According to Kainerugaba William Lukuvi ni kihiyo aliyegushi sambamba na Makongoro Mahanga, Emanuel Nchimbi, Mary Nagu, Samuel Chitalilo baba lao, David Matayo David Matayo, Mwanjelwa, Didas Massaburi, Hussein Mwinyi ongeza uwajuao tafadhali.
Mkuu hujasoma tabu lake la mafisadi wa taaluma nini? Hiyo ni authoritative source so to speak. Jitahidi upate hilo tabu ufaidike na kujua kuwa Lukuvi wako is but a 'faker'.
Mkuu TCU ilishamsafisha Mathayo David kwamba PhD yake ni halali. Nchimbi ameshaosha cheti chake na kutunikiwa PhD nyingine na Mzumbe University Mwaka jana.According to Kainerugaba William Lukuvi ni kihiyo aliyegushi sambamba na Makongoro Mahanga, Emanuel Nchimbi, Mary Nagu, Samuel Chitalilo baba lao, David Matayo David Matayo, Mwanjelwa, Didas Massaburi, Hussein Mwinyi ongeza uwajuao tafadhali.
- Simtetei Lukuvi, ninatetea CV yake, nasema hivi vipi na huko upande wa pili mkileta Cv ya anamfanana kwa cheo bungeni tuone kama kweli inazidiana au ni yale yale tu!
William.
No hiyo ni year ya kuanza ila hamna ya kumalizza. Labda ni infinityHiyo BA cjui alianza lini? Manake kamaliza 2001
unamfananisha William Lukuvi na mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani Tundu Lissu, you must be kidding
ua kwasababu na wewe ni William, halafu inawezekana haya majina ya William wanayopewa watanzania huwa ni vilaza
unamfananisha William Lukuvi na mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani Tundu Lissu, you must be kidding
ua kwasababu na wewe ni William, halafu inawezekana haya majina ya William wanayopewa watanzania huwa ni vilaza
- Duh! hii CV ni safi sana kuliko wengine wengi huko bungeni ambao hatutaki kuwasema hapa, maana tukidai zao itakwua kiama hapa, binafsi I am impressed na hii CV kumbe ana elimu kubwa tu, saafi sana!
- Jamani siasa za siku hizi ni muhimu sana kuchambua kwa Comparative, yaani unaonyesha CV ya Upinzani iliyo sawa unalinganisha na mtu wa CCM mwenye hadhi kama yake huko upande wa pili, na mnajua nani huko upande wa pili anakaribia wadhifa na Waziri Lukuvi, so mlete zote tuone mpunga na mchelle ulipo, au?
- Otherwise, inakuwa unbalanced analysis!
William.
According to Kainerugaba William Lukuvi ni kihiyo aliyegushi sambamba na Makongoro Mahanga, Emanuel Nchimbi, Mary Nagu, Samuel Chitalilo baba lao, David Matayo David Matayo, Mwanjelwa, Didas Massaburi, Hussein Mwinyi ongeza uwajuao tafadhali.
- Duh! hii CV ni safi sana kuliko wengine wengi huko bungeni ambao hatutaki kuwasema hapa, maana tukidai zao itakwua kiama hapa, binafsi I am impressed na hii CV kumbe ana elimu kubwa tu, saafi sana!
- Jamani siasa za siku hizi ni muhimu sana kuchambua kwa Comparative, yaani unaonyesha CV ya Upinzani iliyo sawa unalinganisha na mtu wa CCM mwenye hadhi kama yake huko upande wa pili, na mnajua nani huko upande wa pili anakaribia wadhifa na Waziri Lukuvi, so mlete zote tuone mpunga na mchelle ulipo, au?
- Otherwise, inakuwa unbalanced analysis!
William.
Ujuzi alionao kujipendekeza