TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
Marafiki wa dereva anayedaiwa kugonga pampu ya mafuta wakishuhudia tukio ,kushoto ni mhusika akijificha sura yake
Ni tukio la kwanza la aina yake mkoani Iringa kwa gari kugonga pambu ya mafuta katika kituo ,hata kama ni 'L'dereva huyo mwanamke ambaye ni mtumishi wa umma katika moja kati ya Halmashauri za wilaya za mkoa wa Iringa amepitiliza