Acha upuuzi wa kishabiki usio na sababu. Kiukweli CV ya SUNGU haifai anatakiwa akasome. La sivyo aibu.
kwahiyo inabidi wale ambao hawajasoma zaidi ya form 4, iwe ni aibu kuongoza, acha ushamba na ulimbukeni bwana mdogo.
Acha upuuzi wa kishabiki usio na sababu. Kiukweli CV ya SUNGU haifai anatakiwa akasome. La sivyo aibu.
Mbona yeye mwenyewe hajaandika??!!Mh. Mbilinyi amemaliza form six Meta Secondary. Hutaki unaacha!
Mkuu hata robo ya elimu yangu hauingi.Na madrasa nimepiga vile vile.
Amesoma O-level miaka miwili (2), na amewahi fanya kazi kama 'celebrity'!
Acha kutete upuuzi. Hivi unakubaliana kabisa na CV ya Sugu kuwa ni poa?
Hivi unataka aje akununulie suti na familia yako ndio ujue kafanya nini? Acha hizo.Huyo chenge mwenye degree ya Havard kawafanyia nini?
Mbona yeye mwenyewe hajaandika??!!
Wewe tatizo lako unataka wakununulie vitu vya ndani. Ndio ujue umefanyiwa nini. Je SUGU katenda nn?Je huyo Dr Dr Kikwete (moja ya UDOM na nyingine ya MUHAS) katufanyia nini licha ya UFiSADI?
Hivi unataka aje akununulie suti na familia yako ndio ujue kafanya nini? Acha hizo.
hiyo siyo sababu ya msingiHajaandika ili kumchanganya adui, mkimaliza hii turudi kwenye uzi wa ''Mafisadi wa Elimu'' toka CCM, utakuta ni cabinet nzima, toka rais mpaka mawaziri
Hao wenye degree kibao wamesaidia nini taifa? Si ndo hgao waliosaini mikataba ya wizi.