Marital status inahusikaje na uwezo wako wa kufanya kazi? Na unaajiriwa kwa sababu ya marital status au uwezo wa kufanya kazi?
Wekeni basi na vyama vyenu vya kisiasa bila kusahau makabila, dini, hobbies, magonjwa ya zinaa mlowahi kuyapata, na kadhalika.
You are missing the point. Kuwa au kutokuwa na umuhimu kwako hakuikupi haki ya kuwaita wale wanaoona umuhimu wake kuwa ni wajinga sana.