Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,945
- 94,394
I see!!Kuna post moja katika thread inayozungumzia mkutano wa kidongo chekundu inasema uislam unafundisha kila kitu juu ya maisha ya mwislam hivyo unajitoshereza.
I see!!Kuna post moja katika thread inayozungumzia mkutano wa kidongo chekundu inasema uislam unafundisha kila kitu juu ya maisha ya mwislam hivyo unajitoshereza.
Mbona issue ni ndogo sana: ni CV ya Sheikh Ponda. Huko kwingine mnatoka nje ya mada.
bora kuabudu msalaba kuliko kuabudu mtu aliyekuwa anabandua vitoto vya miaka tisa, na aliyekuwa ana mizigo tisa, halafu alivyo mnafiki wengine wanatakiwa wawe na mizigo minne tu wakati anayeabudiwa alikuwa na mizigo tisa! Wakiulizwa inakuaje hapo utasikia oooh, alikuwa anawasaidia tu wajane, unawasaidia ndio uwabandue?
wewe wahabi unawajua ?
Nijuavyo kuna shule nyingi kama kunduchi , shule ya ubungo , kirinjiko,al muintazir.hizi na nyengine zinaongozwa njee ya bakwata na hisi zinafanya uzuri zaidi ya shule za bakwata ya mufti
Pia kuna chuo kikiuu cha kiislaam morogoro waislam hawakutaka kabisa bakwata kushirikishwa na hawana chao pale
Hivyo waislam njee ya bakwata wamefanya mengi mazuri kuliko wao
Kuna hospital pale magomeni na mifuko ya misaada nje ya bakwata
Hivyo wimbi la kumkataa mufti aondoke halizuliki tena linakuja hata magazeti yote mpambeni kwa shere
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Sheikh Ponda Issa Ponda, Katibu Mkuu wa Shura ya Maimamu nchini Tanzania, pia ni Katibu wa Kamati ya Kutetea Haki za Waislamu nchini (hapo bold ndio mafisadi hawataki kupasikia) kwa kifupi si mtu mjinga na mhuni kama inavyosemwa na mawakala wa kisiasa. na Laiti angelikuwa ni mtu asiyeweza kusimamia hoja muulizeni che Nkapa anaijua vizuri sana cv ya Sheikh Issa maana aliwahi kumnyang'anya uraia kama Jenerali Dunia alivyofanyiwa... nataraji mpaka hapo umeelewa kitu au unataka cv ya vyeti? Mimi hutazama IQ ya mtu kwanza na Uwezo wake kabla ya vyeti... vyeti siku hizi hata mitaani vipo unanunua tu! wenyewe wanasema "shahada zipo kwenye mfuko wako" au cheti cha kutafutia kazi?Niwarudishe kwenye topic: Anayejua CV ya Ponda naomba atuwekee hapa.
karibuni kwenye uzinduzi wa Campus ya Tanga mjini ya Tumaini University mkishamaliza kugombana. Wali, pilau na tende zitakuwepo pia.
CV mambo ya kikafiri,sheikh ponda sheikh wetu mkubwa sisi waumini tunamkubali,,huyo sheikh wa serikali kibabu simba atoke zake huko,,asubirie kifo mtu wenyewe yupo dakika za majeruhi saa na wakati wowote malaika mtoa roho atamgongea hodi mnafiki mkubwa huyu
Nijuavyo kuna shule nyingi kama kunduchi , shule ya ubungo , kirinjiko,al muintazir.hizi na nyengine zinaongozwa njee ya bakwata na hisi zinafanya uzuri zaidi ya shule za bakwata ya mufti
Pia kuna chuo kikiuu cha kiislaam morogoro waislam hawakutaka kabisa bakwata kushirikishwa na hawana chao pale
Hivyo waislam njee ya bakwata wamefanya mengi mazuri kuliko wao
Kuna hospital pale magomeni na mifuko ya misaada nje ya bakwata
Hivyo wimbi la kumkataa mufti aondoke halizuliki tena linakuja hata magazeti yote mpambeni kwa shere
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Siki hizi ni MEMKWAkama hadi linacheza karate msikitini litakuja kuwa gaidi hili.. Namsihi mufti kama huyo ponda hajasoma bakwata waandae ilmu ya UPE ili type hzo za ponda wapelekwe
Nijuavyo kuna shule nyingi kama kunduchi , shule ya ubungo , kirinjiko,al muintazir.hizi na nyengine zinaongozwa njee ya bakwata na hisi zinafanya uzuri zaidi ya shule za bakwata ya mufti
Pia kuna chuo kikiuu cha kiislaam morogoro waislam hawakutaka kabisa bakwata kushirikishwa na hawana chao pale
Hivyo waislam njee ya bakwata wamefanya mengi mazuri kuliko wao
Kuna hospital pale magomeni na mifuko ya misaada nje ya bakwata
Hivyo wimbi la kumkataa mufti aondoke halizuliki tena linakuja hata magazeti yote mpambeni kwa shere
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
hoja ungemuuliza babako mbona hufanani nae ?
.............." Enyi mlioamini (Waislaam !) Mcheni Mwenyezi Mungu, na muaminini Mtume wake. Qur'an: 57: 28.bora kuabudu msalaba kuliko kuabudu mtu aliyekuwa anabandua vitoto vya miaka tisa, na aliyekuwa ana mizigo tisa, halafu alivyo mnafiki wengine wanatakiwa wawe na mizigo minne tu wakati anayeabudiwa alikuwa na mizigo tisa! Wakiulizwa inakuaje hapo utasikia oooh, alikuwa anawasaidia tu wajane, unawasaidia ndio uwabandue?
Mgalatia bana ! Wewe umemnukuu mufti hapo na amekupa CV ya Ponda, sasa unauliza nini ? Hebu tafuta msalaba uuombe kisha ulale, usisahau kukojoa !
...Mhutu wa burundi kwao alishaharibu akatorokea Tz anajifanya muha wa Kigoma...!Niwarudishe kwenye topic: Anayejua CV ya Ponda naomba atuwekee hapa.
Keshawafanya vibaya huyu . Si yeye ndie alishinikiza na kushawishi Waislam wasihesabiwe? Kama angekuwa ameenda shule unadhani angefanya hivyo? Ameshakula hata akili yenu kidogo mliokuwa nayo. Amkeni.CV mambo ya kikafiri,sheikh ponda sheikh wetu mkubwa sisi waumini tunamkubali,,huyo sheikh wa serikali kibabu simba atoke zake huko,,asubirie kifo mtu wenyewe yupo dakika za majeruhi saa na wakati wowote malaika mtoa roho atamgongea hodi mnafiki mkubwa huyu