Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,077
- 136,505
Ili wajue kama ni medical, itakava wangapi.... usijitoe akili banaa...
Halafu nyie watu mmefundishwa wapi kuandika hizo resumes ambazo mnaweka marital au relationship status zenu?
That's just so unprofessional.
Kiranga come see this foolishness.
Halafu nyie watu mmefundishwa wapi kuandika hizo resumes ambazo mnaweka marital au relationship status zenu?
That's just so unprofessional.
Kiranga come see this foolishness.
What the hell are you talking about?
Ni kampuni gani hizo ambazo huomba marital status kwenye resume ya muomba kazi?
Lazima vitakuwa ni hivyo vikampuni vyenu mbuzi na vya kijinga huko tambuka reli kwa sababu hakuna kampuni ya maana inayoweza kumuomba mtu habari ambazo hazihusiani kabisa na kazi aitakayo.
Na kama unazungumzia medical benefits, huo ni uamuzi wa mwajiriwa kuhusu nani amweke kwenye list ya covered dependents wake na nani asimweke.
It's just so stupid. Honestly, one of the most stupidest thing I've ever heard.
Halafu nyie watu mmefundishwa wapi kuandika hizo resumes ambazo mnaweka marital au relationship status zenu?
That's just so unprofessional.
Kiranga come see this foolishness.
What the hell are you talking about?
Ni kampuni gani hizo ambazo huomba marital status kwenye resume ya muomba kazi?
Lazima vitakuwa ni hivyo vikampuni vyenu mbuzi na vya kijinga huko tambuka reli kwa sababu hakuna kampuni ya maana inayoweza kumuomba mtu habari ambazo hazihusiani kabisa na kazi aitakayo.
Na kama unazungumzia medical benefits, huo ni uamuzi wa mwajiriwa kuhusu nani amweke kwenye list ya covered dependents wake na nani asimweke.
It's just so stupid. Honestly, is the most stupidest thing I've ever heard.
Kaka haupo sahihi kusema mtu kuandika marital status kwenye resume ni ufoolishness, u know sio wote wanajua kaundika hizo vitu, kwa mfano mimi sijui hata barua ya kuomba kazi inafanana fananaje, nimekuwa mjasiriamali tangu nipo darasa la saba na sitegemei kuajiriwa in recent 200 years to come, so do not be surprised na kitu kidogo kama hicho.
Hapo kwenye BOLD....???????????????????????????????? kwa hiyo anaweza akasema mtoto wa kwanza asiwepo lakini mkeo awepo na mtoto wa tatu awepo...????
Am sure haumaanishi brother, unless otherwise utakuwa umezaliwa mwaka 1995, mtu nkuandika marital status kwenye resume yake, unasema " THE MOST STUPIDIEST THING U'VE EVER HEARD!". Hujasikia kuhusu Waziri Mkuu wa Tanzania kusema wanao leta fujo wapigwe tu? na nyingine zinazo fanana na hizo? Brother please be serious even for just a second bhana barabara chee barabara chee!
Kama mtu hajui basi anauliza. Details za kuweka kwenye resume ni zile tu ambazo zinahusiana na kazi husika. Siyo kuweka details za ajabu ajabu kama marital au relationship status wakati kazi uliyoomba ni ya kuwa controller wa kampuni.
Kama wana hamu sana ya kujua kuhusu hayo basi wasubiri hadi watakapokupa hiyo kazi na mtaambizana kwenye water cooler small talk(s).
Kaka hicho unacho kizungumzia hakipo aplicable hapa Tz , kwa Tz CV lazima ionyeshe jinsia, lazima ionyeshe na marital status, kuna baadhi ya kampuni na watu hutakiwa kusema hadi their sexuality oreintation
Anyway, kwa Tanzania sishangai sana maana ujinga unaendekezwa kuliko werevu.
Sasa sijui na picha zenu za passport size huwa mnaziweka kwenye hizo resumes? Na kilo zenu nazo huwa mnaweka? Kimo je? Na idadi ya watoto kama mnao huwa mnaweka pia? Idadi ya siblings je? Hobbies nazo mnaweka?
Ni lazima kwa mujibu wa nani au nini? Waajiri huwa wanaweka huo ulazima kwenye matangazo yao ya hizo nafasi za kazi kwamba utumapo maombo ni lazima uweke hali yako ya kindoa? Au sheria za kazi ndo zinasema ni lazima uweke hilo?
Na dhumuni la kutangaza mwelekeo wako wa kijinsia ni lipi hasa?
That is crazy.
Hadi sexual orientation
Wanawake mlioolewa kuja huku kujibu mashtaka, wengine hatujaolewa ila tumeoanahapa kuna ka ukweli coz hawajakanusha
Vyovyote vile lakini ukweli ndo huo...Aiseee!! Hivi wewe unafanya kazi ya kuajiriwa kweli? Au umejiajiri mwenyewe?
SMDH!!