Cyprian Musiba: Rais hataki miaka 7 ila sisi tunataka, Bunge lifanye mabadiliko ya Katiba

huyu jamaa sio mzima kiakili..haki ya mama nawaambia kuna siku atavua nguo hadharani ndio mtaniamini
 
Mkurugenzi Mkuu wa CZ Information & Media Consultant LTD, Cyprian Majura Nyamagambile amesema kuwa Rais hataki kuongoza miaka saba lakini wao wanataka kwakuwa wana haki ya kutoa maoni yao kama wananchi.



Ameyasema hayo jijini Dar es salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, ambapo amelitaka Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufanya mabadiliko ya vipengele vya Katiba ili iweze kumuwezesha rais kutawala kwa muda wa miaka saba.

“Rais Dkt. Magufuli alishasema hataki miaka saba. hata juzi karudia tena kwamba hataki lakini sisi tunataka miaka saba, na tunaliomba bunge libadili Katiba,”amesema Nyamagambile

Hata hivyo, ameongeza kuwa Rais Magufuli ni wa mfano wa kuigwa Afrika kwa yale anayoyafanya kwani wengi wameshindwa lakini yeye ameweza.


Amelitaka Bunge kama nani?
 
Mkurugenzi Mkuu wa CZ Information & Media Consultant LTD, Cyprian Majura Nyamagambile amesema kuwa Rais hataki kuongoza miaka saba lakini wao wanataka kwakuwa wana haki ya kutoa maoni yao kama wananchi.



Ameyasema hayo jijini Dar es salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, ambapo amelitaka Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufanya mabadiliko ya vipengele vya Katiba ili iweze kumuwezesha rais kutawala kwa muda wa miaka saba.

“Rais Dkt. Magufuli alishasema hataki miaka saba. hata juzi karudia tena kwamba hataki lakini sisi tunataka miaka saba, na tunaliomba bunge libadili Katiba,”amesema Nyamagambile

Hata hivyo, ameongeza kuwa Rais Magufuli ni wa mfano wa kuigwa Afrika kwa yale anayoyafanya kwani wengi wameshindwa lakini yeye ameweza.

Hivi huyu kijana ni mzima kweli ?
 
Mkurugenzi Mkuu wa CZ Information & Media Consultant LTD, Cyprian Majura Nyamagambile amesema kuwa Rais hataki kuongoza miaka saba lakini wao wanataka kwakuwa wana haki ya kutoa maoni yao kama wananchi.



Ameyasema hayo jijini Dar es salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, ambapo amelitaka Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufanya mabadiliko ya vipengele vya Katiba ili iweze kumuwezesha rais kutawala kwa muda wa miaka saba.

“Rais Dkt. Magufuli alishasema hataki miaka saba. hata juzi karudia tena kwamba hataki lakini sisi tunataka miaka saba, na tunaliomba bunge libadili Katiba,”amesema Nyamagambile

Hata hivyo, ameongeza kuwa Rais Magufuli ni wa mfano wa kuigwa Afrika kwa yale anayoyafanya kwani wengi wameshindwa lakini yeye ameweza.

Runing out of ideas
 
Obeid mlaga kati ya viongozi wavuta bangi miaka ya 1990's tulimpokea pale ifunda na kukaa mabweni ya seuta na mirambo.. huyu hakumaliza shule kwa kumpiga mwanafunzi mwenzake kutokana na bangi zake... binafsi simjui kwa jina hili la sasa...

Aliishia form two, akabadili kwa kutumia cheti cha form four cha ndugu yake wa huko Mara. Alifunga ndoa Mali alimtolea Rais mstaafu Jakaya Kikwete. Wakati akiwa anafanya kazi Magic FM na Channel Ten alikuwa anajigamba kuwa ni usalama wa Taifa.

Kwa sasa anamiliki gazeti la Tanzanite ofisi zake zipo jirani na Mesuma hotel Kijitonyama.
Baada ya kufukuzwa Ifunda, alitumia cheti cha mtu kuingia JWTZ. Na huko JWTZ hakukaa muda mrefu. Alifukuzwa.
 
Yule niliyesoma mahali flani kuwa halipi wafanyakazi wake mishahara, amemtelekeza mkewe na watoto sababu ya hawara ailiyetajwa kwa jina la rehema ndie huyu au?
 
Mnatufanya sote nchi nzima kuwa niwapumbavu au vipi
Hivi kweli Magu awe hataki, Mtaweza kufanya nyie?? Kuna ambaye angelisubutu kuinua mdomo?
 
Maana yake ni kwamba, kwa kuwa wabunge ni wengi chama hiki, itapitishwa ya miaka saba saba, halafu hapo baadaye akipatikana rais wa upande wa pili, itakuja ipitishwe miaka minne minne!
 
Si awaombe tu wabadilishe katiba nzima badala ya kipengre kimoja .............!!

Ile Katiba ya Warioba wangeileta halafu wakaiongezea muda wa Urais ............!!
 
Back
Top Bottom