Wana-JF!
Katika pekua pekua zangu, nimekuta taarifa isemayo kuwa, dada Juliana Shonza alihakikishiwa ubunge wa viti maalumu kama angekosa fursa ya kugombea jimboni katika majimbo ya uchaguzi.
Kuhakikishiwa huko kulifuatia kukubali kwake kushiriki katika kukinadi CCM na kueleza mabaya ya CHADEMA kwenye majukwaa katika harakati zake za kisiasa.
Ila ndoto zake hizo za ubunge wa viti maalumu ziko njia panda, kwani mapendekezo ya awali ya rasimu ya katiba yana eleza kuwa;
"hakuta kuwa na viti maalumu isipokuwa kwa makundi maalumu tu kwenye jamii", na mimi nijuavyo dada Shonza wewe sio kundi maalumu.
Dada Shonza, taarifa hii imetapakaa tayari, jambo la msingi ni kuitolea ufafanuzi taarifa hii ili uweze kusafisha hali hii ya sintofahamu kwa wana-CCM na jamii kwa ujumla.
Katika pekua pekua zangu, nimekuta taarifa isemayo kuwa, dada Juliana Shonza alihakikishiwa ubunge wa viti maalumu kama angekosa fursa ya kugombea jimboni katika majimbo ya uchaguzi.
Kuhakikishiwa huko kulifuatia kukubali kwake kushiriki katika kukinadi CCM na kueleza mabaya ya CHADEMA kwenye majukwaa katika harakati zake za kisiasa.
Ila ndoto zake hizo za ubunge wa viti maalumu ziko njia panda, kwani mapendekezo ya awali ya rasimu ya katiba yana eleza kuwa;
"hakuta kuwa na viti maalumu isipokuwa kwa makundi maalumu tu kwenye jamii", na mimi nijuavyo dada Shonza wewe sio kundi maalumu.
Dada Shonza, taarifa hii imetapakaa tayari, jambo la msingi ni kuitolea ufafanuzi taarifa hii ili uweze kusafisha hali hii ya sintofahamu kwa wana-CCM na jamii kwa ujumla.