data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,943
- 23,883
Tena muwe mnaweka kabisa na tarehe mlizofunga hizo ndoa, majina ya waume au wake zenu, pamoja na idadi na majina ya watoto mliopata kwenye hizo ndoa. Mkimaliza hayo muweke na majina ya wakwe, mashemeji, na marital statuses zao ili resumes zenu ziwe highly professional.
umepotoka sana kwenye huu uzi..nimekufuatilia tangu mwanzo...sijui ni BANGEEE,...
U r not the type of that shit u r posting