Current four star Generals in Tanzania


mkuu usichanganyikiwe.

kuna jeshi la ulinzi la wananchi(jwtz)anga,ardhi,maji.
kuna jeshi la kujenga taifa(jkt)
kuna jeshi la polisi tz(pt)
kuna jeshi la magereza(tp)

tunapotaja majeshi duniani kwa maana yake kwa ujumla basi tanzania tutataja jwtz(tpdf)na si mengine niliyoorodhesha hapo.lakini katiba yetu imeyaongeza hayo kwa makusudi ile ile ya angalau kujazia nyama kidogo just icase kimehappen,(majeshi ya akiba).
hayo si komandi wala vikosi vya jwtz ila ni akiba ya jwtz,isipokuwa jkt ambayo kwa sasa ni sehemu ya jwtz.
 
Niongezee swali hivi jenerali na meja jenerali yupi mkubwa?
Naanzia kwenye nyota
  • Luteni usu(nyota moja)
  • Luteni (nyota mbili)
  • Captain (nyota tatu)
  • Major (bibi na bwana)
  • Luteni Kanali (bibi na bwana na nyota moja)
  • Kanali (bibi na bwana na nyota mbili)
  • Brigedia jenerali (bibi na bwana, nyota moja na mkasi)
  • Major jenerali (bibi na bwana, nyota mbili na mkasi)
  • Luteni Jenerali (bibi na bwana, nyota tatu na mkasi)
  • mkuu ww majeshi (bibi na bwana, nyota nne na mkasi)
Nina amini una akili, na jibu utakuwa umelipata
 
Niongezee swali hivi jenerali na meja jenerali yupi mkubwa?
Naanzia kwenye nyota
  • Luteni usu(nyota moja)
  • Luteni (nyota mbili)
  • Captain (nyota tatu)
  • Major (bibi na bwana)
  • Luteni Kanali (bibi na bwana na nyota moja)
  • Kanali (bibi na bwana na nyota mbili)
  • Brigedia jenerali (bibi na bwana, nyota moja na mkasi)
  • Major jenerali (bibi na bwana, nyota mbili na mkasi)
  • Luteni Jenerali (bibi na bwana, nyota tatu na mkasi)
  • Jenerali - mkuu ww majeshi (bibi na bwana, nyota nne na mkasi)
 
NN kama unafuatilia vizuri kunapokuwepo na mabadiliko ya CDF huwa yanagusa CoS (Chief of staff)

Maana yake ni kumpa mteuzi nafasi ya kuteua miongoni mwa wenye sifa.

Sasa kama CoS ni Lt General halafu ukamteua mwingine kuwa CDF unadhani itakuwa na picha gani?
 
👍👍
 
Lakini Nguruvi....mara nyingi four star generals huwa ni wenye umri mkubwa. Wengi huwa wamebakiza muda mchache sana kabla ya kustaafu.

Kama waliopo kwenye active duty wote wanakaribia kustaafu, kuna ubaya gani wa kumchagua luteni jenerali aliye na umri utaomuwezesha kuhudumu kwa muda wa kutosha na kumpandisha cheo kuwa four star general?

Halafu, nadhani hata maslahi yao huwa hayatofautiani sana.

Yaani majenerali wazima wamuonee gere luteni jenerali aliyepandishwa cheo na kuwa jenerali na mkuu wa majeshi huku wao wakiwa wamebakiza muda mchache kabla ya kustaafu?

Mkuu wa majeshi ana maslahi gani ya kipekee yaliyo tofauti sana na ya majenerali wenzake?
 
Duuh ila huko marekani mkuu wa mageshi ni five star general ndio maana kuna four star generals 45 kama unavyosema hapa.
Hmm acha fiksi bana.

General Mark Milley mbona ni 4 star general...
 
Sidhani kama italeta picha mbaya.

Naona ni sawa tu.

La sivyo, wangeweka utaratibu wa Chief of Staff kuwa ndo next in line....

Kwa sasa inafanyika hivyo kiutamaduni tu, si kisheria.
 
Ahaa! Well nimekuelewa vizuri Mkorinto. Kama hutojali, naomba unipangie uzito from JWTZ to Mgambo.

Like;- JWTZ, JKT, Polisi, FFU and co.
 
Kwa US ndivyo ilivyo , kwa developing countries kuna tatizo NN. Hapa kuna promotion and demotion at the same time. Kiongozi anayeteua hatakuwa comfortable kwasababu haelewi kama kuna 'reservations' katika military brass , kitu ambacho hakuna anayekitaka.

Unakumbuka Nigeria? The master mind of '' coup de tat ' kuanzia Yakub Gowon, Murtalla Muhamed etc alikuwa Sani Abacha. Mwisho akaona isiwe tabu ni zame yake!
Sidhani kama italeta picha mbaya.

Naona ni sawa tu.

La sivyo, wangeweka utaratibu wa Chief of Staff kuwa ndo next in line....

Kwa sasa inafanyika hivyo kiutamaduni tu, si kisheria.
Hakuna sheria ila kwa kiongozi yoyote ili awe na amani lazima awe na watu anaokuwa 'confortable' nao

In fact CoS ndiye the next kwa kuangalia merits lakini je, kiongozi anayefanya ''appointment' yupo comfortable?

NN unaangalia zaidi merits kama wanavyofanya huko US, lakini US mambo mengi yanafanyika katika jeshi
Kwa developing countries kuna merits na appointment. Hapa usisahau appointment ni kumpa mteuzi 'amani' ya kutafuta mtu wa kufanya naye kazi.
 
Mjeda pekee aliyekuwa Jenerali bila kuwa CDF ni Tumainieli Kiwelu
 
Hatuna uwezo wa kuwahudumia,hao uhudumiwa mpaka siku ya mazishi.
 
Chairman of the Joints Chiefs of Staff.

View attachment 1754636
Mwamba sana Gen. Mark Milley.

Naukumbuka huu ujumbe wake wakati Nkurunzinza wenu Trump akihisiwa angelitumia jeshi kama hatua yake ya mwisho kung'anga'ania madarakani.

"We are unique among militaries. We do not take an oath to a king or a queen, a tyrant or a dictator. We do not take an oath to an individual. No, we do not take an oath to a country, a tribe or religion. We take an oath to the Constitution. And every soldier that is represented in this museum, every sailor, airman, Marine, Coast Guardsman, each of us will protect and defend that document, regardless of personal price,"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…