Nnyindojihadini
JF-Expert Member
- Nov 12, 2018
- 643
- 437
Anaonekana mtupu hata katika sheria ana ubabe ubae mwingi na vijihasira hasira....uyo ni mtamu ukimpeleka kwenye ligi lazima alie
TL alisha wahi kutumikia uhakimu popote?
Anaonekana mtupu hata katika sheria ana ubabe ubae mwingi na vijihasira hasira....uyo ni mtamu ukimpeleka kwenye ligi lazima alie
Kwaiyo uhakimu nao umeouona so noble? If so, hujajechelewa kuna nafasi zimetangazwa juzi kaapply uwe kama MasilingiTL alisha wahi kutumikia uhakimu popote?
Wenzio na wewe.Wewe na wenzio
Sisi hatutaki mabishano au hoja tunataka moja nani kampiga risasi na kwa sababu zipi..Lissu aseme anaowahisi au vyombo vya dola viseme ni nani anahusika katika matukio ya kutisha kuanzia kutoweka kwa Ben, Azori, matukio ya mauaji ya kufungwa kwenye viroba,mauaji ya watoto n.k mambo ya kusubiri tukio lifutwe na tukio ndio matokeo yake haya watu wanaenda kulalamika nje ya nchi..sisi raia tunahitaji ULINZI na USALAMAMasilingi hakupwaya hata kidogo. Ila zipo hoja ambazo hata ungemuweka Lissu kwenye upande wa balozi angepwaya sababu hazina majibu hadi leo. Kama waziri wa mambo ya ndani hana straight answer vipi balozi? Masilingi ni super genius na bingwa wa sheria, pia uzoefu wake ulimsaidia kumtoa Lissu kwenye angle flani ambazo wengi najua hamkuweza kusoma. Rudieni mahojiano yote muone mjadala uliegemea wapi na kwanini! Yule mzee yuko vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Au kitetea kipara kionekane kinanywele.Binafsi Nampongeza Balozi, si kazi ndogo mchana kweupe kutetea rangi nyeusi,kuwa ni nyeupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mulize TL kwanza kwa nini alinunuliwa na Fedha ya waliomtuhumu kwa ufisadi wakahubiri nabadiliko? Ilikuwaje akanunuliwa na wezi wa dhahabu akapinga juhudi za serikali na mh Rais JPM kujaribu kupambania haki yetu?
TL si malaika kama mnavyotaka kuaminisha watu hapa. Sisi wengine tunaona analipia udhalimu wake.
Haya wezi wa dhahabu waliiba kiaai gani na wamechikiliwa hatua gani mliambiwa KUNA Noah KWA kila Mtanzania viko wapi haya hero ya kibongo hamjapewa naona mwizi HAPA ni jiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaaaa Masilingi yupo vizuri sana. Ingawa kwa majanga aliyoyapata Tundu Lisu. Kuitetea serikali inataka uwe na ujanja wa kuwasilisha ingawa Tundu Lisu ni Genious wa kuongeamoja ya vitu ya mapungufu niliyoyaona kwake katika VOA part 2 ni kuwa ubalozi kagewa kishikaji tu - huyu jamaa siyo diplomatic kabisa!!
Lisu anakoelekea hata yeye mwenyewe hana hakika kama atafika, anatamani kupewa ridhaa ya ugombeaji urais kwa ticket ya simpathy baada ya risasi....Jua kuwa huyo balozi ni wale vichwa Nyerere alituachia katika dakika zake za mwisho wa uongozi wake. Inasemekana alikuwa mmoja wa mahakimu vijana waliotingisha enzi hizo kwa kutia hatiani vigogo wahalifu walikuo na uwezo wakununua maisha yako.
Ni kweli kabisa. Mfano, Lissu alishindwa kuweka wazi; anatuhumu polisi kutohoji yeyote au kutotangaza kuwa wamemhoji nani?
Hata ukiibiwa, kuvamiwa na majambazi, polisi kama wanachunguza hawalazimiki kukuambia nani wamemuhoji.
Mtu ukiiangalia hii issue ki-Simba na Yanga utaona kile tu unachopenda kukiiona.
Wakola mushaija.Balozi Masilingi: Ni muungwana na mwelevu pia ana staha nyingi na mwisho ni diplomat - sasa Lissu hayo yote hana yeye kucharanga ulimi kama amemeza cassette akitapika matusi na uongo - mtu mzima mwenye kuiwakilisha nchi yake hawezi kushindana naye. Lissu anafanya yale yafanywayo na maiti kaburini - huku akisema wataniona wapi (Ebyo omufu akolela a'nyanga ati baliba bambonaa!). Hivyo msilinganishe.
Hapa malaika ni wewe.
Jua kuwa huyo balozi ni wale vichwa Nyerere alituachia katika dakika zake za mwisho wa uongozi wake. Inasemekana alikuwa mmoja wa mahakimu vijana waliotingisha enzi hizo kwa kutia hatiani vigogo wahalifu walikuo na uwezo wakununua maisha yako.
Hilo swali la kwanini alipigwa risasi 16 lkn dreva yeye hakupigwa hata moja,.. Hili ni swali zuri wakiulizwa waliokuwa wamepewa kazi ya kumuua LISU.jamaa alivyoulizwa yupo wapi dereva wake aliruka kama amepigwa shoti ya umeme.. nadhani ni busara kuhoji ulikua wapi ulinzi wa eneo alilokua anaishi lissu siku hiyo lakini pia lissu kama hatojisikia vibaya atuambie ilikuaje yeye ale risasi 16 na dereva wake asipatwe na risasi hata moja.. hii ya kwamba ni miujiza hai make sense sana
Asante kwa kutambua hilo mke wangu.
Nilicheka sana ile interview. Eti lissu wewe ni mdogo angu, lissu alichomjibu aibu niliona mimi
Ifike mahali watu wamuache lissu kutafuta kuumbuka tu
Umenena. Wasikilizaji wengi waliomo humu uwezo wao wakuelewa mdogo sana, hawawezi kujua unachokisema. Ukweli hata wazungu wenyewe watamdharau huyo Lisu wenu kwa kukosa busaraMasilingi hakupwaya hata kidogo. Ila zipo hoja ambazo hata ungemuweka Lissu kwenye upande wa balozi angepwaya sababu hazina majibu hadi leo. Kama waziri wa mambo ya ndani hana straight answer vipi balozi? Masilingi ni super genius na bingwa wa sheria, pia uzoefu wake ulimsaidia kumtoa Lissu kwenye angle flani ambazo wengi najua hamkuweza kusoma. Rudieni mahojiano yote muone mjadala uliegemea wapi na kwanini! Yule mzee yuko vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashirika na kampuni za umma alizotuachia Mwl Nyerere zilifisiwa na kina nani? Ziliuzwa au kugawa bure kwa wawekezaji matapeli na kina nani? Si wale viongozi walioachiwa madaraka enzi za awamu ya tatu na nne? Tafuta majina yao!!!!!! Ndiyo maana Rais Dr Magufuli anakazi ngumu, kwa sababu waliohusika na uharibifu wa mali za taifa bado wapo makazini/maofisini!ni kama mbwa mwitu kwa sasa wamevaa ngozi ya kondooo!
Alikuwa waziri enzi za JK. Mtu wa geti jeusi.Hivi si alikuaga mkuu wa mkoa wa mwanza kipindi fulani zamani ama sio huyu?
Alikua anavumaga sana
Nimemchanganya na yule Stivini Masishanga.Alikuwa waziri enzi za JK. Mtu wa geti jeusi.