CV ya Issa Ponda

Status
Not open for further replies.

Mwanaukweli

JF-Expert Member
May 18, 2007
4,786
1,710
Tumesikia kauli ya mufti nanukuu, (maneno yote hapa ni ya Mufti si yangu):

"Nawatahadharisha Waislamu wote nchini kwamba Ponda Issa Ponda si mwanazuoni, si Sheikh, hakusoma elimu ya msingi ya kidunia wala ya kidini, hata Qur'an hajui kusoma. Anajaribu kuwatumia Waislamu kwa manufaa yake binafsi. Hatujawahi kushuhudia kutoka Jumuiya ya Taasisi za Kiislamu Tanzania jambo lolote la maendeleo zaidi ya ghasia za maandamano, kupora misikiti na kudandia matukio na kuwachangisha Waislamu fedha, mwishoni mwa maandamano hayo huishia kuwatapeli waumini fedha zao ambazo huishia mifukoni mwa Ponda na wenzake."

"Ni kigenge cha watu wachache wenye kufuata madhehebu ya Mawahabi ambao kwa mujibu wa itikadi yao wanaamini kwamba Muislamu yeyote asiyefuata itikadi yao basi huyo siyo Muislamu na hafai kuwa kiongozi kwa ngazi yoyote ile"

"Vurugu, chokochoko na ghasia za uvamizi hazikuanzia Bakwata, wamekuwa wakifanya hivyo sehemu mbalimbali mikoani kwa kuvamia na kuteka misikiti na kuwaondoa viongozi waliochaguliwa kihalali kwa nguvu na udhalilishaji mkubwa na hatimaye kupora na kuhodhi rasilimali za misikiti hiyo."

"Wamekuwa wakiendesha mafunzo ya karate kwenye misikiti hiyo waliyoiteka na kuikalia kimabavu ili waweze kuendeleza dhuluma yao ya uporaji wa Misikiti na vituo vingine vya Kiislamu."

"Ni vitendo vinavyokiuka maadili ya Uislamu. Kwa sababu hiyo nawaonya na kuwatahadharisha Waislamu wa madhehebu yote kuepuka vitendo vya uvunjaji wa sheria unaofanywa na kikundi hiki cha watu wachache."

Source: Mwananchi 21.09.2012

Mimi najaribu kutafuta ukweli katika haya anayosema mufti. Naombeni wanaofahamu vizuri CV ya Ponda watuwekee hapa.
 
Muft ameishiwa labda tumuulize yeye kama kiongozi amefanya nn ktk maendeleo ya Waislamu ktk nchi hii. Analolijua ni kuuza viwanja vya Waislamu kiongozi mkubwa kama yeye ameishia kuomba msaada wa kujengewa mskiti mfano hai dodoma{msikiti wa ghadafi} sasa hebu jiulize hivi kabla ya ule msikit waislamu wa dodoma walikuwa hawamuabudu mungu wao. Kama ulicheck EATV alionyesha dhahir kwamba anajitenga na watu wake anaowaongoza pale aliposema waliovamia wizarani sio waislamu bali ni kikund cha wahuni sasa hiyo ni lugha ya kutolewa na Muft au yeye alikuwa anafurahi waislamu kuwekwa rumande kwa kugomea sensa. Mimi siijui CV ya Ponda lakini fikra zake tu anamzidi Muft kielimu
 
Ummati uliohudhuria kwenye maandamano na mkutano wa leo mbele ya sheikh ponda ni jibu kwa huyo anaejiita mufti. Na hilo tamko la mufti ni tamko aliloandikiwa na maaskofu alisome nilimuona alivo akilisoma kwa kunesanesa.
 
Muft ameishiwa labda tumuulize yeye kama kiongozi amefanya nn ktk maendeleo ya Waislamu ktk nchi hii. Analolijua ni kuuza viwanja vya Waislamu kiongozi mkubwa kama yeye ameishia kuomba msaada wa kujengewa mskiti mfano hai dodoma{msikiti wa ghadafi} sasa hebu jiulize hivi kabla ya ule msikit waislamu wa dodoma walikuwa hawamuabudu mungu wao. Kama ulicheck EATV alionyesha dhahir kwamba anajitenga na watu wake anaowaongoza pale aliposema waliovamia wizarani sio waislamu bali ni kikund cha wahuni sasa hiyo ni lugha ya kutolewa na Muft au yeye alikuwa anafurahi waislamu kuwekwa rumande kwa kugomea sensa. Mimi siijui CV ya Ponda lakini fikra zake tu anamzidi Muft kielimu

Je ni kweli kuwa Sheikh Ponda ni wa dhehebu la Wahabi?
 
Tumesikia kauli ya mufti nanukuu, (maneno yote hapa ni ya Mufti si yangu):

“Nawatahadharisha Waislamu wote nchini kwamba Ponda Issa Ponda si mwanazuoni, si Sheikh, hakusoma elimu ya msingi ya kidunia wala ya kidini, hata Qur’an hajui kusoma. Anajaribu kuwatumia Waislamu kwa manufaa yake binafsi. Hatujawahi kushuhudia kutoka Jumuiya ya Taasisi za Kiislamu Tanzania jambo lolote la maendeleo zaidi ya ghasia za maandamano, kupora misikiti na kudandia matukio na kuwachangisha Waislamu fedha, mwishoni mwa maandamano hayo huishia kuwatapeli waumini fedha zao ambazo huishia mifukoni mwa Ponda na wenzake.”

"Ni kigenge cha watu wachache wenye kufuata madhehebu ya Mawahabi ambao kwa mujibu wa itikadi yao wanaamini kwamba Muislamu yeyote asiyefuata itikadi yao basi huyo siyo Muislamu na hafai kuwa kiongozi kwa ngazi yoyote ile"

"Vurugu, chokochoko na ghasia za uvamizi hazikuanzia Bakwata, wamekuwa wakifanya hivyo sehemu mbalimbali mikoani kwa kuvamia na kuteka misikiti na kuwaondoa viongozi waliochaguliwa kihalali kwa nguvu na udhalilishaji mkubwa na hatimaye kupora na kuhodhi rasilimali za misikiti hiyo."

"Wamekuwa wakiendesha mafunzo ya karate kwenye misikiti hiyo waliyoiteka na kuikalia kimabavu ili waweze kuendeleza dhuluma yao ya uporaji wa Misikiti na vituo vingine vya Kiislamu."

“Ni vitendo vinavyokiuka maadili ya Uislamu. Kwa sababu hiyo nawaonya na kuwatahadharisha Waislamu wa madhehebu yote kuepuka vitendo vya uvunjaji wa sheria unaofanywa na kikundi hiki cha watu wachache.”

Source: Mwananchi 21.09.2012

Mimi najaribu kutafuta ukweli katika haya anayosema mufti. Naombeni wanaofahamu vizuri CV ya Ponda watuwekee hapa.

Tumekusikia Bw. Luis Sendeu, msemaji wa Mufti wa Bakwata !
 
kama hadi linacheza karate msikitini litakuja kuwa gaidi hili.. Namsihi mufti kama huyo ponda hajasoma bakwata waandae ilmu ya UPE ili type hzo za ponda wapelekwe
 
Nijuavyo kuna shule nyingi kama kunduchi , shule ya ubungo , kirinjiko,al muintazir.hizi na nyengine zinaongozwa njee ya bakwata na hisi zinafanya uzuri zaidi ya shule za bakwata ya mufti
Pia kuna chuo kikiuu cha kiislaam morogoro waislam hawakutaka kabisa bakwata kushirikishwa na hawana chao pale
Hivyo waislam njee ya bakwata wamefanya mengi mazuri kuliko wao
Kuna hospital pale magomeni na mifuko ya misaada nje ya bakwata
Hivyo wimbi la kumkataa mufti aondoke halizuliki tena linakuja hata magazeti yote mpambeni kwa shere

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Ummati uliohudhuria kwenye maandamano na mkutano wa leo mbele ya sheikh ponda ni jibu kwa huyo anaejiita mufti. Na hilo tamko la mufti ni tamko aliloandikiwa na maaskofu alisome nilimuona alivo akilisoma kwa kunesanesa.

Una uhakika na hilo? au ndo yale yale ya kusema matatizo yote ya waislam yanasababishwa na wakristo! hata hii conflict ya wazi baina ya waislam wenyewe nayo mnasingizia maaskofu! huku si kujidhalilisha jamani! au ndo kutafuta sababu za kuchoma makanisa na kuchana biblia!? Isije ikawa huu ugomvi wenu ukawa ni mchezo wa kuigiza au mpango mahsusi wa kutaka kuingia mitaani na kuchoma makanisa huku bara kama walivofanya uamsho kule zanzibar! kwa kuwa upeo wa kiintelijensia na uwezo wa nguvu za dola unaishia kwenye maandamano ya chadema hayo yanaweza kutokea na watu msije shangaa! matukio yanavyozidi kujiri ndipo itakapodhihirisha nchi inaongozwa na mfumo kristo au hofu dhidi ya waislam! wapi kamanda KAMUHANDA...! je angeuweza muziki huo?
YANGU MACHO NA MASIKIO!
 
Ummati uliohudhuria kwenye
maandamano na mkutano wa leo mbele ya sheikh ponda ni jibu kwa huyo
anaejiita mufti. Na hilo tamko la mufti ni tamko aliloandikiwa na
maaskofu alisome nilimuona alivo akilisoma kwa kunesanesa.

Acha usenge maaskofu wameingiaje kwenye dini yenu?shetani mkubwa!usipotoshe
 
Sheikh Ponda ni mtu maarufu na ana mvuto mkubwa hapa Tanzania.

Watu maarufu wa namna hii huibua maswali mengi: nini siri ya mafanikio yake? Amesoma wapi? Amefanya nini kabla ya hapa alipo leo.

Kutuwekea hapa CV ya Ponda ni kujaribu kuongeza mvuto wa mtu huyu maarufu.

Kwa hiyo tafadhali mtujulishe huyu mtu alizaliwa wapi? lini?

Alikulia wapi? Alisoma shule gani? Mwaka gani? Amehitimu nini?

Ana uzoefu gani wa kazi? Wapi? Kwa miaka mingapi? ndio CV tunaomba ya Sheikh Issa Ponda.
 
Sheikh Ponda ni mtu maarufu na ana mvuto mkubwa hapa Tanzania.

Watu maarufu wa namna hii huibua maswali mengi: nini siri ya mafanikio yake? Amesoma wapi? Amefanya nini kabla ya hapa alipo leo.

Kutuwekea hapa CV ya Ponda ni kujaribu kuongeza mvuto wa mtu huyu maarufu.

Kwa hiyo tafadhali mtujulishe huyu mtu alizaliwa wapi? lini?

Alikulia wapi? Alisoma shule gani? Mwaka gani? Amehitimu nini?

Ana uzoefu gani wa kazi? Wapi? Kwa miaka mingapi? ndio CV tunaomba ya Sheikh Issa Ponda.

mtumie sms mufti atakuji maswali yako !
 
CV mambo ya kikafiri,sheikh ponda sheikh wetu mkubwa sisi waumini tunamkubali,,huyo sheikh wa serikali kibabu simba atoke zake huko,,asubirie kifo mtu wenyewe yupo dakika za majeruhi saa na wakati wowote malaika mtoa roho atamgongea hodi mnafiki mkubwa huyu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom