asante sana ashadii hii inarahisisha mambo,
naomba uweke link zote hapa zinazomhusu Regia.
Kuna ile thread ya wanajf kukutana british council kumuenzi Regia naitafuta siioni,nitafurahi ukiweka link yake.
Thread yangu "Regia Umeniliza" Moderator mmoja humu mwenye roho ya kifisadi aliamua kuiyayusha na kuunganisha kama post kwenye thread ya tribute ya Mzee Mwanakijiji. Why?
Thread yangu "Regia Umeniliza" Moderator mmoja humu mwenye roho ya kifisadi aliamua kuiyayusha na kuunganisha kama post kwenye thread ya tribute ya Mzee Mwanakijiji. Why?
asante sana ashadii hii inarahisisha mambo,
naomba uweke link zote hapa zinazomhusu Regia.
Kuna ile thread ya wanajf kukutana british council kumuenzi Regia naitafuta siioni,nitafurahi ukiweka link yake.
Genuinely... Did not expect such comment from you.... Hapa yeyote ahusika kama wewe ulivohusika acha hizo bana! lol... BTW siku nyingi mkuu, I hope ni mzima wa afya.
Thread yangu "Regia Umeniliza" Moderator mmoja humu mwenye roho ya kifisadi aliamua kuiyayusha na kuunganisha kama post kwenye thread ya tribute ya Mzee Mwanakijiji. Why?
Na baadaye tutaanzisha thread nyingine ya kuonyesha michango yake yote hapa JF kama njia ya kumuenzi na kuwasaidia wale member wapya kujua GS au Regia alikuwa akifanya kazi kubwa kivipi hapa JF hadi aenziwe hivi.
Na baadaye tutaanzisha thread nyingine ya kuonyesha michango yake yote hapa JF kama njia ya kumuenzi na kuwasaidia wale member wapya kujua GS au Regia alikuwa akifanya kazi kubwa kivipi hapa JF hadi aenziwe hivi.
Genuinely... Did not expect such comment from you.... Hapa yeyote ahusika kama wewe ulivohusika acha hizo bana! lol... BTW siku nyingi mkuu, I hope ni mzima wa afya.
Sasa ashadii, niliona karibu wachangiaji wote ma-premium na mimi nikatamani kuwa premium na kujiondokea zangu. Lakini pia nilitaka kukutabasamisha maana naona msiba umekutia simanzi sana.