Dada tuliekutana Mwenge please nitafute

Dada tuliekutana Mwenge please nitafute

Halafu ni kama bahati mimi si mtu wa daladala nimeacha kutumia daladala toka mwaka 2014 gari yangu ilipata matatizo kuna dogo huwa namtuma sana kunichukulia baadhi ya vitu aliligongesha hivyo ile siku tunakutana Cathy nilikuwa naenda shughulikia suala hilo
ihiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii bhaghosha
 
Bro we ni dhaifu sana,hayo mambo ya magari ndiyo nini sasa,unadhani mwanamke mwenye ufahamu wa maisha anajali gari?halafu usikute gari yenyewe ni Brevis.
 
Watu sijui kwanini ukieleza story yako ukasema una gari wanachukulia et ni majivuno na kupenda sifa
Gari ni chombo cha usafiri kama ilivyo baiskeli na pikipiki hauna haja ya kumchukia mtu kisa kasema ana gari wakat ww huna tafuta uje na ww utusimulie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio mapenzi hayo mkuu. Hujui jamaa anampa nini.

Wewe unaweza kumtatulia tatizo la pesa lakini usimpe yale anayopata kwenye mapenzi ya jamaa yake anae panda nae dala dala.

Ana simu cheap kama ulivyosema lakini anapata mawasiliano yote muhimu . Just thinking outside the box.
Hata kama ni mapenzi sio kihivyo mtoto mkali kama yule kuwa na simu ya 400k nikagundua kuna wanaume wanatembea na watu sio hadhi yao kabisaa ni kama wanaonewa huruma tu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu sijui kwanini ukieleza story yako ukasema una gari wanachukulia et ni majivuno na kupenda sifa
Gari ni chombo cha usafiri kama ilivyo baiskeli na pikipiki hauna haja ya kumchukia mtu kisa kasema ana gari wakat ww huna tafuta uje na ww utusimulie

Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea jinsi gari linavyoingizwa kwenye hiyo story yenu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom