CV za kusoma ni mbwembwe hasa hasa kwenye mfumo Elimu ambao lengo lake ni kutoa msomi mwenye mawazo tegemezi. Refer kwenye objectives and aims of "Colonial Education", hata baada ya uhuru mfumo haukabadilishwa bali tulibadilishiwa content tu, mbaya zaidi tukakewekewa "Unyerere." So sishangai kwa CV hii bado Werema akawa hivyo alivyo ni mfumo, kuna watu wana uwezo wa "kufaulu" mitihani lakini IQ yao ni ndogo sana. Na viongozi waliotufikisha hapa wote wana CV zilizotukuka lakini wameboronga mwanzo mwisho.
So kwa Werema and etal tusishangae madudu ndivyo walivyo, mfumo uliwabeba na sasa na hizi Division 5 watafyatua Kina Werema, Mulugo wakutosha.