Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,209
- 4,706
HOTUBA MZITO NA MUHIMU YA MUFTI SHEKH ABUBAKAR ZUBEIR
Kutoka Ukurasa wa Sheikh Ibrahim Ghulaam
Asema BAKWATA ndiyo mama wa Taasisi zote za Kiislamu nchini
Taarifa kwa hisani ya Harith Nkussa
Mwandishi maalumu wa Mufti
đź”·Ofisi ya Mufti yawataka Viongozi wa taasisi za kiislamu kote nchini na waislamu wote kuisikiliza mpaka mwisho, waiandike na kufanyia kazi vipengele vyote vya hotuba hiyo.
âś” Akariri, BAKWATA ndiyo taasisi mama inayosimamia waislamu na taasisi zao zote pasina kujali makundi au madhehebu yao kisha ataja sababu.
✔Akiri kuna taasisi nyingi za kiislamu ambazo zinafanya vizuri kwenye maeneo fulani, lakini asisitiza kuwa zote hizo zinafanya kazi chini ya mwamvuli wa Bakwata.
✔Akariri wito kwa wasomi wa kada mbalimbali na waislamu wote kuleta maoni, fikra mpya na ushauri kwa lengo la kuleta maendeleo kwa waislamu na kwamba milango ya BAKWATA iko wazi muda wote. Awataka waislamu watumie fursa hiyo badala ya kulalamika, kunungunika au kusemea pembemi
âś” Akumbusha kuwa kazi ya BAKWATA ni kuwatumikia waislamu wote na taasisi zao zote na madhehebu yao yote na kwamba BAKWATA sasa inatimiza wajibu na jukumu lake hilo kikamilifu na kwamba inawasahilishia waislamu na kamwe haimkwamishi yeyote kutimiza wajibu wake
âś” Aonya desturi mbaya ya kuwaona masheikh hawakusoma. asisitiza masheikh ni wasomi muhimu sana wenye akili na wanaoona mbali sana na kuwataka masheikh wasikubali kudharaulika kwa hali yoyote.
âś” Awahimiza masheikh kusoma elimu za kisekula ikiwa ni pamoja na lugha mbalimbali. awaambia hakuna ugumu wowote.
âś” Apongeza ushirikishwaji wa viongozi wa Serikali, wafanyabiashara na wadau wengine kwenye kazi na shughuli za kimaendeleo za kiislamu. Apongeza sana mchamgo wa wadau hao.
Kutoka Ukurasa wa Sheikh Ibrahim Ghulaam
Asema BAKWATA ndiyo mama wa Taasisi zote za Kiislamu nchini
Taarifa kwa hisani ya Harith Nkussa
Mwandishi maalumu wa Mufti
đź”·Ofisi ya Mufti yawataka Viongozi wa taasisi za kiislamu kote nchini na waislamu wote kuisikiliza mpaka mwisho, waiandike na kufanyia kazi vipengele vyote vya hotuba hiyo.
âś” Akariri, BAKWATA ndiyo taasisi mama inayosimamia waislamu na taasisi zao zote pasina kujali makundi au madhehebu yao kisha ataja sababu.
✔Akiri kuna taasisi nyingi za kiislamu ambazo zinafanya vizuri kwenye maeneo fulani, lakini asisitiza kuwa zote hizo zinafanya kazi chini ya mwamvuli wa Bakwata.
✔Akariri wito kwa wasomi wa kada mbalimbali na waislamu wote kuleta maoni, fikra mpya na ushauri kwa lengo la kuleta maendeleo kwa waislamu na kwamba milango ya BAKWATA iko wazi muda wote. Awataka waislamu watumie fursa hiyo badala ya kulalamika, kunungunika au kusemea pembemi
âś” Akumbusha kuwa kazi ya BAKWATA ni kuwatumikia waislamu wote na taasisi zao zote na madhehebu yao yote na kwamba BAKWATA sasa inatimiza wajibu na jukumu lake hilo kikamilifu na kwamba inawasahilishia waislamu na kamwe haimkwamishi yeyote kutimiza wajibu wake
âś” Aonya desturi mbaya ya kuwaona masheikh hawakusoma. asisitiza masheikh ni wasomi muhimu sana wenye akili na wanaoona mbali sana na kuwataka masheikh wasikubali kudharaulika kwa hali yoyote.
âś” Awahimiza masheikh kusoma elimu za kisekula ikiwa ni pamoja na lugha mbalimbali. awaambia hakuna ugumu wowote.
âś” Apongeza ushirikishwaji wa viongozi wa Serikali, wafanyabiashara na wadau wengine kwenye kazi na shughuli za kimaendeleo za kiislamu. Apongeza sana mchamgo wa wadau hao.