Dada anataka nimtoe bikira yake

Una maanisha mtoto wa mamako mkubwa ? Mamako na mamake wamezaliwa familia moja.Omba Mungu akuepushe na hilo hata sheria za nchi zinakataza achilia za dini yoyote ile.huyo ni dadako na mumwambie akatafute mume kabisa aolewe.inaonekana mnaishi nyumba moja kubwa yenye ndugu tofauti tofauti ndan
Hapana hatuishi nyumba moja
 
Mimi ninachokushauri nipatie cont.zake kama C.E.O wa chama cha watoa bikra kwa njia salama nitamsaidia
 
Hauwez kuwa unavaa mlegezo halaf utarajie kupata vijana shipavu, ndio maana hata vibaka wanatamba mtaan vijana hawawez wafukuza sababu ya mlegezo.
Yaan wamelegea kwelikweli!! Mungu tu awasaidie...mlegezo+ earphone+ kiduku = -boy.
 
Kweli kabisa unakuja kuuliza hilo swali, mtoe basi abebe baraka na nyota yako...au ndio uishi maisha ya tabu yake yanyooke.... Au mengine yasiwezekane kabisa maishani mwako...

Hauoni hilo ni jambo la ajabu?

Usijaribu hata kufikiria tena. Au mrafutie bwana amtoe ukiona anakazania wewe labda utashtuka kujua kuna kitu... Hivyo kaa nae mbaki kabisaaaaa...ya duniani mengi kama hujui
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom