Christine_1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,861
- 43,767
ex wa min -me siwezi kumchukua bwashee,ni lazima atakua ananuka Bia kama Glasi za Bar.Mda mwingine demu ukijua scandal zake kuna namna inakata bn, mfano we saiv umchukue ex wa Min Me utashindwa hata kumsifia hapa jukwaani we ukisema demu ana harufu ya asili yeye atasema mdomo wake unatoa harufu ya kitunguu.
Dah asante mahi😅Hongera yako crush kakujibu vizuri hadi rahaaa♥️
Acha tu! chupa iliamka na chai🤣🤣Shindii ushakunywa mbege iliyo lala 😅
Hahaha kabisa , hili ni jeshi kubwa 🤣
Hahahaha we mtaje km unamjua, Haina tatizoPunguza userious bwana. Mtaje yuleee
hapo kwangu umensingizia kabisaa mi sio timu korofi jamni 😄😄😄😄Ni nani unaye crush naye hapa jukwaani? 😄
Hapa jukwaani pamekuwa sehemu ya enjoyment kwa baadhi ya watu, darasa kwa wengine, na sehemu ya kujifunza, kubadilishana mawazo na kufahamiana.
Sasa tuambie ni nani unaye crush naye hapa jukwaani?
Sisemi lazima iwe crush ya kimapenzi No
Inaweza kuwa ni kwa sababu unapenda namna anavyoandika, madini anayotoa, ucheshi wake, namna anavyojenga hoja, au hata comments zake zinavyokuvutia.
Mimi nina crushes wangu wengi tu hapa jukwaani 😄
Na wewe je, taja wako ni nani, na ni kitu gani hasa kinakufanya umpende au um-appreciate?
Watu ninao wa crush jukwaani
For Boys
👇
Marcostilone huyu nime mbatiza jina The Thinker 🧠
Mshana Jr my Dad ❤️
Tlaatlaah hapa kwa wale wapenda siasa mnisamehe kidogo yeye anajua zaidi🐒
ERoni Babu hakosi kwenye kikao cha wazee😌
Kwa girls 👇
binti kiziwi 🧠
Binti wa zamani 🍑🍆
win-one kakorofi haka🤪
ShesRise_1 🤚
🤣 bangiAcha tu! chupa iliamka na chai🤣🤣
🤣🤣akija hapa kalewa mi Simo.ex wa min -me siwezi kumchukua bwashee,ni lazima atakua ananuka Bia kama Glasi za Bar.
Na iheshimiwe🤣🤣 bangi
Ndio hivyo hivyo😅... huwa napenda kumchokozachokoza Erythrocyte, mtoa habari wa CHADEMA! ... sasa sijui hizo CRUSH ndio zinaanzaga hivyo!!? ETI JAMANI!?
😅
Mtaje wewe🤣Hahahaha we mtaje km unamjua, Haina tatizo
Umetisha Mtumishi, km wako wengi hao watakua watendaji