CV ya Issa Ponda

Status
Not open for further replies.
unaomba cv ya Ponda kwa kunukuu maneno ya Mufti!!!!! Tosheka na hiyo 'CV ya Ponda kwa mujibu wa mufti'
 
CV mambo ya kikafiri,sheikh ponda sheikh wetu mkubwa sisi waumini tunamkubali,,huyo sheikh wa serikali kibabu simba atoke zake huko,,asubirie kifo mtu wenyewe yupo dakika za majeruhi saa na wakati wowote malaika mtoa roho atamgongea hodi mnafiki mkubwa huyu
Kama nitakuwa nimekuelewa vizuri hapa unamaanisha kwamba kwenda shule ni mambo ya Makafiri na siyo Waislamu!! kwamba Waislamu hawapaswi kwenda shule? is it!?
 
Ummati uliohudhuria kwenye maandamano na mkutano wa leo mbele ya sheikh ponda ni jibu kwa huyo anaejiita mufti. Na hilo tamko la mufti ni tamko aliloandikiwa na maaskofu alisome nilimuona alivo akilisoma kwa kunesanesa.

Duh! Kweli kuna watu mko obsessed na maaskofu; yaani habari ya mufti na maaskofu wameingizwa??!!! Makubwa haya!
 
Kama nitakuwa nimekuelewa vizuri hapa unamaanisha kwamba kwenda shule ni mambo ya Makafiri na siyo Waislamu!! kwamba Waislamu hawapaswi kwenda shule? is it!?
yes sir!!! you are right 100%. Kwenda shule ni marufuku kwa ile dini ya ulalamishi na kama ukienda shule basi wewe ni kafir na unaenda kinyume na Muddy. Jamaa ndo alichokuwa anamaanisha hicho nadhani. Hata Muddy mwenyewe aliambiwa ''iqra!!'' yaani soma!!..................akajibu: nitasomaje mie, wakati wajua mimi sijui kuthoooma wala kuandika mwendhiooooooooo!!!!!!.......................................Hawa walalamishi wote unaowaona wanaandika andika hapa ni Makafir coz wanaenda kinyume na mafundisho ya Muddy ila Ponda ndo muislamu swaafi, hajui kusoma wala kuandika
 
hoja ungemuuliza babako mbona hufanani nae ?
.......................hapo ndo mwisho wa upeo wako wa kufikiria? au ndo mafundisho ya madrasat hayo? aha ha ha ha ha!!!. Jamaa anataka CV ya Ponda, baba ake kafuata nini tena hapa?
 
Hebu tafuta msalaba uuombe kisha ulale
bora kuabudu msalaba kuliko kuabudu mtu aliyekuwa anabandua vitoto vya miaka tisa, na aliyekuwa ana mizigo tisa, halafu alivyo mnafiki wengine wanatakiwa wawe na mizigo minne tu wakati anayeabudiwa alikuwa na mizigo tisa! Wakiulizwa inakuaje hapo utasikia oooh, alikuwa anawasaidia tu wajane, unawasaidia ndio uwabandue?
 
Kama nitakuwa nimekuelewa vizuri hapa unamaanisha kwamba kwenda shule ni mambo ya Makafiri na siyo Waislamu!! kwamba Waislamu hawapaswi kwenda shule? is it!?
Kuna post moja katika thread inayozungumzia mkutano wa kidongo chekundu inasema uislam unafundisha kila kitu juu ya maisha ya mwislam hivyo unajitoshereza.
 
Sheikh Mkuu, Mufti Shaaban Bin Simba anasema haya ambayo yanaweza kuingizwa ktk CV ya Sheikh Ponda:

21 September 2012

Mufti Simba said that there is no conflict between the council (BAKWATA) and Muslims in the country as it has been claimed by the institution under Sheikh Issa Ponda
He said what is being propagated is just a propaganda aimed at distorting the image of Islam in the country.

"This group that calls itself the Community and Institutions of Islam is not an Islamic association but a gang of few people (wahabi) from sects of Muslims…..they don't run any progressive activities for Muslims apart from demonstrating and using force to take over the mosques operating under the Council," he noted.

Simba said the gang has a history of being involved in chaos, referring to the 1992 incident when they rioted at the council's headquarters wanting to unseat the Mufti Sheikh Hemed bin Jumaa bin Hemed claiming that the council had failed to govern the Muslims.

Mufti also urged police to act accordingly against the group which had attempted to stop different government projects a couple of times, including census: referring to the incident early this month when Muslims gathered at the Ministry for Home Affairs requiring the government to free Muslims were arrested for opposing the census.

"They don't want to follow government orders they want to be recognised…..as Muslims, we cannot bear with them and we call upon the government to deal with them as per the law, " he stressed.

Mwisho wa nikuu toka source: Home
 
Mnatokwa povu na shehe Ponda na huo ni mwanzo tu wagalatia mtatafuta pakujishika.Kangaike na CV ya wazazi wako huko au ya mbowe
 
Ummati uliohudhuria kwenye maandamano na mkutano wa leo mbele ya sheikh ponda ni jibu kwa huyo anaejiita mufti. Na hilo tamko la mufti ni tamko aliloandikiwa na maaskofu alisome nilimuona alivo akilisoma kwa kunesanesa.
Unamaanisha pia kuwa waandamanaji wana CV sawa na ya Ponda aka Alshaabab??
 
sidhani kuna umuhimu wa kuachia mjadala kama huu...pliz mod
hapa mtagusa imani za watu na kusababisha maafa makubwa.
mleta mada aliandika kichwa cha habari vizuri lakini katika kutafuta hiyo CV yenyewe ameweka maneno ambayo tayari yameonyesha kuelemea upande mmoja. Kuuliza CV huku tayari umeweka kiambatanishi sidhani kama utapata majibu sahii na msaada maana tayari ume wa upset waisilamu. Chamsingi uzi huu ufungwe.
 
karibuni kwenye uzinduzi wa Campus ya Tanga mjini ya Tumaini University mkishamaliza kugombana. Wali, pilau na tende zitakuwepo pia.
 
bora kuabudu msalaba kuliko kuabudu mtu aliyekuwa anabandua vitoto vya miaka tisa, na aliyekuwa ana mizigo tisa, halafu alivyo mnafiki wengine wanatakiwa wawe na mizigo minne tu wakati anayeabudiwa alikuwa na mizigo tisa! Wakiulizwa inakuaje hapo utasikia oooh, alikuwa anawasaidia tu wajane, unawasaidia ndio uwabandue?

Ndugu yangu,nani kakwambia waislamu wanamuabudu Muhammad?Muhammad ni mjumbe wa Mwenyezi Mungu kama alivyo Adam,Nuhu,Yesu,Ibrahim na wengineo.Pia hana hizo sifa za ubakaji unazodai,kuhusu kuoa wake tisa huo si ubakaji kuna hekima ndani yake,pia kwa mujibu wa uislam kama binti akivunja ungo na hakuna kinachomzuia kuolewa basi aolewe.Waislamu wanamuabudu Mungu mmoja tu ambaye hakuzaa wala hakuzaliwa,hana anachofanana nacho katika ulimwengu huu na wala hana mshirika katika Uungu wake,ufalme wake wala katika Kuabudiwa.Kuhusu elimu waislamu tumeambiwa tusome kwa jina la Mola wetu aliyetuumba na Uislamu haubagui elimu na elimu ni zaidi ya kukaa darasani!
 
Ummati uliohudhuria kwenye maandamano na mkutano wa leo mbele ya sheikh ponda ni jibu kwa huyo anaejiita mufti. Na hilo tamko la mufti ni tamko aliloandikiwa na maaskofu alisome nilimuona alivo akilisoma kwa kunesanesa.

Hapa Maaskofu wala mnalosema mfumo Kristo hauhusiki. Umati ni matokea ya kuwa masikini wengi kimali na kiakili, ujinga ambayo ni magonjwa sugu hapa nchini na. Wananchi waache kufuate mikumbo Mungu sio na haungi mkono maandamano ya kihuni na jazba za kiwendawazimu labda kama kuna kamungu kengine feki
 
Tumesikia kauli ya mufti nanukuu, (maneno yote hapa ni ya Mufti si yangu):

“Nawatahadharisha Waislamu wote nchini kwamba Ponda Issa Ponda si mwanazuoni, si Sheikh, hakusoma elimu ya msingi ya kidunia wala ya kidini, hata Qur’an hajui kusoma. Anajaribu kuwatumia Waislamu kwa manufaa yake binafsi. Hatujawahi kushuhudia kutoka Jumuiya ya Taasisi za Kiislamu Tanzania jambo lolote la maendeleo zaidi ya ghasia za maandamano, kupora misikiti na kudandia matukio na kuwachangisha Waislamu fedha, mwishoni mwa maandamano hayo huishia kuwatapeli waumini fedha zao ambazo huishia mifukoni mwa Ponda na wenzake.”

"Ni kigenge cha watu wachache wenye kufuata madhehebu ya Mawahabi ambao kwa mujibu wa itikadi yao wanaamini kwamba Muislamu yeyote asiyefuata itikadi yao basi huyo siyo Muislamu na hafai kuwa kiongozi kwa ngazi yoyote ile"

"Vurugu, chokochoko na ghasia za uvamizi hazikuanzia Bakwata, wamekuwa wakifanya hivyo sehemu mbalimbali mikoani kwa kuvamia na kuteka misikiti na kuwaondoa viongozi waliochaguliwa kihalali kwa nguvu na udhalilishaji mkubwa na hatimaye kupora na kuhodhi rasilimali za misikiti hiyo."

"Wamekuwa wakiendesha mafunzo ya karate kwenye misikiti hiyo waliyoiteka na kuikalia kimabavu ili waweze kuendeleza dhuluma yao ya uporaji wa Misikiti na vituo vingine vya Kiislamu."

“Ni vitendo vinavyokiuka maadili ya Uislamu. Kwa sababu hiyo nawaonya na kuwatahadharisha Waislamu wa madhehebu yote kuepuka vitendo vya uvunjaji wa sheria unaofanywa na kikundi hiki cha watu wachache.”

Source: Mwananchi 21.09.2012

Mimi najaribu kutafuta ukweli katika haya anayosema mufti. Naombeni wanaofahamu vizuri CV ya Ponda watuwekee hapa.

Je ni kweli kuwa Sheikh Ponda ni wa dhehebu la Wahabi?

Tumekusikia Bw. Luis Sendeu, msemaji wa Mufti wa Bakwata !

kama hadi linacheza karate msikitini litakuja kuwa gaidi hili.. Namsihi mufti kama huyo ponda hajasoma bakwata waandae ilmu ya UPE ili type hzo za ponda wapelekwe

Niwarudishe kwenye topic: Anayejua CV ya Ponda naomba atuwekee hapa.

Sheikh Ponda ni mtu maarufu na ana mvuto mkubwa hapa Tanzania.

Watu maarufu wa namna hii huibua maswali mengi: nini siri ya mafanikio yake? Amesoma wapi? Amefanya nini kabla ya hapa alipo leo.

Kutuwekea hapa CV ya Ponda ni kujaribu kuongeza mvuto wa mtu huyu maarufu.

Kwa hiyo tafadhali mtujulishe huyu mtu alizaliwa wapi? lini?

Alikulia wapi? Alisoma shule gani? Mwaka gani? Amehitimu nini?

Ana uzoefu gani wa kazi? Wapi? Kwa miaka mingapi? ndio CV tunaomba ya Sheikh Issa Ponda.

yes sir!!! you are right 100%. Kwenda shule ni marufuku kwa ile dini ya ulalamishi na kama ukienda shule basi wewe ni kafir na unaenda kinyume na Muddy. Jamaa ndo alichokuwa anamaanisha hicho nadhani. Hata Muddy mwenyewe aliambiwa ''iqra!!'' yaani soma!!..................akajibu: nitasomaje mie, wakati wajua mimi sijui kuthoooma wala kuandika mwendhiooooooooo!!!!!!.......................................Hawa walalamishi wote unaowaona wanaandika andika hapa ni Makafir coz wanaenda kinyume na mafundisho ya Muddy ila Ponda ndo muislamu swaafi, hajui kusoma wala kuandika

bora kuabudu msalaba kuliko kuabudu mtu aliyekuwa anabandua vitoto vya miaka tisa, na aliyekuwa ana mizigo tisa, halafu alivyo mnafiki wengine wanatakiwa wawe na mizigo minne tu wakati anayeabudiwa alikuwa na mizigo tisa! Wakiulizwa inakuaje hapo utasikia oooh, alikuwa anawasaidia tu wajane, unawasaidia ndio uwabandue?

Usiangaike ndugu yangu, Kwani ulishawahi kumsikia Mufti wa BAKWATA hata siku moja akitoa mawaidha au kuongelea suala lolote la Uislamu kama sheikh anaeijua dini yake. Hata watoto wake hawajui kuvaa Mavazi ya Kiisalmu.

Kwani ni nini elimu? Je ni njia ngapi zinazo mfanya mtu kua na elimu? . Hivi tuna mhukumu mtu kwa perfomance au kwa kumtaja tu huyo amesoma? Acheni URAFIKI wenu na huyo Mufti wenu. WHEN IT COMES TO MOVEMENTS, WE DONT DISCUSS PEOPLES PERSONALITIES. WE LOOK AT THE PERFOMANCE.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom