CV ya Dr. Francis

CV ya Dr. Francis

Naomba kama kuna mtu ana link ya article yeyote aliyowahi kupublish huyu jamaa
 
Huyu kumbe ni mwalimu wa sayansi kimu
ha ha ha Mkuu unanikumbusha enzi za Primary somo hili lilipendwa sana hasa kwenye kwenye somo kwa vitendo juu ya mapishi, siku hiyo mtakula hadi kuvimbiwa.

sasa sijui lina uhusianao gani na huyu mweshimiwa!!
 
Huyu jamaa katuaibisha watu wenye Ph.D.

Shame on him.
 
Acheni kuwa na fikra finyu. huyo aliepost CV ya Dr. Francis mwenyewe haijui, acheni wivu wa kike nyie. Dr. hajawahi kusoma BA (ED) wala hiyo MBA hajasome UMEA-Swedeni.. mnakurupuka tu ebu nendeni mkajipange tena. ana elimu ya kuungaunga leteni na nyie cv zenu tuone...hao ukawa wenyewe wamesoma shule za kata halafu manataka kuwafananisha na dr. Francis. maamuzi ya kutaka serekali mbili au tatu ni ya kwake na ni haki yake ya msingi kabisa kuchagu wapi aende. acheni siasa uchwala. kwa taarifa tu congo wana kasavubu. na huyu ni Dr. francis kasabubu Michael someni historia vizur au rudini shule kwanza msituletee utumbo hapa
 
hahahaha umechemka kijana.. dr. Francis hajawahi kusoma BA (ED) wala hyo MBA hajasoma Umea-Sweden, na hyo PGD liifanya baada ya kuwa ameshapata PhD...kajipange tena Wacha papara na wivu wa kike. leta na ww CV yako na ya baba yako..
 
Huyu jamaa katuaibisha watu wenye Ph.D.

Shame on him.

Pole sana mdogo angu, kumbe hata hukuwahi fuatilia minaakasha ambayo alikiongoza pale UDSM na kwengineko ukayaona madudu yake.....!!?
 
hahahaha umechemka kijana.. dr. Francis hajawahi kusoma BA (ED) wala hyo MBA hajasoma Umea-Sweden, na hyo PGD liifanya baada ya kuwa ameshapata PhD...kajipange tena Wacha papara na wivu wa kike. leta na ww CV yako na ya baba yako..

Akishakuletea yake ndo iweje?
Twatizama utendaji kazi na je, hiyo ilimu alonayo yamsaidia/yatusaidia nini Watanzania...!??

Jamanini hata hilo pia baya au twaelekea wapi...?!
 
Akishakuletea yake ndo iweje?
Twatizama utendaji kazi na je, hiyo ilimu alonayo yamsaidia/yatusaidia nini Watanzania...!??

Jamanini hata hilo pia baya au twaelekea wapi...?!
kumbe mnalifahamu hlo. vitu vingine havihitaj kupata GPA ya 5 Jaman. Dr. Francis amezungumza anachoona kinafaa. hakutete mafisad wala wizi wowote na hilo nalo ni kosa? si kila anachokisemwa na ukawa ndo iwe kama biblia au msahafu. hii ni haki ya msingi ya kila mtanzania kukisema anachoamin ni sawa. sasa tunalazimishana kukubaliana mawazo. kama tumeezaliwa tofauti lazma na mawazo yawe tofauti. mnajifanya mnamjuaa sana dr. francis..acheni kujiabisa na kujihumiliate
 
Dip (Ed) Marangu
BA (Ed) udsm
PGD (Law) udsm
MBA (Umea-sweden)
Phd (udsm)

...Dr wa vitumbua huyu tu....hana tofauti na kina Kigwangala ambao siasa zimewafanya vipofu mithili ya retards.......hawa ni kati ya mfululizo la wasomi ambao wamekua sehemu ya majanga ya nchi hii.....wamekubali kuwa mawakala wa watawala wa ccm kiasi cha kukosa hoja hata za kujisimamia.....ni majanga kwa kweli.....tutazidi kuwajua wengi kwenye bunge hili la katiba.....Yaani leo Kafulila asiye daktari anaweza kuongea substance kuliko hata msomi mwenye PhD....haya kama si majanga ni nini.....baadhi ya wanaojiita wasomi nchi hii ni disgrace kubwa kwa kweli....
 
Semeni yote tuyajue vema......lakini elimu ya kuungaunga'si ndio safi jamani coz inakuwezesha kupitia experience tofauti na kukufanya uwe perfect zaidi......sioni.ubaya wa yeye kusona kwa'style hiyo..atkeast anapata cha kusimulia......jadilini hoja za msingi za kujenga na kuleta tija na ustawi kwa taifa letu achen kujadili maisha ya watu binafsi

Mkuu si kwamba wanajadili mtu binafsi, wanajadili mjumbe wa Bunge la Katiba na faida zake kwa taifa hili la Tanzania na vizazi vijavyo!!!
Ikiwa yeye ni msomi wa kutegemewa anatoa mchango wa hovyo kwa taifa letu, unategemea nini??
Watu wamechukia kuona watu wa kuliokoa taifa letu, wasomi ndio wanaliangamiza kwa michango ya unafiki!!!!Tanzania bado tunasafari ndefu ya kuendelea, bunge la katiba ni kazi!!

 
Mbona unang'ng'ania article aliyopublish. Inaelekea haufahamu kama university ina functions nyingi zikiwemo na public outreach pamoja na kufundisha. Mbona huulizi consultancy alizofanya au evaluation ya ufundishaji wake. Kwani unafikiri hoja ya kupublish ina mashiko siku hizi? Au haujafahamu kwamba watu wanapata uprofersor na u senior lecturer kwa kulipia dollar 400 kwenye journals za nchi za nje. Dr francis hataki huo ujinga eti kwa hoja tu amepublish.
 
Mbona unang'ng'ania article aliyopublish. Inaelekea haufahamu kama university ina functions nyingi zikiwemo na public outreach pamoja na kufundisha. Mbona huulizi consultancy alizofanya au evaluation ya ufundishaji wake. Kwani unafikiri hoja ya kupublish ina mashiko siku hizi? Au haujafahamu kwamba watu wanapata uprofersor na u senior lecturer kwa kulipia dollar 400 kwenye journals za nchi za nje. Dr francis hataki huo ujinga eti kwa hoja tu amepublish.
 
Halafu unapodharau PhD ya UDSM, unamaana gani wakati wanaukawa mnyika na mbatia walishindwa kumaliza hata degree ya kwanza pale UDSM.wakaondoka kusoma degree za .com.
 
Mtu mmoja anasema eti anafanya interviews za politics kwenye media, nakudai eti politics na business wapi na wapi, hivi ukweli tuliouonyesha kwamba dr francis alisoma political science and public administration hamkuielewa? Kwenye shahada yake ya kwanza.Ina maana mtu akisomea udaktari halafu akasomea business basi udaktari wake unakoma?. Inaonyesha jinsi gani mnavokuwa ma akili finyu
 
Halafu unapotharau PhD ya UDSM, unamaana gani wakati wanaukawa mnyika na mbatia walishindwa kumaliza hata degree ya kwanza pale UDSM.wakaondoka kusoma degree za .com.
 
Mbona unang'ng'ania article aliyopublish. Inaelekea haufahamu kama university ina functions nyingi zikiwemo na public outreach pamoja na kufundisha. Mbona huulizi consultancy alizofanya au evaluation ya ufundishaji wake. Kwani unafikiri hoja ya kupublish ina mashiko siku hizi? Au haujafahamu kwamba watu wanapata uprofersor na u senior lecturer kwa kulipia dollar 400 kwenye journals za nchi za nje. Dr francis hataki huo ujinga eti kwa hoja tu amepublish.
asante sana mkuu...hawa watu wanalevel ndogo sana za ku-analyze issue na ndio maana hata comment zao zimejaa matusi na mipasho..kwanza wanakurupuka tu huyo aliejitia kuleta CV jukwaan haijui kaikosea na ndio maana hata alichokizungumza dr. francis hawakukielewa.. sio lazima tufanane kimawazo na ndio maana tunakuja na nguvu za hoja..kaka inaonekana tuna deal na watu wasio na uelewa wa level zetu
 
Halafu unapodharau PhD ya UDSM, unamaana gani wakati wanaukawa mnyika na mbatia walishindwa kumaliza hata degree ya kwanza pale UDSM.wakaondoka kusoma degree za .com.

kaka tunakazi sana, tena kubwa ya kustaarabisha hawa watu..yaani mtu akipishana nao kimawazo tu basi imeshakuwa ugomvi na chuki. hayo ni mawazo yake francis, sio lazima afanane na mawazo ya ukawa.. tangu mchakato wa katiba unaanza huyu jamaa amekuwa ana endorse serekali mbili sasa leo kusema anachokiamini ni sawa imekuwa ugomvi? yaan ukawa inawaburuza watu humu ndani mpka cjapata kuona..mngemsikiliza vizuri mkapata kuelewa faida na hasara za serekali mbili na tatu..ukawa imejaa wahuni na vichwa maji huyo..wanafanya mashindano ya ugomvi utadhani ni sifa. wengine humu ndani hata robo ya elimu ya dr.francis hamna lakin mnajitutumua kusema kisa kuwafurahisha ukawa.jaman ukawa sio maandiko matakatifu ambayo hayawez kupingwa
 
Back
Top Bottom