Dada Juliana Shonza, haya ni ya kweli?

Dada Juliana Shonza, haya ni ya kweli?

Status
Not open for further replies.
mkuu una akili sana swali hilo hilo lilikua likirindima kichwani mwangu
 
Dada hamida hahaha hahaha mbona umewageuka UVmagamba wenzako hahaha hahaha sidhani kama utapata buku 7.maana hii thread ni mwiba mchungu sana kwa magamba na UV-Magamba.sasa kama mtawatenga hawa vijana juliana shonza na mtela mwampamba mnataka waende wapi? Maana kwa makamanda hatuwaki.jamani acheni kuwa nyanyapaaa hao makamanda wa zamani.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom