kabwinyola
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 560
- 678
Inawezekana tena sana, ni kujiheshimu na kujitunza ndio siri. Mm nilikaa nayo mpaka naolewa.
Inawezekana tena sana, ni kujiheshimu na kujitunza ndio siri. Mm nilikaa nayo mpaka naolewa.
InatokeaKwanza inakuaje mpaka mnafika kuyaongea hayo na dada yako?
hahahaha kabisaTanzania hii hakuna msichana mwenye umri kama huo ambaye ni bikira...
Inabidi huyo dada tumpeleke pale makumbusho ya Taifa...
Tuma no yake ya cmNina dada (upande wa mama mkubwa) ana miaka 22 mpaka leo hajawai kuwa na mwanaume yeyote sababu anazosema anataka mimi ndie nimtoe bikra yake.
Nifanye nini ndugu zangu?
Jamani wapo kabisaaaa, ila wachache sanaa mm ni msichana nina 23 mwakani January natimiza 24 and bado bikra kabisaaaa cjawahi kuingizwa mb**hahahaha kabisa
Nakubaliana na ww kabisaa, athibitishe kauli yake, wakat bikra wapo nikiwemo mmUnaweza kuthibitisha msemo wako?
ntakuunga mkono baadae, hahaha!Nakubaliana na ww kabisaa, athibitishe kauli yake, wakat bikra wapo nikiwemo mm
Naishi Dar es salaamntakuunga mkono baadae, hahaha!
24 years? damn! Unaishi kanda ya ziwa mrembo?
Sawa mama tuishie hapa kwa leo nisimwage mpunga kwenye chiriku wengi..Naishi Dar es salaam
We mwaga tu nimekuruhusuSawa mama tuishie hapa kwa leo nisimwage mpunga kwenye chiriku wengi..
au sio?