unam support asilimia 100 maana ni jitihada za kuleta ugali kunyumba
Hahahahahaaaaa mnaleta ugali wp wakati wanaume wamelalamika mnaficha vijisent vyenu!!
unam support asilimia 100 maana ni jitihada za kuleta ugali kunyumba
Wee, huo ugali uje kwa njia halali banaa.... Yaani we ugegedwe in the name of ugali kuingia kwa nyumba.... NO WAY..... Ugali wa hivyo labda uupeleke kwenu.
Kaka haupo sahihi kusema mtu kuandika marital status kwenye resume ni ufoolishness, u know sio wote wanajua kaundika hizo vitu, kwa mfano mimi sijui hata barua ya kuomba kazi inafanana fananaje, nimekuwa mjasiriamali tangu nipo darasa la saba na sitegemei kuajiriwa in recent 200 years to come, so do not be surprised na kitu kidogo kama hicho.
Jamiiforums ni darasa tosha, Nyani Ngabu nakubaliana na wewe kabisa hakuna ulazima wala mantiki ya kuweka Jinsia, sex orientation, dini, kabila au marital status kwa sababu hazina uhusioano wa moja kwa moja na utendaji wa kazi. Ila umri nadhani ni muhimu kumwezesha mwajiri kujipanga muda alionao kukunyonya baasi!!
DON'T INCLUDE PERSONAL INFO
Personal information does not belong on a professional resume. Do not include your age, marital status, race, hobbies, or political affiliation on your resume. DO PROOFREAD. There is nothing worse than a resume filled with typos, grammatical errors, coffee stains, or printing problems. This resume represents your career in one critical document -- take the time to review it carefully before sending it out.
1. Personal information. The only personal information required on a resume is your contact information. This means your address, email, and phone number. Anything else is irrelevant and unnecessary. Do not include your age, race, gender, political party, religion, etc. These items do not belong on your resume.
CV nyingi ziwe za Ke/Me zina vigugumizi, ninapofanyia kazi hata kama hujaolewa au kuoa unaandika umeolewa ili mradi mpenzi ulienae apate bima ya matibabu. so hao wanaoandika single nina mashaka na company wanazofanyia kazi.
Kaka haupo sahihi kusema mtu kuandika marital status kwenye resume ni ufoolishness, u know sio wote wanajua kaundika hizo vitu, kwa mfano mimi sijui hata barua ya kuomba kazi inafanana fananaje, nimekuwa mjasiriamali tangu nipo darasa la saba na sitegemei kuajiriwa in recent 200 years to come, so do not be surprised na kitu kidogo kama hicho.
Hakuna umuhimu wowote wa kuweka marital status kwenye CV. Kama unaona marital status yako ni relevance kwenye hiyo kazi unayoomba, basi fafanua kwenye kwenye covering letter.
Kwa ujinga uliopo Tanzania sitashangaa kama kuna watu wanaoweka kabila, political party affiliation, na nani walimpigia kura (kwenye urais) katika uchaguzi uliopita!
CV nyingi ziwe za Ke/Me zina vigugumizi, ninapofanyia kazi hata kama hujaolewa au kuoa unaandika umeolewa ili mradi mpenzi ulienae apate bima ya matibabu. so hao wanaoandika single nina mashaka na company wanazofanyia kazi.
I wish to know hizo details ulizotoa mpaka % ulizifanyia wapi research au feasilibility study? Japo from my experience makampuni mengi binafsi wana prefer zaidi kuajiri watu ambao ni single when it comes to women ili tu kuweza kuepukana na unnecessary excuses from work when their staff becomes pregnant coz pregnancies mpaka delivery takes time na huwa inaathiri sana performance ya mtu kazini plus days off nyingi etc.
Mbanga wa njangu umali kuniyelewa... Kuna vandu vangi bilu kuvabaka makisira au pangi sobola kumihu wala viva he ni akilingoja nitume cv yangu asee
Neene:ngati mwenyee dadii aniitili kadala
Mau:kachiki
Daadi:kadoda
mngana:si mwenye yule pasiko wa pale kumfaranyaki
lihengu:mtumishi lejio maria
uzoefu:ngati kila dominika nihudumiii kweeli ku misa,kuimba kweeeli nyimbo za Mama
shule:ku perahamiho kula kwa baba buruda wenyee mwaka nikosiwi neene
cc Fixed Point, Mzee tupatupa kipipi moto2012 na wengine wooote wenye mapenzi mema
bila kumsahau my gal Kaunga
Hiyo sio kweli na hakuna sheria kama hiyo. Hapo ni kuleta stereotypes na discrimination against marital status.
Kila employer anatakiwa awe EOE