excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,861
Habari ba ndugu,
Wife hayupo nimebaki na house girl cha ajabu anatoa best customer service ukarimu wa hali ya juu mpaka magoti anaponinawisha da sio kawaida yake anapokuwepo mke wangu sasa najiuliza hii huduma nzuri ninayopata nirudipo home ni ya kweli toka moyoni au ni tego mbona akiwepo wife hafanyaji hayo wenye uzoefu tafadhali.
ishara ya kudai nyongeza ya salary na marupurupu!!!!
sasa inaonekana salary unampa....!!!!!
tatizo marupurupu!!!!!