Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 59,024
- 132,765
Everything a man can do, a woman can do!. Kuna ma generali kibao wa jeshi ambao ni wanawake.hatuko sawa. ndio maana hata jeshin wao wana separate pass marks ( na ziko low ukilinganisha na za mwanaume ) na wanaume.
kuna vikosi wao hawapo kutokana na maumbile yao... uwezo wao.
unataka haki sawa. not jeshini.
Izi rank zimebadilika mkuu mfano major jeneral ni two stars pamoja na mkasi na nembo ya bibi na bwana huyu ni Major general Charles MbugeMkuu,
Huwezi kuwa na majenerali wawili au zaidi kwa wakati mmoja wakiwa bado wako kwenye utendaji hai wa jeshi kutasababisha ukosefu wa nidhamu maana jenerali kwa mjibu wa ngazi ya mamlaka ya jeshi likiwa haliko vitani ndio cheo kikuu cha kutoa amri utekelezaji wa suala lolote. Endapo pakiwa na majenerali zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja na mmoja akaona mwenzie anafanya kwa maoni yake ndivyo sivyo kisha akatoa amri kwa vikosi kwenda kinyume ni rahisi kusababisha uasi.
Kitu cha kwanza jeshi ni
1. NIDHAMU na UTII kwa kuzingatia mtiririko wa mamlaka na wajibu
View attachment 1795990
2. KUFANYA KAZI KWA JUHUDI NA MAARIFA
3. KUTHAMINI na KUITETEA TANZANIA kwa GHARAMA ZOZOTE
4. UZALENDO na UPENDO kwa WANANCHI ambao ndio CHANZO cha JESHI hilo
Usilingalishe nchi yetu na Rwanda, DRC nk.CDF Mabeyo ana 64 sasa hivi,na Samia kaingia juzi tu,unadhani Samia atakubali Mabeyo astaafu bila yakumwachia mtu ambaye wataendana?? Mabeyo bado yupo sana Jeshini! Na jinsi alivyosimama kidete,kwa kusimamia katiba pindi Magufuli amefariki,ndiyo kajipa njia ndefu zaidi! Bila Mabeyo kusimamia sheria,ungeshangaa sasa hivi Rais angekua yule jamaa anaitwa Kazi!
Maswali mazito haya ila moja ya jukumu la Mwanajeshi yoyote ni kuilinda na kuitetea KATIBA.Usilingalishe nchi yetu na Rwanda, DRC nk.
Hembu tupe ufafanuzi wa:-
1-Alisimamiaje Sheria.
2. kulikuwa na shida gani hadi ipelekee yeye ahusike kuweka mambo sawa.
3. Anayeitwa Kazi ni nani
not everything man. check your facts again.Everything a man can do, a woman can do!. Kuna ma generali kibao wa jeshi ambao ni wanawake.
P
nasubiri majib yakeNitajie Generals watano tu wanawake waliopo Jeshini!
Truth be told ht km unauma...heb angalia matokeo ya kitaifa ya shule za znz...It depends, hata ungekuwa wewe, ukasoma bandiko kama hili
Unaweza kuingia hasira na kujiuliza ni hawawezi au kuna systematic errors za kutokea by a coincidence tuu hakuna Mzanzibari aliyewahi kuwa mkuu wa Jeshi lolote si la mgambo, polisi, uhamiaji, zimamoto, Idara ya usalama wala JWTZ yenyewe!. Tena enda ikawa Mwanamke. The highest rank iliyowahi kushikwa na mwanamke jeshini kwetu ni Maj. Gen. Zawadi Madawili, its about time tutende haki kwa wote.Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?
Wanabodi, Hii ni thread ya swali tuu, sio thread ya udini au ukabila. Je, kuna uhusiano wowote kati ya dini/kabila la mtu na ukakamavu ndani ya majeshi yetu nchini Tanzania? Je, kuna uhusiano wowote wa kati ya kabila la mtu na ukakamavu wa majeshini? Je, watu wa dini fulani au makabila fulani...www.jamiiforums.com
P
Hivi wewe si ndo umetaka kujua kie usichokijua? Kwa nini udai hujui halafu ukipewa jibu unajifanya kukosoa, kwa hiyo uliuliza wakati unalijua jibu?Hizo ni hisia zako tu!
Mbona nchi zingine zina majenerali zaidi ya mmoja na hakuna ukosefu wa nidhamu unaofanya hayo majeshi yasiweze kutekeleza majukumu yake?
Hujaandika kwa kujua! Umeandika kwa kuhisi lakini ukajifanya unaandika kama unajua ilhali haujui!!!
Alikuja kuwa Maj. Gen na kustaafu soon there after.Brigedia Jenerali Zawadi Madawili, mwanamke mwenye cheo cha juu kuliko wanawake wote JWTZ .
Cut of point ya civil service ya Tanzania ni 65 years, no matter how good one is, at 65, there is no option, he has to go!.CDF Mabeyo ana 64 sasa hivi,na Samia kaingia juzi tu,unadhani Samia atakubali Mabeyo astaafu bila yakumwachia mtu ambaye wataendana?? Mabeyo bado yupo sana Jeshini! Na jinsi alivyosimama kidete,kwa kusimamia katiba pindi Magufuli amefariki,ndiyo kajipa njia ndefu zaidi! Bila Mabeyo kusimamia sheria,ungeshangaa sasa hivi Rais angekua yule jamaa anaitwa Kazi!
Hivi wewe si ndo umetaka kujua kie usichokijua? Kwa nini udai hujui halafu ukipewa jibu unajifanya kukosoa, kwa hiyo uliuliza wakati unalijua jibu?
Siendeshwi kwa hisia, kama jibu hulitaki ungekaa kimya lakini ndio uhalisia. Tatizo hukuwahi hata kujiunga JKT ama kwa hiari (volunteer) au kwa lazima (compulsory) ukitokea kidato cha sita au kazini na kuishi ukafundishwa si chini ya miezi 12-36 ukatambua kwa kina nilichokieleza kinasadifu kitu gani.
Kama uliwahi kuwa JKT basi inawezekana ulikuwa 'Selure (mwenye upendeleo wa kipi upangiwe cha kufanya kutokana na ushauri wa daktari) na au Jongolisti (mtoro aliyepindukia)' hivyo kukosa nasaha na mafunzo ya kina ya medani.
Ili uthibitishe kwamba hizo ni hisia zangu jaribu kupendekeza sasa hivi awepo jenerali mwingine na awekwe ama JKT, Navy au Anga halafu usikilizie kitakachotokea baada ya muda hasa kwenye utoaji amri ya utekelezaji kuhusiana na jambo nyeti la taifa.
Jeshi halina siasa, lina amini kabisa kwamba raia wanachokifanya huwa hakizingatii utaratibu ndio maana zamani wakati unajiunga JKT, miezi mitatu ya mwanzo ilikuwa ni kuondolewa tabia na mitizamo ya kiraia iliyojaa ujuaji, kila mmoja ana la kwake kwa kulingana na alivyolelewa kimaadili katika familia au jamii aliyoishi
1. Kiburi cha kujiona kinafutiliwa mbali na unafunzwa utii kwanza na nidhamu
2. Uvivu unaondoshwa kwa lazima mpaka wewe mwenyewe unaanza kupenda kufanya kazi na ubunifu ulio nje ya taaluma uliyoenda nayo
3. Uvumilivu wa changamoto zozote zile na kutafuta njia sahihi kujiondoa kwenye mtego na kushinda kwa kutumia akili kabla ya silaha
4. Kufikiria usalama wa taifa na watu wake kwanza, maana ukujidai kuhurumia nafisi yako na ukataka kuiponya ili wengine waangamie wewe ndio utaondoshwa usije ukafanyika faida kwa adui.
Muundo wa jeshi la Tanzania umeundwa kwa kujifunza changamoto zilizojitokeza kwenye majsehi mengine ndio maana wanapoenda kwenye kamisheni za usalama wa umoja wa mataifa ndio jeshi linaloonesha nidhamu ya hali juu sana hadi sasa.
Kwa US kwa sasa kuna Magenerali wa Nyota Nne kwa idadi ya 45 ambao wapo kazini.
18 wakiwa katika Jeshi - Army
3 Marine Corps
9 wapo Navy,
11 kwenye Jeshi la Anga - Air Force
2 kwenye Space Force
2 kwenye Coast Guard
Kwa Ukubwa wa Jeshi la Marekani na kwa vitengo vyao vinavyofikia 8 ni Wazi General wa nyota nne sio cheo cha mchezo mchezo tu.
Kwa mfano Marekani NOAA Commissioned Officer Corps haina 4Star General.
USA (the United States of America) ni nchi yenye muundo wa shirikisho wa nchi 52 (Federal), kila nchi ina gavana na senata wake ambapo jeshi la polisi linawajibika kwao kwa sheria walizojitungia. Jeshi pekee ndio linapokea amri kutoka kwa amiri jeshi mkuu ambaye ni RaisKwa US kwa sasa kuna Magenerali wa Nyota Nne kwa idadi ya 45 ambao wapo kazini.
18 wakiwa katika Jeshi - Army
3 Marine Corps
9 wapo Navy,
11 kwenye Jeshi la Anga - Air Force
2 kwenye Space Force
2 kwenye Coast Guard
Kwa Ukubwa wa Jeshi la Marekani na kwa vitengo vyao vinavyofikia 8 ni Wazi General wa nyota nne sio cheo cha mchezo mchezo tu.
Kwa mfano Marekani NOAA Commissioned Officer Corps haina 4Star General.
Hayo majeshi ni ya nchi hizo sio Tanzania, mbona huelewi?Hahaaaa!! We jamaa hujui unachokiongea!!
Umesema kukiwa na majenerali zaidi ya mmoja kutakuwepo na ukosefu wa nidhamu jeshini.
Umesema hivyo au hujasema?
Kama unakubali kuwa umesema, je, unajua kuwa kuna majeshi hapa duniani yenye active four star generals?
Hayo majeshi ni ya kisiasa na hayana huo ukosefu wa nidhamu unaouzungumzia wewe.
Au hujui kuwa kuna majeshi hapa duniani yaliyo na active four star generals zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja?
Kuna jeshi hapa duniani lina active four star generals zaidi ya 40!
Unabisha?
Marekani unailingasha na Tanzania? Pathetic indeedKuna mtu hapo juu kadai huwezi kuwa na active four star generals kwa wakati mmoja kwa sababu eti italeta tatizo la ukosefu wa nidhamu!!
Huko Marekani jeshi lina ukosefu wa nidhamu kwa sababu majenerali wa nyota nne wapo 45??
Siyo Marekani tu yenye majenerali wa nyota nne jeshini…Marekani unailingasha na Tanzania? Pathetic indeed
Your ignorance is appalling!Hayo majeshi ni ya nchi hizo sio Tanzania, mbona huelewi?
Inawezekana hajui, ila ameweka hisia na nadharia zake.Kuna mtu hapo juu kadai huwezi kuwa na active four star generals kwa wakati mmoja kwa sababu eti italeta tatizo la ukosefu wa nidhamu!!
Huko Marekani jeshi lina ukosefu wa nidhamu kwa sababu majenerali wa nyota nne wapo 45??