Cv za wake za watu!

Cv za wake za watu!

Ha ha ha hahaaaaaaaa! hidimini umeamua kunchana live et! aya bhana mi naachana na hyo wangu mana mabango yamezd jaman?
 
Kama mtu hajui basi anauliza. Details za kuweka kwenye resume ni zile tu ambazo zinahusiana na kazi husika. Siyo kuweka details za ajabu ajabu kama marital au relationship status wakati kazi uliyoomba ni ya kuwa controller wa kampuni.

Kama wana hamu sana ya kujua kuhusu hayo basi wasubiri hadi watakapokupa hiyo kazi na mtaambizana kwenye water cooler small talk(s).


Wizara ya elimu inapoajiri walimu wanawake
suala la kupangiwa vituo vya kazi au kupewa uhamisho
linahusiana direct na kama ameolewa au la...
so wengi wanaomba uhamisho kwa kusema tu mumewe yupo mkoa fulani
na mashirika mengi ya ummah wanawake walioolewa hawapewi uhamisho wa nje ya mkoa
so....
 
Vyovyote vile lakini ukweli ndo huo...
Mkubwa kinachoonekana ujinga TZ, si lazima kionekane hivyo kwingine (na kinyume chake).......
Mkubwa, ukumbuke kuwa hayo hayo makampuni huwa yanakuwa na family day. Kwamba kimsingi unatakiwa uende na familia yako.

Na usipoenda na familia ndo itakuwaje sasa? Unaachishwa kazi? Unapunguziwa mshahara? Au unakuwa written up?

Bado naona ni ujinga mkubwa sana kuweka mambo binafsi kama hayo kwenye resume. Na chuoni nilipofundishwa jinsi ya kuandika cover letter na kui-tailor resume iendane na kazi ninayoomba, katu sikufundishwa kuwa details kama marital status, rangi ya ngozi, dini, uzito, urefu, na kuambatanisha picha ni lazima uziweke.

Anyway, nisishangae sana maana Tanzania ni nchi inayoenda kijinga jinga tu. Ndo maana hata ujinga unaonekana ndo kawaida.
 
Japo sikubaliani moja kwa moja na Nyani Ngabu, ila kuna baadhi ya maneno yake yana ukweli.
Mimi binafsi japo sio mwnamke lakini CV yangu haina Jinsia, Umri, marital status wala dini na nimeshafanya kazi na bado nipo kazini.

Umuhimu wa hayo mambo utakuja kwenye mchakato wa kutaka kuajiriwa ndio watakwambia jaza form zao na makabrasha mengine ambayo yatahitaji hizo taarifa. Lakini sio kuweka kwenye CV.
 
Japo sikubaliani moja kwa moja na Nyani Ngabu, ila kuna baadhi ya maneno yake yana ukweli.
Mimi binafsi japo sio mwnamke lakini CV yangu haina Jinsia, Umri, marital status wala dini na nimeshafanya kazi na bado nipo kazini.

Umuhimu wa hayo mambo utakuja kwenye mchakato wa kutaka kuajiriwa ndio watakwambia jaza form zao na makabrasha mengine ambayo yatahitaji hizo taarifa. Lakini sio kuweka kwenye CV.

Enheee, unaona sasa...walau yupo anayeelewa. Hizo habari zingine huja au huhitajika baadae kabisa tena baada ya kupewa offer ya kazi na wewe kuikubali na licha ya hivyo, mambo kama ya dini au ndoa bado ni ya binafsi sana na hayahitajiki kiulazima unless labda uamue kujitolea tu wewe mwenyewe.
 
Wizara ya elimu inapoajiri walimu wanawake
suala la kupangiwa vituo vya kazi au kupewa uhamisho
linahusiana direct na kama ameolewa au la...
so wengi wanaomba uhamisho kwa kusema tu mumewe yupo mkoa fulani
na mashirika mengi ya ummah wanawake walioolewa hawapewi uhamisho wa nje ya mkoa
so....

Kuomba uhamisho na kuajiriwa ni mambo mawili tofauti kabisa.

Unaajiri mtu kutokana na uwezo, ustadi, sifa, na weledi wake katika kazi aiombayo.

Ndoa, umri, mwelekeo wa kijinsia, urefu, rangi, dini, umbile, sura, na upuuzi mwingine kama hauhusu hata kidogo.

Sema tu kwa vile Tanzania inaendeshwa kijinga kijinga na si litigious society ndo maana ujinga umeshamiri hadi umekuwa norm.

Ingekuwa kwingine hayo ni ma lawsuits waiting to happen.
 
Japo sikubaliani moja kwa moja na Nyani Ngabu, ila kuna baadhi ya maneno yake yana ukweli.
Mimi binafsi japo sio mwnamke lakini CV yangu haina Jinsia, Umri, marital status wala dini na nimeshafanya kazi na bado nipo kazini.

Umuhimu wa hayo mambo utakuja kwenye mchakato wa kutaka kuajiriwa ndio watakwambia jaza form zao na makabrasha mengine ambayo yatahitaji hizo taarifa. Lakini sio kuweka kwenye CV.
Soma tangazo hili la kazi ( Downloads | Advertised Posts ) kwenye kipengele cha... NB: GENERAL CONDITIONS.... XVii, halafu uone unachokubaliana na huyo ndugu kuna siku utakosa kazi hivi hivi

CC

Nyani Ngabu
 
He he he, utajuaje kama kaoa au kaolewa?
Lazima mtu ajipaishe!
Halafu nyie watu mmefundishwa wapi kuandika hizo resumes ambazo mnaweka marital au relationship status zenu?

That's just so unprofessional.
Kiranga come see this foolishness.
 
Last edited by a moderator:
Hatupingi hizo habari kutolewa, tatizo ni katika hatua gani? Mfano makampuni mengine hawahitaji CV, ukitaka kuomba kazi kwao wanakwambia jaza formu kwa ajili ya maombi ya kazi, kama jinsia, umri, dini, marital status vinatakiwa hapo haina jinsi itabidi ujaze lakini sio kuandika moja kwa moja kwenye CV.

Na hii inapelekea watu wengine kutokujua kwamba hata kwenye interview sio kila swali linatakiwa kujibiwa hata kama lina dalili ya kuninyanyapaa.
 
He he he, utajuaje kama kaoa au kaolewa?
Lazima mtu ajipaishe!

Labda wanaomba uonyeshe cheti cha ndoa. Na hata kama watakuomba, ukiwapa feki je? Watajuaje? Wana njia za ku-verify kuhusu hilo?

That's just so stupid.
 
Hatupingi hizo habari kutolewa, tatizo ni katika hatua gani? Mfano makampuni mengine hawahitaji CV, ukitaka kuomba kazi kwao wanakwambia jaza formu kwa ajili ya maombi ya kazi, kama jinsia, umri, dini, marital status vinatakiwa hapo haina jinsi itabidi ujaze lakini sio kuandika moja kwa moja kwenye CV.

Na hii inapelekea watu wengine kutokujua kwamba hata kwenye interview sio kila swali linatakiwa kujibiwa hata kama lina dalili ya kuninyanyapaa.
Lakini mwisho wa siku... FOMU IMETAKA HAYO.... NA .... CV IMETAJA HAYO.... So what is the difference..???

 
Labda wanaomba uonyeshe cheti cha ndoa. Na hata kama watakuomba, ukiwapa feki je? Watajuaje? Wana njia za ku-verify kuhusu hilo?

That's just so stupid.
We sasa unakoelekea siko... Hivi hakuna njia ya kuverifai cheti cha ndoa..??? Afterall ni cha serikali, si cha dini wala kabila lolote....

 
Lakini mwisho wa siku... FOMU IMETAKA HAYO.... NA .... CV IMETAJA HAYO.... So what is the difference..???


Mkuu naona tunapishana sehem ndogo sana, ni lini hizo habari zinahitajika? nnachopinga mimi ni hizo habari kutumika kama kigezo mojawapo cha kunipatia kazi. Na sioni haja ya kuandika hizo habari binafsi kwenye CV yangu.
 
xvii. Women are highly encouraged to apply
Sasa hapo ndio kasema uandike kama umeolewa au haujaolewa?
We si umeseha huonyeshi jinsia ..??? nakunukuu sehemu ya post yako # 44 ... CV yangu haina Jinsia, Umri, marital status wala dini ...... mwisho wa nukuu. Ndo nikakupa mfano huo... ACHA UBISHI USIO NA MAANA

 
Kuomba uhamisho na kuajiriwa ni mambo mawili tofauti kabisa.

Unaajiri mtu kutokana na uwezo, ustadi, sifa, na weledi wake katika kazi aiombayo.

Ndoa, umri, mwelekeo wa kijinsia, urefu, rangi, dini, umbile, sura, na upuuzi mwingine kama hauhusu hata kidogo.

Sema tu kwa vile Tanzania inaendeshwa kijinga kijinga na si litigious society ndo maana ujinga umeshamiri hadi umekuwa norm.

Ingekuwa kwingine hayo ni ma lawsuits waiting to happen.

Tmbelea link hii uone,KIJIWE CHA WASOMI: NAFASI ZA KAZI
 
Mkuu naona tunapishana sehem ndogo sana, ni lini hizo habari zinahitajika? nnachopinga mimi ni hizo habari kutumika kama kigezo mojawapo cha kunipatia kazi. Na sioni haja ya kuandika hizo habari binafsi kwenye CV yangu.
.... usisahahu kuwa CV ni habari binafsi.......
 
We sasa unakoelekea siko... Hivi hakuna njia ya kuverifai cheti cha ndoa..??? Afterall ni cha serikali, si cha dini wala kabila lolote....

Bottom line, kuweka marital status kwenye resume ni ujinga kwa sababu sioni kabisa uhusiano wake na kazi nyingi ambazo watu hufanya. Na kama kuna makampuni yanalazimu hivyo basi yana practise ubaguzi.
 
.... usisahahu kuwa CV ni habari binafsi.......

Habari binafsi za aina gani? Maana habari binafsi zipo za aina tofauti. Katika muktadha wa kikazi kwenye resume unaweka muhtasari wa sifa zako za kitaaluma na kitajiriba zinazokufanya ufae kuomba kazi unayoomba.

Siyo kuweka mambo ya ndoa, dini, wala kabila.
 
Back
Top Bottom