CV ya Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu (Mr II)

Acha upuuzi wa kishabiki usio na sababu. Kiukweli CV ya SUNGU haifai anatakiwa akasome. La sivyo aibu.

kwahiyo inabidi wale ambao hawajasoma zaidi ya form 4, iwe ni aibu kuongoza, acha ushamba na ulimbukeni bwana mdogo.
 
Kweli uko juu Mkuu.. Napenda watu wanaojiamini hivi, sio kama watukanao. badala ya kujenga hoja wanabaki kumlilia mod.
Mkuu hata robo ya elimu yangu hauingi.Na madrasa nimepiga vile vile.
 
Acha kutete upuuzi. Hivi unakubaliana kabisa na CV ya Sugu kuwa ni poa?

Taratibu mkuu, maana hata jk anakubali kuwa cv ya mulugo ni poa, tena mbaya zaidi hata hakuchukua hatua baada ya jamaa kuiaibisha nchi huko SA. The higher the monkey climbs...
 
Je huyo Dr Dr Kikwete (moja ya UDOM na nyingine ya MUHAS) katufanyia nini licha ya UFiSADI?
 
Je huyo Dr Dr Kikwete (moja ya UDOM na nyingine ya MUHAS) katufanyia nini licha ya UFiSADI?
Wewe tatizo lako unataka wakununulie vitu vya ndani. Ndio ujue umefanyiwa nini. Je SUGU katenda nn?
 
Kwa kuwa ilikuwa lazima kuchagua mbunge na hapakuwa na mwingine, basi ikabidi wampitishe tu. Wasingefanya hivyo, lingeingia gamba ambalo halikuhitajika hata kidogo.
 
Sio vizuri kuwalinganisha watu kwa kutumia viwango vya elimu na nahisi mtoa mada hamjui vizuri SUGU. Nakushauri utafute kitabu chake cha SUGU AUTOBIOGRAPHY umjue vizuri, jamaa ana experience kubwa ya maisha na akapitia mengi sana na nafikiri hicho ndo muhimu sana ili mtu kufanikiwa na kuwasaidia watu wako kama mbunge na sio kiwango cha elimu peke yake unaweza ukaenda shule na usiwe na msaada wowote kwako na kwa wenzio. Tuwapime watu kwa vitu wanavyofanya na si elimu yao.
 
mwanaharakati wa kweli toka kupigania hip hop bongo mpaka ubunge, huyu ni mpiganaji kwel kwel... big up sugu
 
Sio vizuri kuwalinganisha watu kwa kutumia viwango vya elimu na nahisi mtoa mada hamjui vizuri SUGU. Nakushauri utafute kitabu chake cha SUGU AUTOBIOGRAPHY umjue vizuri, jamaa ana experience kubwa ya maisha na akapitia mengi sana na nafikiri hicho ndo muhimu sana ili mtu kufanikiwa na kuwasaidia watu wako kama mbunge na sio kiwango cha elimu peke yake unaweza ukaenda shule na usiwe na msaada wowote kwako na kwa wenzio. Tuwapime watu kwa vitu wanavyofanya na si elimu yao.
 
Hao wenye degree kibao wamesaidia nini taifa? Si ndo hgao waliosaini mikataba ya wizi.

Are you a great thinker as well!? basi wafungie watoto wako wasiende shule ili utimize msimamo wako huo ktk blue hapo juu! tena wachape bakora na uwaambie elimu ni sumu!!
 
Back
Top Bottom