Dada tuliekutana Mwenge please nitafute

Dada tuliekutana Mwenge please nitafute

Mkuu naona unataka kumuharibia pasaka yake. Mbona unamwaga mchele kwenye kuku wengi.

Kama ana jamaa yake mwingine saa hizi dada wa watu anakula makofi kwa kukupa namba yake.
Kama kuna jamaa anammiliki huyo mtoto hamfai hata kidogo tena jamaa ni mfujaji huwezi ukaruhusu mtoto kama yule apande daladala halafu atumie simu cheap kiasi kile imenishangaza kweli nahisi hana mtu bado

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kuna jamaa anammiliki huyo mtoto hamfai hata kidogo tena jamaa ni mfujaji huwezi ukaruhusu mtoto kama yule apande daladala halafu atumie simu cheap kiasi kile imenishangaza kweli nahisi hana mtu bado

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mapenzi hayo mkuu. Hujui jamaa anampa nini.

Wewe unaweza kumtatulia tatizo la pesa lakini usimpe yale anayopata kwenye mapenzi ya jamaa yake anae panda nae dala dala.

Ana simu cheap kama ulivyosema lakini anapata mawasiliano yote muhimu . Just thinking outside the box.
 
Jesus Christ what is this!
Do you have balls?
Karne 21!unatongoza kwa kutumia gari!!!
Hiki kizazi!!
Enzi zetu,no smart phone!no Facebook,no nothing!
Na tulikuwa tunang'oa visu hatari! Hata mke wa chifu!aliliwa!
Siku hizi vijana bila swaga!bling bling ,
Haupati goma!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom