Hivi W. J. M huwa huna kazi nyingine ya kufanyazaidi ya kukesha hapa jf. Maana kwenye thread zote za kidaku hukosekani. Aisee!!!..............Kazi kweli kweli!!!
For sure!conclusion: a successful opportunist.
hata kwenye kuomba kura ulibakia ha! Ha! Haa!.....looser
Hivyo vigaragasha vya certificate alivyotoa ni upuuzi tu hakuna elimu yoyote hapo, ila nampongeza kuwa mwishoni alisoma OUT na kupata Masters unless digrii zao sasa zimeanza kuwa za bwelele tu.
Kwangu mimi ninawapongeza sana watu wanojiendelea kielimu ukubwani bila kuwa na motive nyingine zaidi ya knowledge; hata hivyo ninajua fika kuwa watu wa namna hiyo huwa na elimu ya kuunga tu, kwani anapojifunza basic laws ukubwani wakati network ya ubongo wake imeshakamilika, asilimia kuwa ya mambo anayojifunza huwa yanaingia na kutoka, ndiyo maana tunakazaniwa kutoa elimu nzuri sana kwa watoto wetu wakati wangali wanakua. Elimu sahihi ya ukubwani ni ile inayoendeleza udadisi utokanao na elimu ya msingi. Tukumbuke kuwambwa mzee hafunidishwi mbinu za kuwinda.
Mawaziri wetu wote waliosomea ukubwani wakiwa na madaraka walikuwa na motive ya kuboresha CV zao na kwa jumla watu hawa hawana elimu yoyote kwani iwapo wakipewa cheti bila kuhudhuria darasani watakichukua tu.
Yu masti bi jiniasi. Naunga mkono wazo lako.Tnamjadili mtu wakati yeye anakula nchi.bora tujadili mstakabali wa nchi yetu kuliko kumjadili lukuvi kwasababu kama ccm itaendelea kututawala siku moja watuletea waziri mwendawazimu.
Nimeipenda analysis hii.Hivyo vigaragasha vya certificate alivyotoa ni upuuzi tu hakuna elimu yoyote hapo, ila nampongeza kuwa mwishoni alisoma OUT na kupata Masters unless digrii zao sasa zimeanza kuwa za bwelele tu.
Kwangu mimi ninawapongeza sana watu wanojiendelea kielimu ukubwani bila kuwa na motive nyingine zaidi ya knowledge; hata hivyo ninajua fika kuwa watu wa namna hiyo huwa na elimu ya kuunga tu, kwani anapojifunza basic laws ukubwani wakati network ya ubongo wake imeshakamilika, asilimia kuwa ya mambo anayojifunza huwa yanaingia na kutoka, ndiyo maana tunakazaniwa kutoa elimu nzuri sana kwa watoto wetu wakati wangali wanakua. Elimu sahihi ya ukubwani ni ile inayoendeleza udadisi utokanao na elimu ya msingi. Tukumbuke kuwambwa mzee hafunidishwi mbinu za kuwinda.
Mawaziri wetu wote waliosomea ukubwani wakiwa na madaraka walikuwa na motive ya kuboresha CV zao na kwa jumla watu hawa hawana elimu yoyote kwani iwapo wakipewa cheti bila kuhudhuria darasani watakichukua tu.
Jamaa sio kama kafeli form 4!Bali Hajawahi kanyaga Sekondari kabisa!huyu jamaa ni hewa,o level atakuwa alifeli na a level hajakanyaga.Alafu kakusanya certificate kibao ambazo hata TCU hawazitambui,then katoboa BA,inachekesha hii.