Dada Juliana Shonza, haya ni ya kweli?

Dada Juliana Shonza, haya ni ya kweli?

Status
Not open for further replies.
Huyu na mwampamba ni zero kabisa.unaweza sema afadhali ya mchange hatumiki sana na magamba,kidogo namuona mitandaoni.
 
Acha uongo au na wewe anakumega umesahau aliyoyafanya Igunga hadi kisa cha vijana sasa kumwita shemeji.
 
Shonza ana wakati mgumu sana ndani ya ccm, inasadikika baadhi ya vigogo ndani ya ccm wanajipanga kupeleka hoja kwenye vikao vya chama kuwa mtela na shonza wasiendelee kupanda majukwaa ya ccm! Wanajenga hoja kwamba ccm ina vijana wengi na wanachama watiifu lakini hawatumiki majukwaani, kwa nini ccm iwatumie hawa vijana wasiokijua vizuri chama? Tusubiri na tuone!
 
Come on guys, let's talk about issues ahead not PEOPLE. Mnakipandisha chat hiki kibibi kwa kukiongelea saaana hapa JF!
 
BREAKING NEWS:JULIANA SHONZA ANUSURIKA KUTEKWA NA WATU WASIOJULIKANA MJNI DODOMA
Habari zilizopatikana sasa hivi kutoka DODOMA zinasema JULIANA SHONZA amenusurika kutekwa na watu waliokuwa wenye gari(TINTED). Ni katika eneo NKUHUNGU-DARAJA MBILI karibu na MALUWE BAR. SHUHUDA wa tukio hilo amedokeza kuwa baada ya kugundua kuwa kuna wtu wanamfuatilia kwa nyuma aliamua kukimbia , ndipo watu hao waliposhuka na kuanza kumfukuza. Inasemekana kilichomsaidia dada huyo ni kitendo chake cha kuamua kukimbilia ndani ya nyumba ya mtu na wabaya wake wakaamua kurudi na kupanda gari lao na kutokomea kusikojulikana
Ni mchezo wa kutengenezwa huu hamna chochote hapo,na inawezekana ni magamba wenzake wanataka kumfanyia na wana sababu za kumfanyia hivyo,na moja ya sababu ni kuipotosha jamii juu ya tukio husika,siasa za kizamani,maccm ni majitu ya ajabu sana lakini kwa kadiri Mungu aishivyo watanaswa wenyewe kwenye hila zao,na tutawafukia kwenye mashimo wanayowachimbia wapinzani.Pambaf sana.
 
hivi kwa nini tunamkubali kumjadili mtu ambaye hana impact kwa chama kama juliana shenzi?
 
Shonza j, please napenda kuendelea kuishi, siasa ni kujenga hoja,kukosoana,na kupeana ukweli palipo na sintofaham tuwekane sawa kuwa ccm nami cdm si uadui wa kutishiana na kupanga mipango mibaya,wana jf mtashangaa hii comment bt juen kuwa mi ni mwanafunzi ambaye nahitaj kumaliza chuo,kuwa na uhai ili nije kuitetea tz kama wote waipendao. J.shonza bila shaka unajua nini nasema.pole kwa majukumu rudi chadema kwa moyon,japo nje ni ccm.
 
Bado nina wasiwasi sana na CCM, kwa wingi wao, sidhani kama wataaacha kutetea upuuzi kama wa vitu maalum. Tusubiri tuone!

Manake huko ndipo wakuu wanawaweka vimada vyao na wanakula pesa tu bila ya kuwa na kazi yoyote ile!
 
shonza sote tunaanimi na hakuna shaka ya kuwa anatumiwa na kundi fulani ila yeye hajitambui na siku ikifika ndo ataamini ya kuwa dunia haina huruma kama alivyoimba bahati bukuku na kwa sababu uwezo wake wa kudadavua mambo ni mdogo basi tusitegemee miujiza kutoka kwake ila tu awe na moyo wa uvumilivu pindi atakapowekwa pembeni
 
Mkuu, Kabla ya kufikia uamuzi wa kumtaka aje kukanusha ungejenga hoja mbadala kwanza ya PROCESS ambayo CCM walikuwa wanaitumia kuwapata wabunge wa viti maalum na kama ungepata upenyo wa shimo linalotumika kufanya kile ambacho unadai Juliana Shonza aliahidiwa, ndiyo ungekuja na hoja ya kumtaka akanushe.

PROCESS ambazo CCM ilikuwa inazitumia katika kuwapata wabunge wa viti maalum ziko wazi na siyo kama baadhi ya vyama vingine ambavyo wabunge wake wa viti maalum walipatikana kwa njia ambazo ni viongozi wachache wanazijua.

Hata nafasi ambazo Rais alitakiwa kikatiba kuzitoa kwa watu anaopenda bila kuulizwa sababu yake, Rais alizitoa kwa uangalifu mkubwa kwa watu ambao kila mwenye akili pevu alijua sababu za msingi za kufanya hivyo kwa maslahi ya Taifa.

Hoja yako inakosa nguvu kwa vile msingi wa hoja hauko.

Anyway, hili ni juu ya Juliana Shonza kulitolea ufafanuzi kama atapenda pamoja na kwamba hakuna basis za kufanya hivyo.

Ni kweli process ziko wazi na zinafahamika. Moja ya process kubwa hasa kwa wadada ni kugawa nyapu... Very easy
 
Hamy-D, Lumumba wamekuudhi nini leo mpaka umewageuka au malipo ndiyo walikukata kiaina?? Au walichelewesha malipo???
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom