Hoshea
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 5,415
- 3,761
wandugu hii si sawa, humu ni kwa great thinkers tunapaswa kuwa mstari wa mbele kupinga machafuko yoyote yanayojitokeza sababu ya dini na kurekebisha makosa ya serikali ili nchi iendelee, vipo vingi vya kudiscuss kuhusu nchi yetu, masuala ya kuweka mambo ya dini unojua yataleta uchonganishi na kujibizana kati ya dini moja na nyingine sivyo wakuu, akheri usiweke baki nayo kichwani mwako, kuna watu wanataka nchi yetu imwage damu watupige bao wachukue advantage ya machafuko afu mwisho wa siku kusiwe na lolote la kujivunia, mod mpige vita sana hii mambo msiache iendelee kushabikiwa.
Hapa la kupaswa rekebishwa ni kuwepo na usawa, asipendelewa flani mwingine adhulumiwe, hilo ndo la kupigiwa kelele na great thinkers sio kujibishana kama watoto wadogo na matusi juu jamani hii si facebook wala twitter, members wa jf tuwe makini na hawa watu wanaoleta topics za kichonganishi za kidini wataleta makubwa, haba na haba hujaza kibaba, patakuwa hapatoshi hapa bongo, si waislamu si wakristo etc sote itatucost,wengine wanoleta hizo mada si wa tz watutakia mabaya tu, we should face these things with caution ili tusijute badae wanetu waje ishi kama huko somalia.
peace mazee, one love
Hapa la kupaswa rekebishwa ni kuwepo na usawa, asipendelewa flani mwingine adhulumiwe, hilo ndo la kupigiwa kelele na great thinkers sio kujibishana kama watoto wadogo na matusi juu jamani hii si facebook wala twitter, members wa jf tuwe makini na hawa watu wanaoleta topics za kichonganishi za kidini wataleta makubwa, haba na haba hujaza kibaba, patakuwa hapatoshi hapa bongo, si waislamu si wakristo etc sote itatucost,wengine wanoleta hizo mada si wa tz watutakia mabaya tu, we should face these things with caution ili tusijute badae wanetu waje ishi kama huko somalia.
peace mazee, one love