Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,836
Nadhani ziletwe CV za wabunge wote. Na kwenye katiba iwepo mtu akitaka kugombea ubunge awe na elimu kiasi fulani.Napata picha sasa kwanini Bunge letu linamuonekano wa namna ambavyo linaonekana!
Nadhani ziletwe CV za wabunge wote. Na kwenye katiba iwepo mtu akitaka kugombea ubunge awe na elimu kiasi fulani.Napata picha sasa kwanini Bunge letu linamuonekano wa namna ambavyo linaonekana!
Amesoma O-level miaka miwili (2), na amewahi fanya kazi kama 'celebrity'!
Napata picha sasa kwanini Bunge letu linamuonekano wa namna ambavyo linaonekana!
Na wewe pia nenda shule ukasome. Achana na madrassa.Self employed Celebrity hapo ndo mbavu zangu zilipolegea.Kweli Sugu moto chini.Ila yote ya yote namkubali kama kijana mwenzangu ila akipata nafasi akasome asimwige Lema za darasani hamna
Mbona wewe una elimu ambayo ni barbaric and primitive tu ya madrassa. Nenda shule na weweCV nyingine vituko.
hapo umekurupuka haujasomoma vizuri kuanzia 1998-1991 ni miaka 2? amesoma miaka 4 ndugu yangu.Amesoma O-level miaka miwili (2), na amewahi fanya kazi kama 'celebrity'!
Unajifanya kipofu au. Mfano: Mtu kajiunga 2010 CDM na kugombea mwaka huo huo je nifungulia dog au. Siasa ni taaluma.siasa ni kipaji na siyo elimu, kwani hao maprofesa na madocta si ndiyo hao wezi wakubwa, tena kama mtu hajasoma sana inasaidia kuwa mchapa kazi mzuri kama wazee wetu KAWAWA na KARUME.
CV nyingine vituko.