Dada tuliekutana Mwenge please nitafute

Dada tuliekutana Mwenge please nitafute

Crap
Wiki iliyopita nilikuwa kwenye daladala za makumbusho nawasiliano tukawa tumekaa na dada mmoja hivi jina aliniambia anaitwa Cathy

Huyu dada cathy sio siri alikuwa mzuri sana na nilijiapiza japo si kawaida yangu kuomba namba kwenye usafiri wa uma lakini kwa huyu nilisema lazima nijitoe ufahamu nichukue

Tukiwa tunatoka mawasiliano nikamuuliza anashukia wapi akasema mpakani nikaona ni kipande kidogo sana hivyo nikajitahidi kujipigisha stori chache ili anipatie namba na kweli mpaka kufika mpakani alikuwa kashanichorea namba na nikaipiga ikaita kwake nikawa na uhakika then yeye akashuka

Ile nimetoka mpakani kuelekea mwenge mataa nikiwa nafurahaa kusave namba ya mtoto cathy alipita jamaa mmoja na boda boda akaikwapua simu yangu na kupotea nayo mazima kiukweli maumivu yalikuwa makubwa sana si kwaajili ya simu yangu ila ile namba muhimu niliyopewa na Cathy

Tumaini pekee lilikowa limebaki ni kurenew namba labda mtoto Cathy atanitafuta leo ni siku ya tatu toka nirenew napigiwa na wengi ila sijaona simu ya huyu mtoto kuingia sasa sijui anasubiri nianze mimi kumtafuta au alijaribu akaona sipatikani

Naomba nikuombe Cathy kama upo humu na unausoma uzi huu kama namba yangu bado unayo nitafute leo kabla ya pasaka utafurahi sana au kama uliifuta namba kwa bahati mbaya njoo pm fasta leo ule pasaka utakayoikumbuka maisha yako yote

Halafu ni kama bahati mimi si mtu wa daladala nimeacha kutumia daladala toka mwaka 2014 gari yangu ilipata matatizo kuna dogo huwa namtuma sana kunichukulia baadhi ya vitu aliligongesha hivyo ile siku tunakutana Cathy nilikuwa naenda shughulikia suala hilo

Ila wakuu nimejifunza kitu nilikuwa nadharau sana hizi daladala kumbe kuna wadada wazuri wengi wanatumia huu usafiri tujitahidi kuwapunguza huko kama una kiuwezo hata IST sio mbaya kwa mtoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gwele Kuna dada alikuwa Ana piga kelele hospitali pale muhimbili...wiki iliyo pita,Kwa jina nili sikia anaitwa Cathy ..alikuwa amepata ngoma...haamini.sa sijui ndio huyo unaye mtafuta au....
 
Gwele Kuna dada alikuwa Ana piga kelele hospitali pale muhimbili...wiki iliyo pita,Kwa jina nili sikia anaitwa Cathy ..alikuwa amepata ngoma...haamini.sa sijui ndio huyo unaye mtafuta au....
Mkuu huyo dada hata mm nilimuona muhimbili halaf alikuwa kisu kwel naona ndo huyo anayemzungumzia mtoa mada NDO YEYE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
........Halafu ni kama bahati mimi si mtu wa daladala nimeacha kutumia daladala toka mwaka 2014 gari yangu ilipata matatizo kuna dogo huwa namtuma sana kunichukulia baadhi ya vitu aliligongesha hivyo ile siku tunakutana Cathy nilikuwa naenda shughulikia suala hilo......
Sasa mkuu umenukuu kwa maana ipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nimcheki yupo laws school pele.. aliposhuka mi ni yule aliyekuwa na nguo nyeupe pale pembeni. Ila mbona so mzuri kama unavyosema? Ni mbena wa njombe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom