CRDB wanavyotapeli Wanafunzi wa Vyuo Vikuu bila wao wenyewe kufahamu

Habari za wakati huu Great thinkers!

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada.

Ni kawaida kwa Wanafunzi wa vyuo vikuu kutoa pesa kutoka katika account zao za benki kidogo kidogo.

Huo ndio mwanya wanaotumia CRDB kuwatapeli fedha zao, kivipi?

Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo cha Afya na Sayansi shirikishi Muhimbili (MUHAS). Mara nyingi, kama ilivyo kwa wanafunzi wengi, natoa pesa kidogo kidogo. Hilo hupunguza hata risk ya kuibiwa, natoa pesa ambayo nina matumizi nayo tu!

Tangu naanza kupokea Boom la kwanza, nilikuwa na wasiwasi kwamba pesa yangu inapungua. Lakini pasipo kufuatilia na pasipo kujua nika'assume' kwamba itakuwa nyingine inaishia kwenye makato!

Lakini ile hali ya kwamba pesa inapungua haikunipa amani kabisa!

Baada ya Boom la mwisho kwa mwaka huu ambapo kwa MUHAS tunapokea Takribani Tsh 665,000/= nikatoa laki 3 kwa ajili ya kulipa madeni na matumizi mengine.

Nilipokuja kutoa tena kiasi cha fedha elfu 50, nikashangaa kuona imebaki 190,000/=!! Hata kama ni Makato yanakuwaje makubwa hivi?

Nikaenda kuwauliza CRDB Kariakoo Branch wakasema hawawezi kunisaidia labda niende kwenye Bank niliyosajilia bank account yangu. Hivyo basi nikaenda Azikiwe branch na baada ya mvutano mrefu mwisho wakaniambia niombe bank statement.

Nikaomba ya June na July, nilichokikuta ndio hicho hapo chini! Hizo sehemu zenye duara ni malipo madogo madogo ambayo sija yafanya na wanadai nimeyafanya.

Ikumbukwe kwamba sijalipia premium kwenye App au sehemu nyingine yoyote na wala sifanyi manunuzi ya mtandaoni.

Itoshe kusema kwamba, CRDB ni wezi! Na huenda ikawa wanaibia wengi kwa staili hii hii bila wao wenyewe kujua. Hiyo ni kutokana na ukweli kwamba wanafunzi wengi sio wafuatiliaji.

Na je, hivi ni kweli hizi Tembo card zinaweza kutumika kwenye kulipia malipo ya mtandaoni? (iTunes)

Nimelileta hili jukwaani, ili watu walitambue. Binafsi nitaangalia namna ya kuwahama japo ni process ndefu kwa mujibu wa taarifa nilizopewa. Lakini je, huko kwingine vipi?

Inauma sana!

View attachment 1871494View attachment 1871494
Kumbuka hata hiyo statement ambayo ni halali yako kupata bure wamekuchaji hela. hapo ndio huwaga sielewagi hii nchi.
 
Bwana kiongoz pole Sana ndio Mana Mimi kwa miaka 5 nikiwa chuo najuta kutumia crdb Mana wameniibia pesa zangu balaa na nlipogundua skuwa na jins ya kubadil kutokana na kwamba akaunt yang ndyo ilkuwa linked had HELSB
 
Kama wadau walivyosema. Kuna mtu alivizia umeenda kuoga akachukua Cv..., Card number na exp. Tafuta mtu wako wakaribu anayetumia Iphone mtupe ndani.
 
Habari za wakati huu Great thinkers!

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada.

Ni kawaida kwa Wanafunzi wa vyuo vikuu kutoa pesa kutoka katika account zao za benki kidogo kidogo.

Huo ndio mwanya wanaotumia CRDB kuwatapeli fedha zao, kivipi?

Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo cha Afya na Sayansi shirikishi Muhimbili (MUHAS). Mara nyingi, kama ilivyo kwa wanafunzi wengi, natoa pesa kidogo kidogo. Hilo hupunguza hata risk ya kuibiwa, natoa pesa ambayo nina matumizi nayo tu!

Tangu naanza kupokea Boom la kwanza, nilikuwa na wasiwasi kwamba pesa yangu inapungua. Lakini pasipo kufuatilia na pasipo kujua nika'assume' kwamba itakuwa nyingine inaishia kwenye makato!

Lakini ile hali ya kwamba pesa inapungua haikunipa amani kabisa!

Baada ya Boom la mwisho kwa mwaka huu ambapo kwa MUHAS tunapokea Takribani Tsh 665,000/= nikatoa laki 3 kwa ajili ya kulipa madeni na matumizi mengine.

Nilipokuja kutoa tena kiasi cha fedha elfu 50, nikashangaa kuona imebaki 190,000/=!! Hata kama ni Makato yanakuwaje makubwa hivi?

Nikaenda kuwauliza CRDB Kariakoo Branch wakasema hawawezi kunisaidia labda niende kwenye Bank niliyosajilia bank account yangu. Hivyo basi nikaenda Azikiwe branch na baada ya mvutano mrefu mwisho wakaniambia niombe bank statement.

Nikaomba ya June na July, nilichokikuta ndio hicho hapo chini! Hizo sehemu zenye duara ni malipo madogo madogo ambayo sija yafanya na wanadai nimeyafanya.

Ikumbukwe kwamba sijalipia premium kwenye App au sehemu nyingine yoyote na wala sifanyi manunuzi ya mtandaoni.

Itoshe kusema kwamba, CRDB ni wezi! Na huenda ikawa wanaibia wengi kwa staili hii hii bila wao wenyewe kujua. Hiyo ni kutokana na ukweli kwamba wanafunzi wengi sio wafuatiliaji.

Na je, hivi ni kweli hizi Tembo card zinaweza kutumika kwenye kulipia malipo ya mtandaoni? (iTunes)

Nimelileta hili jukwaani, ili watu walitambue. Binafsi nitaangalia namna ya kuwahama japo ni process ndefu kwa mujibu wa taarifa nilizopewa. Lakini je, huko kwingine vipi?

Inauma sana!

View attachment 1871494View attachment 1871494
Nakushauri usilaumu benk mojakwamoja. Fanya uchunguzi kuna mjanja anatumia credentials zako kufanya hiyo miamala
Kikulacho ki nguoni mwako
 
Habari za wakati huu Great thinkers!

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada.

Ni kawaida kwa Wanafunzi wa vyuo vikuu kutoa pesa kutoka katika account zao za benki kidogo kidogo.

Huo ndio mwanya wanaotumia CRDB kuwatapeli fedha zao, kivipi?

Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo cha Afya na Sayansi shirikishi Muhimbili (MUHAS). Mara nyingi, kama ilivyo kwa wanafunzi wengi, natoa pesa kidogo kidogo. Hilo hupunguza hata risk ya kuibiwa, natoa pesa ambayo nina matumizi nayo tu!

Tangu naanza kupokea Boom la kwanza, nilikuwa na wasiwasi kwamba pesa yangu inapungua. Lakini pasipo kufuatilia na pasipo kujua nika'assume' kwamba itakuwa nyingine inaishia kwenye makato!

Lakini ile hali ya kwamba pesa inapungua haikunipa amani kabisa!

Baada ya Boom la mwisho kwa mwaka huu ambapo kwa MUHAS tunapokea Takribani Tsh 665,000/= nikatoa laki 3 kwa ajili ya kulipa madeni na matumizi mengine.

Nilipokuja kutoa tena kiasi cha fedha elfu 50, nikashangaa kuona imebaki 190,000/=!! Hata kama ni Makato yanakuwaje makubwa hivi?

Nikaenda kuwauliza CRDB Kariakoo Branch wakasema hawawezi kunisaidia labda niende kwenye Bank niliyosajilia bank account yangu. Hivyo basi nikaenda Azikiwe branch na baada ya mvutano mrefu mwisho wakaniambia niombe bank statement.

Nikaomba ya June na July, nilichokikuta ndio hicho hapo chini! Hizo sehemu zenye duara ni malipo madogo madogo ambayo sija yafanya na wanadai nimeyafanya.

Ikumbukwe kwamba sijalipia premium kwenye App au sehemu nyingine yoyote na wala sifanyi manunuzi ya mtandaoni.

Itoshe kusema kwamba, CRDB ni wezi! Na huenda ikawa wanaibia wengi kwa staili hii hii bila wao wenyewe kujua. Hiyo ni kutokana na ukweli kwamba wanafunzi wengi sio wafuatiliaji.

Na je, hivi ni kweli hizi Tembo card zinaweza kutumika kwenye kulipia malipo ya mtandaoni? (iTunes)

Nimelileta hili jukwaani, ili watu walitambue. Binafsi nitaangalia namna ya kuwahama japo ni process ndefu kwa mujibu wa taarifa nilizopewa. Lakini je, huko kwingine vipi?

Inauma sana!

View attachment 1871494View attachment 1871494
Itakuwa kuna mtu wako wa karibu kachukua kadi yako ya tembo card mastercard, kacopy namba za card na CVV, exp date, anajilipia tu online. Kuwa makini na kadi yako unless ina OTP kwamba mtu akitaka lipia kitu unapokea code kwenye msg au email ili uweke kukamilisha muamala kitu ambacho nadhan CRDB hawana.
 
Hili tatizo nishaona watu wanalalamika ila mimi situmii Crdb na sijajiunga Simbanking kwa ajili ya usalama zaidi. Sema hapa nimejua mengi
 
Inawezekana kabisa ana mtu alitumia kadi yake kujisajiri kwa online purchases maana ile hai hitaji namba siri za ya majina,kadi namba na expiration yake!

Cheki na jamaa zako unao share nao room au mchuchu kama mmoja wapo ana iphone huyo ndio anatumia kadi yako.
Ungemalizia kwa kusema "utanishuru baadaye" hapo kwenye I phone😄
 
Ahsanteni kwa muongozo wakuu.

Kupitia huu uzi nimejifunza mengi sana, nilikuwa siijui CVV nimeangalia hapa kwenye kadi yangu nimeona ipo baada ya kupata muongozo huu.

Kumbe kuacha wazi kadi ya bank kimasihara ni risk hivi.....
Siyo risk ndogo
 
Niko Standard Chartered, nako ni hivyo hivyo. Sijui pa kwenda. NMB nako hivyo hivyo. Hata kuangalia salio ni makato! Zamani pesa za wazee wetu zikiongozeka benki. Siku hizi haizongezeki. Zinapungua!
maana haya mabenki yetu ya nyumbani ni KERO, yanapenda janjajanja sana,
 
Kimsingi kwa akaunti za wanafunzi hawatakiwi waweke makato na kama yatakuwepo inatakiwa yawe kidogo sana, kwa sababu hiyo akaunti siyo ya mfanyakazi au mfanyabiashara ambao wana vyanzo vya mapato.......kama umegundua kuna makato makubwa, tafuta benki ambayo ina operate student accounts, unaweza kujaribu NMB au Equity na unapofungua wataarifu kwamba unafungua akaunti ya mwanafunzi, wanaweza kukwambia upeleke barua ya utambulisho kutoka chuoni au vinginevyo.....
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom