Barongo E
Member
- Apr 10, 2014
- 26
- 7
Thanks malecela, maana nilivozipitia comments zao, zinaonyesha kuwa kuna waalimu udsm wanaowalisha sumu. Lakini pia wanaposema francis anafundisha kwa mbwembwe unaweza kusema tu kwamba hata wewe ulifindishwa na nae na uligundua kuwa he knows what he is teaching. Utakuwa na mbwembwe ukiwa mweupe, zaidi ya hayo umeona cv yake kwamba yuko multidisciplinery