DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,485
- 99,210
Sio ajabu alikua anajing'ata kucha akiomba Iyo NAMBA.Mwanaume wa kweli unatongoza hapo hapo na kuomba upewe mzigo hapo hapo unajizungusha nini sasa
Sio ajabu alikua anajing'ata kucha akiomba Iyo NAMBA.Mwanaume wa kweli unatongoza hapo hapo na kuomba upewe mzigo hapo hapo unajizungusha nini sasa
Mwanaume gani unakosa ujasiri wa kumuomba mwanamke unamtaka namba?
Hahaha yaan mkuu we acha tu anachoandika utafikir ubongo upon makalioniHaha …! Mwezi mchanga. Watu Jeiefu bhana. Ila ngoja niwaache ila muwe mnajiongeza.! Usser eeh..! Njoo PM mara moja
Na ni mvulana kweli, sijui ndo anaanza mapenzi,Jamaa bado ana element za uvulana. Hahaha matured kiakili na kimtazamo
Hahaha yaan we acha tu. Yaan mtu anavyokoment utafikir ubongo upo makalioniHaha …! Mwezi mchanga. Watu Jeiefu bhana. Ila ngoja niwaache ila muwe mnajiongeza.! Usser eeh..! Njoo PM mara moja
Then why cant u tell her where u got it!?..whats stopping you?.Dishonest?? Did I lie about how I get her number ?? I didn’t. You just came here with yo lazy ass attacking and bragging that I was dishonest. FU too jerkass
Huyo anaogopa kugongesha magari wanawake now days wana chain ndefu kutaka kujua umepata wapi ili kujiridhisha na sio kwa usalama hapana na boys tunatabia jamaa akipita kwa demu flan akakusimulia kuwa demu yupo vzr lazima na wewe utake kupitaHabari gani wadau na wanajamvi wenzangu wa jamvi pendwa la MMU?
Eti mtu nimekuwa napiga naye stori kila mara kwenye ki glosari kimoja hivi. Sasa nikawa nimemuelewa, huyu dada ni mzuri kusema ukweli halafu anakamwili fulani portable sana yaani .
Nikawa namvutia muda tu, basi akawa ananipigisha stori za hapa na pale. Sikumuomba namba, juzi nikaomba namba yake kwa rafiki yake. Daah yule dada bila hiyana hakuninyima maana nikimwambia nimempenda rafiki yako kusema ukweli.
Sasa nimemtafuta huyu dada, nakwambia kakomalia eti nimwambie nani kanipa namba yake. Swali ni kwamba, una miaka 28+ hujaolewa, uko single unapata wapi jeuri ya kumkomalia mwanaume akuambie amepewa na nani namba yake?
Seriously
Kuweni serious basi dada zetu.
Halafu ukishatajiwa flani katoa namba ukamletee makelele ama ni kitu gani kitafuata?Ok lakini kwangu mimi sio kawaida au bora ujitambulishe mimi fulani nimepata nambaako kutoka kwa fulani ningependa tujuane or watsoever lakini sio blah blah coz unaulizwa namba umepata wapi...
Ujinga kuanza kung’ang’ania nani kakupa namba yangu! Unajua obvious ni mtu unayemfahamu ndio atakuwa kampa namba sasa usumbufu wa kazi ganiWewe ndio hauko serious asee,.tena huyo dada akikupea tam bila kumjibu swali lake kuwa umepata wapi namba yake,basi wewe na yeye wote "juakali".....
Kwani nguvu zenyewe zinasemaje?Tuanzie kwanza, kwa nn wewe umepungukiwa nguvu za kuombea namba kwa wanawake?
Unaliona jepesi hilo!? Yani ubaya ukishatajiwa utakimbilia kumchamba alietoa namba kama vile sijui amefanya dhambi gani!Kwa hiyo ukimwambia ulipoitoa namba utapungukiwa nini?huu ni utoto wakati kama umemfata mwenye 28+ wewe utakuwa kwenye 30 huko,mtu mzima wewe
Acha kuplay hide and seek,kama ulishindwa kumuomba namba yeye moja kwa moja atleast mwambie ulipoipata...umri wake usikufikirishe sana
Yeye ndio mzizi wa matatizo lazima ajulishwe kuwa alivyofanya sio sawa ili siku nyingine asirudie.Sio kila mtu anapenda kugawa namba yake private ovyo yeye alikuwa ni kama nani achukue maamuzi atoe namba kiholela tu.Rafiki mwema hawezi kufanya hivyo!Yaani kamuuza mwenzie hivihivi lol 😅 halafu hataki muhusika ajue kwasababu anajua anakosa la jinai!Halafu ukishatajiwa flani katoa namba ukamletee makelele ama ni kitu gani kitafuata?
Mkuu,Ujasiri ninao sana tu tatizo lilikuja hapa.! Yule dada huwa anakuwa na rafiki zake so kuna siku nikawa napiga naye stori baadae nikawa nimeondoka so nikawa sijachukua namba ..! Kuonana naye juzi ile nilimkuta maeneo hayo hayo wanazungumza mambo ya michezo sijui imekuaje..! Nikaona nikiomba namba hapa na yuko na rafiki zake nikaona sio vizuri ningojee rafiki zake waondoke nichukue namba. So badala ya kubaki yeye aliondoka na wenzake Mkuu. Ila mwenyewe nimeongea naye na kanielewa na tunachati tu sasa hivi.
Eti udomo zegeSio ajabu alikua anajing'ata kucha akiomba Iyo NAMBA.
Sasa we badala ufurahie unatafutwa af msiifanye kuwa big deal! Akikupigia mwanaume ambaye nawewe ulikua unamzimia wala hutakomalia mambo sijui ya namba kaitoa wapi ila kila kitu kinaenda smooth like butter!Yeye ndio mzizi wa matatizo lazima ajulishwe kuwa alivyofanya sio sawa ili siku nyingine asirudie.Sio kila mtu anapenda kugawa namba yake private ovyo yeye alikuwa ni kama nani achukue maamuzi atoe namba kiholela tu.Rafiki mwema hawezi kufanya hivyo!Yaani kamuuza mwenzie hivihivi lol 😅
Jamaa alichofeli kashindwa kuomba namba kijanja wakati anapataga Airtime ya kuongea na manzi! Ni domo zege mselaHamna mwanaume hapa
We ningeshampiga block siku nyingi!Tena ndo kama hata kujieleza ndo anazunguka kizungumkuti sina muda wa kupoteza kabisa!Sasa we badala ufurahie unatafutwa af msiifanye kuwa big deal! Akikupigia mwanaume ambaye nawewe ulikua unamzimia wala hutakomalia mambo sijui ya namba kaitoa wapi ila kila kitu kinaenda smooth like butter!
Tabu tunapewa sie ambao hatuna mivuto! Unamjua kabisa ni Juma ndio kakutafuta ila kwa kuwa ni shambaboy unaona hastahili kuwa na wewe ndio unamtia unyonge kwa kukomalia nani kakupa namba!
Kuna mdau kasema jamaa anasumbuliwa na upungufu wa Nguvu za kuomba namba.Eti udomo zege