CV ya Balozi Wilson Masilingi

CV ya Balozi Wilson Masilingi

Lissu anamudu hoja hahitaji bunduki, jiwe ndio hawezi hivyo ni lazima bunduki itakuwa suluhu yake.

TL anamudu umbea na uchonganishi kaongeza hoja ya wanawaita mabeberu na mnawachangia 50% ya bageti. Uongo mwengine huu wa kudanganya kuwa bajeti inachangiwa kwa 50% na USA na,Ulaya peke yao. Uongo uliotukuka.
 
Hiyo sio hoja bwana, wewe vipi. Yaani kufunga watu jela ndio umekuwa "Legend". Je kama aliwaonea. Your reasoning reflects shallow thinking and I wish you didn't post this.

Huku tegemea kusikia haya. Ndio jF hii hazina ya mambo na watu.
 
TL anamudu umbea na uchonganishi kaongeza hoja ya wanawaita mabeberu na mnawachangia 50% ya bageti. Uongo mwengine huu wa kudanganya kuwa bajeti inachangiwa kwa 50% na USA na,Ulaya peke yao. Uongo uliotukuka.

Bora uongo kuliko kutumia risasi kupambana na.muongo
 
Masilingi hakupwaya hata kidogo. Ila zipo hoja ambazo hata ungemuweka Lissu kwenye upande wa balozi angepwaya sababu hazina majibu hadi leo. Kama waziri wa mambo ya ndani hana straight answer vipi balozi? Masilingi ni super genius na bingwa wa sheria, pia uzoefu wake ulimsaidia kumtoa Lissu kwenye angle flani ambazo wengi najua hamkuweza kusoma. Rudieni mahojiano yote muone mjadala uliegemea wapi na kwanini! Yule mzee yuko vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
Kusema masilingi hajapwaya ni sawa na kuitetea simba kuwa haikupwaya mechi iliyopita ugaibuni, aliniacha hoi pale Tundu lisu aliposema hii hoja ni ya kijinga, na yeye masilingi alipoulizwa ana semaje et unamuona anavyotukana vyombo vya usalama,
 
Baada ya kuangalia kipindi cha Straight Talk Africa, ambapo Mh. Tundu Lissu na Balozi Wilson Masilingi walihojiwa, nilishangazwa na jinsi Balozi wetu huko Marekani alivyopwaya na kupata tabu kujielezea kwa Kimalkia na pia kushindwa kudhibiti jazba zake.

Nilidhani pengine ni Kimalkia tu kinamsumbua huyu ndugu yetu, lakini nikagundua kuwa tatizo sio lugha kwani kwenye mahojiano mengine yaliyofanyika kwa kiswahili katika VOA Swahili, hali ni ile ile.
Mbaya zaidi kwenye hii interview ya pili, hata kufuata taratibu ndogo tu za midahalo ya kistaarabu hakuweza.

Haya yote yamenipa hamu ya kufahamu safari ya kiongozi wetu huyu na ni jinsi gani ameweza kufika katika nafasi kubwa kama hiyo pamoja na mapungufu hayo.

Hivyo basi, nawaomba wenye ufahamu juu ya elimu na uzoefu wa Balozi Wilson Masilingi atuhabarishe.
balozi anajuta kushiriki voa bora hata angetoa udhulu
 
Baada ya kuangalia kipindi cha Straight Talk Africa, ambapo Mh. Tundu Lissu na Balozi Wilson Masilingi walihojiwa, nilishangazwa na jinsi Balozi wetu huko Marekani alivyopwaya na kupata tabu kujielezea kwa Kimalkia na pia kushindwa kudhibiti jazba zake.

Nilidhani pengine ni Kimalkia tu kinamsumbua huyu ndugu yetu, lakini nikagundua kuwa tatizo sio lugha kwani kwenye mahojiano mengine yaliyofanyika kwa kiswahili katika VOA Swahili, hali ni ile ile.
Mbaya zaidi kwenye hii interview ya pili, hata kufuata taratibu ndogo tu za midahalo ya kistaarabu hakuweza.

Haya yote yamenipa hamu ya kufahamu safari ya kiongozi wetu huyu na ni jinsi gani ameweza kufika katika nafasi kubwa kama hiyo pamoja na mapungufu hayo.

Hivyo basi, nawaomba wenye ufahamu juu ya elimu na uzoefu wa Balozi Wilson Masilingi atuhabarishe.
matamshi yake yalifanya nijue kua anatoka kwa kina shomile😆😆😆 nilicheka alipoomba po et braza lisu akamwambia acha wewe toa hoja😆😆😆😆😆
 
Cha muhimu alichokisema balozi wetu wa Marekani, ambacho pia watanzania hatuwezi kusahau "Lisu rudi nyumbani" as if yeye Marekani ni nyumbani kwake. Mungu ibariki Tz, ibariki Afrika.
 
Uchochezi wa TL umetupelekea vita vya wenyewe kwa wenyewe. Tumeanza na vita vya maneno mitandaoni. Tukikutana uso kwa uso ni ngumi kama ilivyotokea kwa yeye TL na Masilingi. Akitugaia bunduki ndio kabisa vita ya risasi na mitutu ya bunduki. Ndio maana tunawahimiza wenye dhamana ya chukua hatua za makusudi kudhibiti huyu jamaa wafanye hivyo bila kuendelea kuchelewa. TL anatamani siku moja Watanzania walio wengi wafate mkumbo wake na watembelee gongo kama yeye.

Nakubaliana na ww hoja safi kabisa
 
Jiulize wasaliti walifanywa nini hata kwenye misahafu.

Kama ni usaliti viongozi wa ccm walichokifanya taifa hili, leo hii ingekuwa tumepanga mstari mahali tunatubu dhambi za mauaji. Tumieni madaraka mpendavyo na muwaumize wote wasiowasujudia, iko siku madaraka yataisha hamtaamini kibao kitakavyogeuka.
 
Angalia na saikolojia yake Kuna watu huwa sio waongeaji hivyo akikutana na muongeaji lzm apigwe chini hii hali ipo kimakundi fatilia sayansi ya saikolojia huyo balozi mnamuonea bure tu hawezi kushindana na lisu hasa kama hana taarifa za kutosha juu ya tukio la lisu

Balozi anaweza asiwe eloquent kama Lissu lakini lugha anaimudu vizuri tu ukiachilia lafudhi ya lugha ya mama. Tatizo la ule mdahalo ni kwamba ulihitaji mtu mwongo kwelikwli (incorrigible liar). Balozi siyo mtu wa aina hiyo. Bora angeacha kwenda lakini Shaka angeeleza pale kuwa amepewa mwaliko na kushindwa kushiriki jambo ambalo lingemgharimu kibarua. Kwa watawala wetu wa sasa kupwaya na kusema uongo siyo tatizo; tatizo ni kuonekana kutowapigania kwa namna yoyote ile.
 
Tofauti na Mtazamo wako....Balozi alikabili vilivyo uzushi uliopitiliza wa Lissu.Amesaidia kuwafahamisha walio nje ya nchi uhalisia wa mambo kama vile Ukweli kuwa akina Mbowe hawajafungwa gerezaani kama anavyodanganya... hao wamelundikwa mahabusu tena kwa kosa la kukiuka masharti ya dhamana, kwa kesi ya jinai na si ya kisiasa. Kuwekwa mahabusu na kufungwa ni mambo mawili tofauti. Big up Masilingi.
Nani alimpiga risasi Akwilina? Why should Mbowe and team be prosecuted! What about Wilbard mashauri is doing? WE unadhani dunia ni takataka kama CCM who can not reason!
 
Mkuu, naomba ufunguke zaidi hapo kwenye ugenius wa sheria.
Nataka kujua haswa elimu na uzoefu wake.

Na pia hilo la kujaribu "kumtoa Lissu kwenye angle fulani" unadhani ni sustainable? Litamzuia Lissu asiendelee kuongelea angle hizo?
Check CV yake ipo kwenye google.
 
Nani alikuambia kaenda kutetea? VoA waliona wasisikilze upande mmoja. TL analipwa na nani kwa ajili ya nini? Tusaidie wewe inaonekana unajua.

Mimi sijui nani anagharamia safari za TL lakini dunia hii inao watu wema wengi tu. Mbona hujauliza nani amegharamia matibabu yake Nairobi na Belgium? Kwa mfano, hiyo misaada ambayo Mabeberu walitaka kuipatia nchi yetu na sasa wamesimamisha kwanini sehemu ndogo isitumike kumgharimia Lissu ambaye ni mwanasiasa wa upinzania aliyetendewa vibaya kwa sababu ya siasa? Isitoshe Lissu hakuenda kutibiwa Belgium kwa bahati tu. Alikwenda huko kimkakati; makao makuu ya EU. Na Jarida la Economist limepata kuandika "How to save Tanzania: start by stopping Magufuli. How do you stop Magufuli? There are many ways to skin a cat!
 
Back
Top Bottom