CV ya Dr. Francis

CV ya Dr. Francis

Acheni kuwa na fikra finyu. huyo aliepost CV ya Dr. Francis mwenyewe haijui, acheni wivu wa kike nyie. Dr. hajawahi kusoma BA (ED) wala hiyo MBA hajasome UMEA-Swedeni.. mnakurupuka tu ebu nendeni mkajipange tena. ana elimu ya kuungaunga leteni na nyie cv zenu tuone...hao ukawa wenyewe wamesoma shule za kata halafu manataka kuwafananisha na dr. Francis. maamuzi ya kutaka serekali mbili au tatu ni ya kwake na ni haki yake ya msingi kabisa kuchagu wapi aende. acheni siasa uchwala. kwa taarifa tu congo wana kasavubu. na huyu ni Dr. francis kasabubu Michael someni historia vizur au rudini shule kwanza msituletee utumbo hapa

Waambie waangalie kwenye prospectus ya UDSM ipo online, just to be sure!
 
Huyu jamaa hana u-Doctor wowote, ni Kihiyo tu aliye-fluke elimu ya kuunga unga!
Watu wenye akili wanajulikana tu hata wanapoongea. Lakini huyu kihiyo hata ukisikiliza anavyotamka maneno unaona kabisa kuna shida ndani ya ubongo wake!!

Sina hakika kama anaweza akazungumza hata sentenso moja ya Kiingereza kwa ufasaha.Kama kuna Waalimu waliowahi kumfundisha watakuwa walipata taaaabu sana!!!

- Duh!! sasa mkuu wa UKAWA kweli unaweza kumlinganisha na Sugu au Dr. Slaa? Sometimes mnatia kinyaa sana na kiu yenu ya kushika dola, sasa kweli unaweza mlinganisha Dr. Fransic na Sugu?

- Mmeenda mpaka Chuoni kwake kutafuta maneno ya uongo uongo ili iwe nini? Hiyo UKAWA yenu imekufa sasa itakuwaje?

Le Mutuz System
 
mkuu wana ukawa wameishiwa wanahaha sasa, wameumbuka kupita maelezo hati ya muungano kupatikana na sasa watajifanya wanapotezea hawataiongelea, hawana chakusema tena wataishia kuleta mipasho na majungu yao kama kawaida. wameshindwa kupata kura kwa wananchi wanaishia kuendekeza lugha chafu na kutukana matus. labda viazi wenzenu ndo watawachagua kwa huo mtindo wenu wa kutukana na vurugu za hovyo hakuna mwenye akili timamu atakaeungana nao
 
hahahahah hatariiii kweli kweli, mimi huyo anaejiita Moses machali namfahamu vizuri, huwa namshangaa sana huyu jamaa siku zote tunamstahi lakin anaona watu vichwa maji kama alivyo yeye huyu jamaa ni mrundi kabisa, mm namfaham nimesoma nae tena ni slow learner sijapata kuona. sio mtanzania na yeye anafahamu kwamba kasulu sio kwao walikuja kutoka Burundi, na wala hana uzalendo wowote alisoma chuo cha kata. na tunataka huyo mpakistani Jussa na bwana wenu lisu watuombe radhi...zaidi ya yote machali rudi kwenu Burundi. ulishazoea sasa unaburudika sana unapoona Tanzania kuna vurugu
 
hahahahah hatariiii kweli kweli, mimi huyo anaejiita Moses machali namfahamu vizuri, huwa namshangaa sana huyu jamaa siku zote tunamstahi lakin anaona watu vichwa maji kama alivyo yeye huyu jamaa ni mrundi kabisa, mm namfaham nimesoma nae tena ni slow learner sijapata kuona. sio mtanzania na yeye anafahamu kwamba kasulu sio kwao walikuja kutoka Burundi, na wala hana uzalendo wowote alisoma chuo cha kata. na tunataka huyo mpakistani Jussa na bwana wenu lisu watuombe radhi...zaidi ya yote machali rudi kwenu Burundi. ulishazoea sasa unaburudika sana unapoona Tanzania kuna vurugu
Hakuna msomi anaeweza kuandika ujinga huu-kwa uandishi huu na pointi hizi hakuna dalili zinazoonesha kuwa ww umewahi kusoma na Moses Machali
 
mkuu wana ukawa wameishiwa wanahaha sasa, wameumbuka kupita maelezo hati ya muungano kupatikana na sasa watajifanya wanapotezea hawataiongelea, hawana chakusema tena wataishia kuleta mipasho na majungu yao kama kawaida. wameshindwa kupata kura kwa wananchi wanaishia kuendekeza lugha chafu na kutukana matus. labda viazi wenzenu ndo watawachagua kwa huo mtindo wenu wa kutukana na vurugu za hovyo hakuna mwenye akili timamu atakaeungana nao
imepatikana-kwani ilikuwa imepotea?
 
- Duh!! sasa mkuu wa UKAWA kweli unaweza kumlinganisha na Sugu au Dr. Slaa? Sometimes mnatia kinyaa sana na kiu yenu ya kushika dola, sasa kweli unaweza mlinganisha Dr. Fransic na Sugu?

- Mmeenda mpaka Chuoni kwake kutafuta maneno ya uongo uongo ili iwe nini? Hiyo UKAWA yenu imekufa sasa itakuwaje?
Le Mutuz System
Uzoefu unaonesha kuwa asilimia kubwa ya watu waliounga unga elimu zao (Hawakwenda straight Primary-O level-A Level then University)-wanashida kwenye kufikiria.Kumbuka na ninaomba niombe msamaha kwanza kwenye hili.''Sifa kubwa ya kuwa mwalimu nchi hii ( mwalimu wa sekondari na shule za Msingi ) ni Kufeli''. Note:huyu jamaa ana diploma ya ualimu some where-think umenielewa
 
Uzoefu unaonesha kuwa asilimia kubwa ya watu waliounga unga elimu zao (Hawakwenda straight Primary-O level-A Level then University)-wanashida kwenye kufikiria.Kumbuka na ninaomba niombe msamaha kwanza kwenye hili.''Sifa kubwa ya kuwa mwalimu nchi hii ( mwalimu wa sekondari na shule za Msingi ) ni Kufeli''. Note:huyu jamaa ana diploma ya ualimu some where-think umenielewa

- Mkuu kuna mahali un aweza kupeleka huu upuuzi wako, nakuuliza Sugu na Dr. Fransic nani ana elimu ya kweli?

Le Mutuz System
 
- Mkuu kuna mahali un aweza kupeleka huu upuuzi wako, nakuuliza Sugu na Dr. Fransic nani ana elimu ya kweli?

Le Mutuz System
kwanza aksante na samahani tena kama ww ni mmoja wa hao,
Pili elimu ya kweli unaipimaje?Ninavyofahamu mimi elimu si vyeti ila ni uwezo wa kufikiri na kutafakuri mambo,kujenga hoja,kujiamini,ubunifu na uwezo wa kujieleza-Dr wako kwenye mambo yote haya hayupo.

Tatu-Mkuu watoto wengi wa viongozi wetu mnasoma nje-je hii inanatokana na vyuo vyetu hapa TZ kuwa na maDr na Maprof wa aina ya Michael Fransis?
 
kwanza aksante na samahani tena kama ww ni mmoja wa hao,
Pili elimu ya kweli unaipimaje?Ninavyofahamu mimi elimu si vyeti ila ni uwezo wa kufikiri na kutafakuri mambo,kujenga hoja,kujiamini,ubunifu na uwezo wa kujieleza-Dr wako kwenye mambo yote haya hayupo.

Tatu-Mkuu watoto wengi wa viongozi wetu mnasoma nje-je hii inanatokana na vyuo vyetu hapa TZ kuwa na maDr na Maprof wa aina ya Michael Fransis?

Kiongizi huna hoja hapo, unachofanya ni kupotezea watu muda na kutafuta uhalali wa kutukana matuc na kuchafua watu kama ilivyo kawaida ya wana ukawa..sugu elimu hana, upeo wa kufikir hana..wwew pia unaonekana ni wale wale kina sugu na machali..genge la wahuni
 
Hakuna msomi anaeweza kuandika ujinga huu-kwa uandishi huu na pointi hizi hakuna dalili zinazoonesha kuwa ww umewahi kusoma na Moses Machali

Aisee hivi machali nae Msomi? Yule jamaa si ni mwalimu wa upe? Bad enough anadhan ana degree wakat kasoma chuo cha kata BA(ED).. jamaa ni mjinga yulee, mweupe kichwan kama karatas za mgololo
 
kwanza aksante na samahani tena kama ww ni mmoja wa hao,
Pili elimu ya kweli unaipimaje?Ninavyofahamu mimi elimu si vyeti ila ni uwezo wa kufikiri na kutafakuri mambo,kujenga hoja,kujiamini,ubunifu na uwezo wa kujieleza-Dr wako kwenye mambo yote haya hayupo.

Tatu-Mkuu watoto wengi wa viongozi wetu mnasoma nje-je hii inanatokana na vyuo vyetu hapa TZ kuwa na maDr na Maprof wa aina ya Michael Fransis?

- Yaaani MWalimu wa Chuo Kikuu kama UDSM unaweza kumlinganisha na nani huko Chadema? Hao watoto wa Vigogo sio mimi kaka nimeenda majuu nimejisomesha mwenyewe, pole sana!1

Le Mutuz System
 
- Mkuu kuna mahali un aweza kupeleka huu upuuzi wako, nakuuliza Sugu na Dr. Fransic nani ana elimu ya kweli? Le Mutuz System
Labda ufanye hivi ili na wewe upate jibu: muulize HIVI KATI YA SUGU NA DR.FRANCIS NANI KAELIMIKA KIUKWELI...nadhani utajisaidia hata wewe mwenyewe, broiler mkubwa.....
 
Wivu bwana, bora nawe uunge unge kama yeye basi umeshindwa nini!

Hivi ni elimu ya nani mnaikubali? Lissu? Mnyika? Mbowe? Mbassa? Lema? Heche? woooooooooooooote hawa ni uhalo mtupu
 
Back
Top Bottom