Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,365
- 108,520
Pamoja na kukupa "like" naomba masharti na vigezo kuzingatiwa. Unaifahamu katiba ya CCM vizuri? Unaifahamu katiba ya Chadema vizuri?Unazifahamu sifa za mtu kuwa mbunge kulingana na katiba za vyama vyao?Bungeni huwa kuna mijadala mingapi muhimu na ya msingi ambayo huwasilishwa? Uzi huu naamini mods watauheshimu kama ukinijibu maswali yangu yote hapo, na kama hutajibu basi humu jamvini kuna watu watatusaidia ku-attach katiba zote mbili ili kuwe na uwiano wa mjadala.
Unazifahamu sifa za mtu kuwa mbunge kulingana na katiba za vyama vyao?
sifa za kuwa mbunge hufafanuliwa na sheria mama ambayo ni katiba ya Jamhuri wa Muungano...Mtu yoyote aliyemaliza shule ya msingi, ambaye ana umri zaidi ya miaka 21, mwenye akili timamu, ambaye hajawahi kutiwa hatiani na mahakama n.k. Hizo ni baadhi ya sifa za mtu anayeweza kuwa mbunge.