kwa sasa anasoma MA out
Kamaliza MA- in Political Science OUT, last year (Nov.2011) wandugu!
kwa sasa anasoma MA out
- Simtetei Lukuvi, ninatetea CV yake, nasema hivi vipi na huko upande wa pili mkileta Cv ya anamfanana kwa cheo bungeni tuone kama kweli inazidiana au ni yale yale tu!
William.
unamfananisha William Lukuvi na mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani Tundu Lissu, you must be kidding
ua kwasababu na wewe ni William, halafu inawezekana haya majina ya William wanayopewa watanzania huwa ni vilaza
Si lazima wakuletee,we jaribu kuchungulia mwenyewe na utoe hoja hapa, we mwanasiasa gani unataka kulumbana kusiko msingi hapa? Lukuvi ni Chf Whip nani yuko upande wa pili. Angalia usijiharibie staha kdogo waliyokupa vjana wenzio. Elimu ya Lukuvi si ya waziri wa miaka hii.
Kwa upinzani aliye na nafasi ya kufanana na Lukuvi bungeni japo kwa mbali ni Tundu Lisu. Unahitaji kuwa maiti kutaka kulinganisha CV ya Lisu na Lukuvi!!!- Simtetei Lukuvi, ninatetea CV yake, nasema hivi vipi na huko upande wa pili mkileta Cv ya anamfanana kwa cheo bungeni tuone kama kweli inazidiana au ni yale yale tu!
William.
H William twambie basi kwa upinzani mtu aliye na cheo kinachoshabihiana na cha Lukuvi ni nani km si Lisu Tundu, maana binafsi najua wote ni wanadhimu.- Jamani mnanivunja mbavu sana leo na hii kitu! ha! ha! ha! ha! sasa level ya Chief Whip huko Upande wa pili ni nani? ha! ha! ha! ha!
William.
Kwa upinzani aliye na nafasi ya kufanana na Lukuvi bungeni japo kwa mbali ni Tundu Lisu. Unahitaji kuwa maiti kutaka kulinganisha CV ya Lisu na Lukuvi!!!
Nasikiasiku hizi marafiki sana na kainerugaba, kila akimwambia nikutoe? Yeye ujibu , "Hapana Hapana Ndugu yangu, acha kabisa utaharibu" sasa unasemaje? "Tuonane jioni nikitoka kikaoni, nita -KuATM, au Kutigopesa.Mtafuteni kainelugaba msemakweli anawajua wote hao.
- duh sasa na wewe unaongeaje na maiti na wewe sio maiti? Ha! Ha! Ha!
William.
- Simtetei Lukuvi, ninatetea CV yake, nasema hivi vipi na huko upande wa pili mkileta Cv ya anamfanana kwa cheo bungeni tuone kama kweli inazidiana au ni yale yale tu!
William.
CV haitoshi kwa wizara anazopewa wakati kuna watu wengi wenye uwezo mzuri kuliko yeye
Sekondari hajasoma, aliishia la 7 na hicho Chuo cha Iringa anachodai amesoma DEFENCE and SECURUTY ni CHUO CHA VIJANA WA CCM IHEMI pale Ifunda kozi ya mwezi tu. AIBU AFadhali angeenda JKT ndio angesema amesoma ulinzi na usalama
Hiyo BA cjui alianza lini? Manake kamaliza 2001