Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,105
- 18,005
Hawana makato ya kipuuzi? Yaani hawa wengine - ukitoa, ukiweka, ukiomba statement, ukiangalia salio kwenye app, ATM... hauwakwepi! Halafu mwisho wa mwaka wanatangaza faida ya mamilioni!
equity nadhani ni wakenya na HQ zao zitakua Kenya....