Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,632
- 9,445
Hii imekaaje wadau naona imekaa kibaguzi sana,ina maana sisi Tanzania bara hatuna uhitaji na hiyo mikopo au? Zanzibar ni wa muhimu sana kwenu kuliko sisi? Au Zanzibar ni masikini sana mmeamua kuwapa upendeleo?
Kila siku wajasiriamali wanalia kuhusu riba lakini mmeweka pamba masikio.
Kama swala ni imani kuwa hakuna riba bhasi kaeni hivyo hivyo bila kufungamana na upande wowote
Kila siku wajasiriamali wanalia kuhusu riba lakini mmeweka pamba masikio.
Kama swala ni imani kuwa hakuna riba bhasi kaeni hivyo hivyo bila kufungamana na upande wowote