Dada Juliana Shonza, haya ni ya kweli?

Dada Juliana Shonza, haya ni ya kweli?

Status
Not open for further replies.
Ila wewe jamaa yangu Safari ni Safari uwaga unanifuraisha sana na hii misemo yako. Hii hapa inamaanisha nini Mkuu: Zogolo Dangu Dawika Miye! Kitakuwa kilugulu cha Matombo hiki. Au? Ameahidiwa Ndizi eti? ha ha ha

Hicho ni Kizaramo.......ulikuwa wimbo maarufu sana RTD katika kipindi cha Muziki Asilia

Zogolo dangu dawika miye,
Eee dawika miye

Wanangu leo kudila kisamvu!
 
JS.JPG
Hicho ni Kizaramo.......ulikuwa wimbo maarufu sana RTD katika kipindi cha Muziki Asilia

Zogolo dangu dawika miye,
Eee dawika miye
Wanangu leo kudila kisamvu!


Na huyu mtoto kakulia hapahapa Dar huyu. Huu wimbo unamfaa sana huyu. ha ha ha.
Af kitu kingine Safari_ni_Safari ee, Wazaramo na Walugulu si ndo hao hao tu?.

Zogolo dangu dawika miye,
Eee dawika miye
Wanangu leo kudila kisamvu!

Ngoja niutafute huu wimbo. Pale TBC watakuwa nao tu....
 
View attachment 96958

Na huyu mtoto kakulia hapahapa Dar huyu. Huu wimbo unamfaa sana huyu. ha ha ha.
Af kitu kingine Safari_ni_Safari ee, Wazaramo na Walugulu si ndo hao hao tu?.

Zogolo dangu dawika miye,
Eee dawika miye
Wanangu leo kudila kisamvu!

Ngoja niutafute huu wimbo. Pale TBC watakuwa nao tu....

Kama PEREGE na SATO.....hata Mabaraka Mwinshehe alizikwa Mzenga ingawa watu walidhani Mluguru
 
ubunge sio last resort ya mwanasiasa...ccm ina fursa nyingi ikiwemo uhuru wa mtu kutoa maoni na kukijenga chama chake..fursa hiyo ameipata juliana baada ya kuikosa kwa muda mrefu huko chadema, chama cha kidikteta
 
Juliana Shonza nafahamu kwamba huyu ni CHADEMA damu sema tu yule jamaa mwenye chuki na panya wa uvunguni ndiye aliyemharibia.
 
Last edited by a moderator:
Wewe unamdanganya nani na siasa zenu za uongo naona juliana shonza anawatesa hadi hamlali mimi nashindwa kuwaelewa kweli mtoto wa kike anawatesa kiasi hicho kweli huyu dada kiboko.
 
Aibu kwao kwa kukubali kutumiwa na kuwa wategemezi/chuma ulete wakati umri unawataka wajishughulishe na kutumia uwezo na maarifa waliyojaliwa na Muumba
 
Wewe unamdanganya nani na siasa zenu za uongo naona juliana shonza anawatesa hadi hamlali mimi nashindwa kuwaelewa kweli mtoto wa kike anawatesa kiasi hicho kweli huyu dada kiboko.

Mkuu, mimi pia ni kada, wala hanisumbui huyu Shonza, ila hakuna kitu nacho kichukia kama mtu opportunist, huyu dada na juhudi zake hizi ana fanya kwa ukereketwa wake ama ana tarajia fadhira?

Kuna vijana wengi tu wa UVCCM wamewekwa kando, ila kuwatumia hawa vijana kwa mfumo huu ni kusema hapo awali kabla hawa vijana hawajahamia, CCM haikuwa na vijana wa kukinadi chama?
 
Kwa jinsi Juliana alivyokuwa ambitious, anaweza hata kukata mguu wake ili akwolifai kundi maalaumu. She is just too much.
 
Rais wako alimpaje ubunge Vicky Kamata? Unazijua sababu?
Ukitaka jibu la haraka, Kawaulize wanaCCM Geita watakupa jibu au ukitaka kuushughulisha kidogo ubongo wako, ziondoe akili za kibavicha bavicha na nenda ukasome taratibu za CCM zinazotumika kuwapata wabunge wake wa viti maalum.
 
Mkuu, Kabla ya kufikia uamuzi wa kumtaka aje kukanusha ungejenga hoja mbadala kwanza ya PROCESS ambayo CCM walikuwa wanaitumia kuwapata wabunge wa viti maalum na kama ungepata upenyo wa shimo linalotumika kufanya kile ambacho unadai Juliana Shonza aliahidiwa, ndiyo ungekuja na hoja ya kumtaka akanushe.

PROCESS ambazo CCM ilikuwa inazitumia katika kuwapata wabunge wa viti maalum ziko wazi na siyo kama baadhi ya vyama vingine ambavyo wabunge wake wa viti maalum walipatikana kwa njia ambazo ni viongozi wachache wanazijua.

Hata nafasi ambazo Rais alitakiwa kikatiba kuzitoa kwa watu anaopenda bila kuulizwa sababu yake, Rais alizitoa kwa uangalifu mkubwa kwa watu ambao kila mwenye akili pevu alijua sababu za msingi za kufanya hivyo kwa maslahi ya Taifa.

Hoja yako inakosa nguvu kwa vile msingi wa hoja hauko.

Anyway, hili ni juu ya Juliana Shonza kulitolea ufafanuzi kama atapenda pamoja na kwamba hakuna basis za kufanya hivyo.

mkuu hapo kwenye upenyo wa shimo linalotumika!, unamaana utaratibu unaotumika au?
 
huyu naye yupo kwene special needs " wasio na akili nzuri" so atapata kiti maalum akaongoze milembe
 
Mkuu, Kabla ya kufikia uamuzi wa kumtaka aje kukanusha ungejenga hoja mbadala kwanza ya PROCESS ambayo CCM walikuwa wanaitumia kuwapata wabunge wa viti maalum na kama ungepata upenyo wa shimo linalotumika kufanya kile ambacho unadai Juliana Shonza aliahidiwa, ndiyo ungekuja na hoja ya kumtaka akanushe.

PROCESS ambazo CCM ilikuwa inazitumia katika kuwapata wabunge wa viti maalum ziko wazi na siyo kama baadhi ya vyama vingine ambavyo wabunge wake wa viti maalum walipatikana kwa njia ambazo ni viongozi wachache wanazijua.

Hata nafasi ambazo Rais alitakiwa kikatiba kuzitoa kwa watu anaopenda bila kuulizwa sababu yake, Rais alizitoa kwa uangalifu mkubwa kwa watu ambao kila mwenye akili pevu alijua sababu za msingi za kufanya hivyo kwa maslahi ya Taifa.

Hoja yako inakosa nguvu kwa vile msingi wa hoja hauko.

Anyway, hili ni juu ya Juliana Shonza kulitolea ufafanuzi kama atapenda pamoja na kwamba hakuna basis za kufanya hivyo.

Sasa kilicho kufanya kuja na maelezo mareeeeefu hivi halafu utuambie kwamba "Anyway, hili ni juu ya Juliana Shonza kulitolea ufafanuzi kama atapenda" maana yake nini?

Hili ndilo tatizo la "KUBINAFSISHA AKILI" lazima uandike kile Bwana anapenda. Kutwa kucha upo mbele ya computer cha maana unacho post hakuna.

Mbona hata yeye mwenyewe anajua kwamba kaahidiwa! Au ndio bifu kati ya wewe na Juliana kwa Mwigulu limeanza? Tujuze!
 
ubunge sio last resort ya mwanasiasa...ccm ina fursa nyingi ikiwemo uhuru wa mtu kutoa maoni na kukijenga chama chake..fursa hiyo ameipata juliana baada ya kuikosa kwa muda mrefu huko chadema, chama cha kidikteta

Aliyokua anayasema kuhusu ccm kipindi yupo Chadema yanaukweli?Ama kweli njaa + u malaya ni vitu vibaya sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom