Dada Juliana Shonza, haya ni ya kweli?

Dada Juliana Shonza, haya ni ya kweli?

Status
Not open for further replies.
Sasa kilicho kufanya kuja na maelezo mareeeeefu hivi halafu utuambie kwamba "Anyway, hili ni juu ya Juliana Shonza kulitolea ufafanuzi kama atapenda" maana yake nini?

Hili ndilo tatizo la "KUBINAFSISHA AKILI" lazima uandike kile Bwana anapenda. Kutwa kucha upo mbele ya computer cha maana unacho post hakuna.

Mbona hata yeye mwenyewe anajua kwamba kaahidiwa! Au ndio bifu kati ya wewe na Juliana kwa Mwigulu limeanza? Tujuze!
Bora kubinafsisha akili kuliko kuiuza kabisa.

Akili yako umeiuza kiasi kwamba unaweza kujua kama mimi kutwa kucha nipo mbele ya computer na huku ukifuatilia ninacho kipost ambacho unasema hakina maana. Huwezi kupata mtu mwenye akili timamu ambaye kutwa kucha anafuatilia kusoma post ambazo hazina maana. Huyu mtu atakuwa ameuza akili zake, kwa maana nyingine, he's empty headed if not imbecile.
 
Wewe unamdanganya nani na siasa zenu za uongo naona juliana shonza anawatesa hadi hamlali mimi nashindwa kuwaelewa kweli mtoto wa kike anawatesa kiasi hicho kweli huyu dada kiboko.

Itakuwa hujawahi kukaa na shonza na ndio mana hujui kama uwezo wake kisiasa ni kidogo sana.WEWE MSIFIE TU ILA YULE NI BICHWA MAJI.
fatilia hata post zake nyingi fb kwa kuwa haumjui na utaamini maneno yangu.
JINSIA ILIMSAIDIA mana wanawake ni wachache kwenye ulingo wa siasa.
 
Na alivyojiharibia kwa kusema ccm imejaa mafisadi ndo kabisa tutamsahau

Msimlaumu, Hilo la kujaa ufisadi kweli limejaa moyoni mwake na huenda linamkera, Ila huwa anaficha kwa ajili ya njaa. Na ninaona alivyolitamka huenda alikuwa anafikiria hatima ya ahadi yake kuyeyuka kutokana katiba mpya kajikuta limemponyoka. Acha naye aonje utamu wa kuahidiwa hewa kama wanavyoahidiwa watanzania wengine.
 
Ni muda mfupi ujao Juliana tutamsahau katika medani ya siasa. Siasa ni zaidi ya alivyokuwa anadhani. Tulivyoambiwa tuchanganye na zetu wakati wa maamuzi ni msemo sahihi wakati wowote na mahali popote..!
 
Wana-JF!

Katika pekua pekua zangu, nimekuta taarifa isemayo kuwa, dada Juliana Shonza alihakikishiwa ubunge wa viti maalumu kama angekosa fursa ya kugombea jimboni katika majimbo ya uchaguzi.

Kuhakikishiwa huko kulifuatia kukubali kwake kushiriki katika kukinadi CCM na kueleza mabaya ya CHADEMA kwenye majukwaa katika harakati zake za kisiasa..

Kiongozi zidumu fikra za mwenyekiti Waitikiaji zidumuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Mwecheni dada wa watu asipopewa ubunge kwa kuwa unatoweka kikatiba atapata hata mume mwenye unafuu wa maisha. C tunajua hiyo ndio ATM ya kwanza.
 
1) Hiyo taarifa iko wapi?

2) "kukubari" ndio nini?

Mkuu, pole sana. Unadhani wewe ndiwe uliye sahihi katika Kiswahili? Hapana. Hilo neno "ndio" katika Kiswahili fasaha hutumika kamaanisha kundi au makundi. Hapa ulitakiwa utumie neno "ndiyo nini"?
 
ukisikia mtu kapishana na gari la mshahara basi ndo huyu juliana ,maana kutoka kuwa makamu m/kiti bavicha taifa mpaka kuwa posho ya mwigulu

kwiiiiiiiiiii kwi kwi kwi kwiiiii! Wakuu punguzeni kidogo mubakize mengine, Kwa leo imetosha maana ndg yenu sina hata nguvu ya kupanda hii bodaboda hapa nilipo na nimeisimamisha
 
Anaweza leo akajipa ukilema then akawa kwenye kundi maalum
 
Mh. Rasi vile viti vyake maalum hatoi hivi hivi. Na ndiyo maana alimpa Mbatia kwa kazi nzuri zaidi!! you know what I mean!! huyu shonza alishamaliza kazi ya toilet kwa hiyo yuko ndani ya dust bin!!! Mwisho wake kisiasa uliishia pale na mamluki wengine mnatakiwa kujifunza kupitia kwa Shonza na Mtela na wengine!!!
 
Kwa jinsi Juliana
alivyokuwa ambitious, anaweza hata kukata mguu wake ili akwolifai kundi
maalaumu. She is just too much.

Hapo wako radhi kumto hata jicho na kucha kwa ajili ya qualification
 
Vijana mpo??????? Huyu Juliana Shonza si mumbebeshe Mimba ili akae alee watoto au hana kizazi nini.
 
Mkuu, Kabla ya kufikia uamuzi wa kumtaka aje kukanusha ungejenga hoja mbadala kwanza ya PROCESS ambayo CCM walikuwa wanaitumia kuwapata wabunge wa viti maalum na kama ungepata upenyo wa shimo linalotumika kufanya kile ambacho unadai Juliana Shonza aliahidiwa, ndiyo ungekuja na hoja ya kumtaka akanushe.

PROCESS ambazo CCM ilikuwa inazitumia katika kuwapata wabunge wa viti maalum ziko wazi na siyo kama baadhi ya vyama vingine ambavyo wabunge wake wa viti maalum walipatikana kwa njia ambazo ni viongozi wachache wanazijua.

Hata nafasi ambazo Rais alitakiwa kikatiba kuzitoa kwa watu anaopenda bila kuulizwa sababu yake, Rais alizitoa kwa uangalifu mkubwa kwa watu ambao kila mwenye akili pevu alijua sababu za msingi za kufanya hivyo kwa maslahi ya Taifa.

Hoja yako inakosa nguvu kwa vile msingi wa hoja hauko.

Anyway, hili ni juu ya Juliana Shonza kulitolea ufafanuzi kama atapenda pamoja na kwamba hakuna basis za kufanya hivyo.

Wewe unamjibia Juliana kama nani? kwenye Kuhemewa pia unamsaidia?
 
ubunge sio last resort ya mwanasiasa...ccm ina fursa nyingi ikiwemo uhuru wa mtu kutoa maoni na kukijenga chama chake..fursa hiyo ameipata juliana baada ya kuikosa kwa muda mrefu huko chadema, chama cha kidikteta

Ni kweli CCM ina fursa nyingi lakini hawa mapacha wawili shozy na mwampamba wanasafiria nyota/bahati ya kufukuzwa chadema wakiwa viongozi which happens to be sera kuu ya ccm. Ukifukuzwa upinzani unakuwa mfalme ccm. Jaribu kupitia hotuba zao hawa vijana utakubaliana nami wao kama wao ni watupu sera wanazojua ni za chadema, siri za chadema, mhe zitto sumu ya ben saanane, nje ya hpo waulizi ilani ya uchaguzi ya ccm inasemaje?

Bahati mbaya aliyepewa jukumu la kuwajenga ili baadaye wawe viongozi wa kujivinia ccm nae ni speacilist wa siasa za maji taka....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom