ushauri wako umesema mume anauma je nikimwambia c anaweza mtimua mtoto wa watu any way naona kama anaweza akawa negative kwa hako katoto c unajua wakina mama ka ishu kadogo anaweza valia njuga
 
Mkubwa inawzekana ni wewe umepeleka mawazo yako kusiko, na vyovyote itakavyokuwa kama ni wewe wawaza hivyo au anakutega jaribu sana kuepuka hicho kitu, ni mbaya sana kum-cheat mkeo ila ni mbaya zaidi ku-cheat na haousegirl wenu!

na usharati na uzinzi haufai
ukimfamya tu
1. wife atajua
2. ndoa matatani
3. msichana wa kazi - kazi hana
4 . kwa Mungu utakuwa umechafua zaidi!
5. hautafanya mara moja na kucha- utarudia tu!! na hasa kama ni........... ( na hata kama sivyo alivyo atahakikisha anakuwa hivyo ili akuweke sawa!!
epuka S
 
ni kweli mume anauma kaka, na hata kwa wale wenye mapenzi kwa wake zao pia mke anauma....fikiria ebu mfano ungekuwa na house BOY halafu akafanya hayo anayofanya huyo housegirl kwa mkeo, UNGEPENDA? naamini usingependa (hii inaaply km ni kweli unampenda kwa dhati mkeo)...so ili kulinda uhusiano wako na mkeo (hao mahausgel huwa ni wa kupita tu na hamna mkataba naye) mimi nakuomba umuelezee kwa upendo tu, kiroho safi bila jazba, yeye atajua cha kufanya maana nikwambie ukweli kaka, baadhi ya mahausgirl wana kasumba ya kuiba waume za watu hasa walio DHAIFU..ila kwa wewe naona ume-mature enuf na unampenda mkeo, so ni bora umuweke wazi yeye ndio atadeal naye..hawa baadhi ya mahsgl wanakera sana, wanakuta nyumba za watu zimetawaliwa na upendo na uaminifu wenyewe wanataka kuharibu kutokana na hulka zao mbaya..WASHINDWE!!
jamiif bwana asante kwa ushauri wako umesema mume anauma je nikimwambia c anaweza mtimua mtoto wa watu any way naona kamu anaweza akawa negative kwa hako katoto c unajua wakina mama ka ishu kadogo anaweza valia njuga
 
Inawezekana mkeo anamkataza kufanya hayo mazingaombwe!!! wanaume bwana mnafurahisha sana. kupigiwa goti tu imekuwa issue???

caro nawe mwanaume anapenda nyenyekewa/ heshimiwa wakati mwanamke furaha yake kupendwa hayo ndo mazingaombwe ya kwenye ndoa mi nafurah sana mke wangu anaponyenyekea hata kama nimekosea hafoki hapo nampa kila atakacho fanya hayo caro ktk mahusiano yako utaona tofauti utii ni bora kuliko pesa vyeo nk wengi wanazani wanaume wanababaika na uzuri au umbo hapana ni tabia we jiulize kwa nini ma house girl wanavuruga ndoa coz wanasoma nyumba kama mke anamfrastrate mume wakati dada wa kazi anamwekea chakula kazi zote yeye mama wala hana mpango lazima mume ataona yule anayemhudumia vizuri heri
 
na usharati na uzinzi haufai
ukimfamya tu
1. wife atajua
2. ndoa matatani
3. msichana wa kazi - kazi hana
4 . kwa Mungu utakuwa umechafua zaidi!
5. hautafanya mara moja na kucha- utarudia tu!! na hasa kama ni........... ( na hata kama sivyo alivyo atahakikisha anakuwa hivyo ili akuweke sawa!!
epuka S

asante kwa mchango mzuri
 
Hivi ule msemo kwamba: mwanaume ni kitunguu ulishaisha siku hizi? Kama bado upo sioni tatizo kumpa haki yake huyo beki tatu maana naye ni binadamu. La msingi heshima ndani isishuke.... Hapa tunaambizana uongo tu, hivi tunavyoongea huyu jamaa ameshammaliza huyo mtoto ndo maana anaonesha manjonjo yake in the absence of her boss (wife). So jamaa amekuja kutujaribu tu, mpeni ukweli...
 
kumbe nawe umeona mkuu da hata kama huko negative sio uwatukane watu usiowajua anatuita mijanaume mengine laiti angejua kuna wanawake wenzio wanalia usiku na mchana wapate wanaume anaowatukana any way wa kumsamehe bure hajui afanyalo

Huyu dada bwana uchaguzi wake wa maneno sio mzuri ila hii inaweza kudetermine aina ya mtu hata huko aliko angeweza kufikisha ujumbe ila uchaguzi wa maneno uwe mzuri....ila tusishangae huenda ana allergy na ME huwezi jua bwana watu wanatendwa kila siku
 
Hivi ule msemo kwamba: mwanaume ni kitunguu ulishaisha siku hizi? Kama bado upo sioni tatizo kumpa haki yake huyo beki tatu maana naye ni binadamu. La msingi heshima ndani isishuke.... Hapa tunaambizana uongo tu, hivi tunavyoongea huyu jamaa ameshammaliza huyo mtoto ndo maana anaonesha manjonjo yake in the absence of her boss (wife). So jamaa amekuja kutujaribu tu, mpeni ukweli...

acuty usiongee kwa kuhisi sasa kama nimefanya niwajaribu wana jf kwa faida gani any way ni mtizamo wako topic ni observation yangu kwa dada wa kazi akiwa wife hayupo anatoa anakuwa anatoa best customer service kuliko anapokuwepo wife so tulikuwa tunajadili ni tego au nini soma ndo uchangie karibu
 
Huyu dada bwana uchaguzi wake wa maneno sio mzuri ila hii inaweza kudetermine aina ya mtu hata huko aliko angeweza kufikisha ujumbe ila uchaguzi wa maneno uwe mzuri....ila tusishangae huenda ana allergy na ME huwezi jua bwana watu wanatendwa kila siku

kweli kama yamewah kumkuta lazima apanic aonapo mada kama hz akizan ni walewale
 
Back
Top Bottom