Dada Juliana Shonza, haya ni ya kweli?

Dada Juliana Shonza, haya ni ya kweli?

Status
Not open for further replies.
Aibu kwao kwa kukubali kutumiwa na kuwa wategemezi/chuma ulete wakati umri unawataka wajishughulishe na kutumia uwezo na maarifa waliyojaliwa na Muumba

Wanatumika kama madoll nje ya maduka ya nguo,jioni yanaingizwa ndani,huyo mwanamke na mwenzake yanatumika kama Mazuzu,ukiyauliza vizuri hayajui hata hatima yao,ni tumbo hadi anashindwa salimu mzazi anaishia jukwaan,atapata lana asipoangalia
 
Wana-JF!

Katika pekua pekua zangu, nimekuta taarifa isemayo kuwa, dada Juliana Shonza alihakikishiwa ubunge wa viti maalumu kama angekosa fursa ya kugombea jimboni katika majimbo ya uchaguzi.

Kuhakikishiwa huko kulifuatia kukubari kwake kushiriki katika kukinadi CCM na kueleza mabaya ya CHADEMA kwenye majukwaa katika harakati zake za kisiasa.

Ila ndoto zake hizo za ubunge wa viti maalumu ziko njia panda, kwani mapendekezo ya awali ya rasimu ya katiba yana eleza kuwa;

"hakuta kuwa na viti maalumu isipokuwa kwa makundi maalumu tu kwenye jamii", na mimi nijuavyo dada Shonza wewe sio kundi maalumu.

Dada Shonza, taarifa hii imetapakaa tayari, jambo la msingi ni kuitolea ufafanuzi taarifa hii ili uweze kusafisha hali hii ya sintofahamu kwa wana-CCM na jamii kwa ujumla.

1) Hiyo taarifa iko wapi?

2) "kukubari" ndio nini?
 
Hapo lazima gagulo limshuke kwa ukondefu wa kiuno. Usikute ndio maana juzi akasema mkutanoni "hakuna chama chenye mafisadi wengi kama CCM". Tunaweza kudhani alijimix kumbe kawapa live.

Chezea dukuduku + kisasi wee
 
Mkuu lakini utofautishe Serikali ya Shirikisho na Serikali ya Tanganyika, who knows may be Tanganyika itaendeleza hii system ya viti maalum!!
 
Na alivyojiharibia kwa kusema ccm imejaa mafisadi ndo kabisa tutamsahau


Hiki ni kituko. Yaani anatukana mamba kabla ya kuvuka mto? Ndiyo tatizo la watu kufikiri kuwa kwenye siasa ni lazima utukane watu. Naamini siasa za staha zinawezekana ila zinahitaji mtu mwenye upeo mkubwa na mwenye kuamini kile anachokizungumza na wala siyo utumwe na watu wengine kuwasilisha maoni yao. Hili la kuwasilisha maoni ya watu wengine lifanyike only when it is necessary ad not always. Nadhani watu kama Juliana Shonza ndiyo waliofanya watu wavichukie viti maalum ingawa wabunge wengine kwenye hii category ni wazuri sana tu.
 
BREAKING NEWS:JULIANA SHONZA ANUSURIKA KUTEKWA NA WATU WASIOJULIKANA MJNI DODOMA
Habari zilizopatikana sasa hivi kutoka DODOMA zinasema JULIANA SHONZA amenusurika kutekwa na watu waliokuwa wenye gari(TINTED). Ni katika eneo NKUHUNGU-DARAJA MBILI karibu na MALUWE BAR. SHUHUDA wa tukio hilo amedokeza kuwa baada ya kugundua kuwa kuna wtu wanamfuatilia kwa nyuma aliamua kukimbia , ndipo watu hao waliposhuka na kuanza kumfukuza. Inasemekana kilichomsaidia dada huyo ni kitendo chake cha kuamua kukimbilia ndani ya nyumba ya mtu na wabaya wake wakaamua kurudi na kupanda gari lao na kutokomea kusikojulikana
 
BREAKING NEWS:JULIANA SHONZA ANUSURIKA KUTEKWA NA WATU WASIOJULIKANA MJNI DODOMA
Habari zilizopatikana sasa hivi kutoka DODOMA zinasema JULIANA SHONZA amenusurika kutekwa na watu waliokuwa wenye gari(TINTED). Ni katika eneo NKUHUNGU-DARAJA MBILI karibu na MALUWE BAR. SHUHUDA wa tukio hilo amedokeza kuwa baada ya kugundua kuwa kuna wtu wanamfuatilia kwa nyuma aliamua kukimbia , ndipo watu hao waliposhuka na kuanza kumfukuza. Inasemekana kilichomsaidia dada huyo ni kitendo chake cha kuamua kukimbilia ndani ya nyumba ya mtu na wabaya wake wakaamua kurudi na kupanda gari lao na kutokomea kusikojulikana

"USALAMA WA JULIANA SHONZA NA MTELA MWAMPAMBA" kuna uwezekana wameamua sasa kumfanyia ukweli manake mimi taarifa hizo nilizikuta hapahapa Dodoma ila mods wakafunga uzi.
 
BREAKING NEWS:JULIANA SHONZA ANUSURIKA KUTEKWA NA WATU WASIOJULIKANA MJNI DODOMA
Habari zilizopatikana sasa hivi kutoka DODOMA zinasema JULIANA SHONZA amenusurika kutekwa na watu waliokuwa wenye gari(TINTED). Ni katika eneo NKUHUNGU-DARAJA MBILI karibu na MALUWE BAR. SHUHUDA wa tukio hilo amedokeza kuwa baada ya kugundua kuwa kuna wtu wanamfuatilia kwa nyuma aliamua kukimbia , ndipo watu hao waliposhuka na kuanza kumfukuza. Inasemekana kilichomsaidia dada huyo ni kitendo chake cha kuamua kukimbilia ndani ya nyumba ya mtu na wabaya wake wakaamua kurudi na kupanda gari lao na kutokomea kusikojulikana

Hata kama aliwatukana naomba wasimdhuru. Hakuna mwenye haki ya ku-temper na uhai wa mtu.
 
Mnamzungumzia mwnykt wa magwanda alimjaza yule wa viti maalum.
 
"USALAMA WA JULIANA SHONZA NA MTELA MWAMPAMBA" kuna uwezekana wameamua sasa kumfanyia ukweli manake mimi taarifa hizo nilizikuta hapahapa Dodoma ila mods wakafunga uzi.

Hadi kufika 015 hawa watoto watafanyiwa jambo zito sana ili isingiziwe cdm naona hawaijui ccm well.
 
Mkuu, mimi pia ni kada, wala hanisumbui huyu Shonza, ila hakuna kitu nacho kichukia kama mtu opportunist, huyu dada na juhudi zake hizi ana fanya kwa ukereketwa wake ama ana tarajia fadhira?

Kuna vijana wengi tu wa UVCCM wamewekwa kando, ila kuwatumia hawa vijana kwa mfumo huu ni kusema hapo awali kabla hawa vijana hawajahamia, CCM haikuwa na vijana wa kukinadi chama?

well said...af jamaa ni mjeni na siasa hata wewe akujui.....
 
BREAKING NEWS:JULIANA SHONZA ANUSURIKA KUTEKWA NA WATU WASIOJULIKANA MJNI DODOMA
Habari zilizopatikana sasa hivi kutoka DODOMA zinasema JULIANA SHONZA amenusurika kutekwa na watu waliokuwa wenye gari(TINTED). Ni katika eneo NKUHUNGU-DARAJA MBILI karibu na MALUWE BAR. SHUHUDA wa tukio hilo amedokeza kuwa baada ya kugundua kuwa kuna wtu wanamfuatilia kwa nyuma aliamua kukimbia , ndipo watu hao waliposhuka na kuanza kumfukuza. Inasemekana kilichomsaidia dada huyo ni kitendo chake cha kuamua kukimbilia ndani ya nyumba ya mtu na wabaya wake wakaamua kurudi na kupanda gari lao na kutokomea kusikojulikana

source?
nazani alie mpa mimba anataka ayanye abotion kinguvu.....
pia....
ccm wanaweza watoa kucha awa watoto walio hama cdm, ili kuisingizia chadema. na huyu dada kuanza kuropoka kuwa ccm inaongoza kwa mafisadi pia kitamcost......hawa ni chambo ndani ya ccn
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom